Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu, Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa. Unapewa miezi 3 ya kujenga...
22 Reactions
120 Replies
5K Views
Ukihitaji salamu subiri kwanza sikukuu ipite! Nyie wanawake ambao huwa mnaikamata mic kwa ufundi kabla ya show pale jukwaani mbarikiwe sana,kiukweli huwa mnazikonga nyoyo za wanaume wengi mno...
15 Reactions
104 Replies
4K Views
" Uume mkubwa Ni mzuri tu kwa kuutazama ila sio salama kwa matumizi" Hapo juu ni kauli ambayo nimekuwa nikiisikia kwa wanawake mbali mbali kwamba wao hufurahia tuu kuangalia uume mkubwa wa...
12 Reactions
107 Replies
18K Views
Habari zenu wakuu, Kuoa ni zaidi ya upendo, kuoa ni majukumu na sio kuitana Babe au Mahabuba. Kama hujajipata tafadhali nakuomba usiikimbilie Ndoa, maana utaumia na kuichukia hiyo Ndoa kilasiku...
27 Reactions
96 Replies
3K Views
Kuna girl mmoja wa kizungu hapa, foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu. Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo. Natanguliza...
13 Reactions
152 Replies
13K Views
Habari zenu Wakuu, Huyu mwanamke nadhani anataka kunipanda kichwani sasa, nimemwambia naomba uniletee Laptop yangu amenijibu "Toka zako usinichezee akili kabisa". Uvumilivu umenishinda Wakuu...
2 Reactions
14 Replies
548 Views
Habarini za asubuhi, Jana usiku nilikuwa nachat WhatsApp na mwenzangu, wakati tunaendelea nikamuga kidogo niende washroom one time mida kama tano kasoro narudi tuendelee na mazungumzo ndio...
6 Reactions
77 Replies
3K Views
Hizi mambo mara ya mwisho kuziona ilikuwa ni 2008. Nimeshtuka sana pale nilipocheki chumba cha mfanyakazi mwenzangu Ona sasa!
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwanini wanawake wanapenda kupay attention ikiwa umeachana nae for good ila yeye anakutafuta kukuonyeshea kuwa ana amani kwenye maisha yake ya sasa hii imekaaje wakuu
2 Reactions
7 Replies
442 Views
Kumekua na kipaumbele cha pesa kwenye mahusiano mengi sana siku hizi kutoka kwa hawa wanawake wetu tunaowaita wapenzi, baby, honey, laazizi, mahabuba, nyonga mkalia ini,asali wa moyo na majina...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Je wadada huwaga mnajichua mnapokosa wa kuwafariji au labda kujizuia na kuhunika ? Nauliza tu ili nipate maarifa zhaidi.
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nawashauri wanaume na wanawake,msiishi pamoja bila ndoa,fungeni ndoa hata bila sherehe,na sio lazima mvae nguo za gharama,kama ni wakristo nendeni kanisani hata kwa daladala,kama ni waislamu...
9 Reactions
22 Replies
916 Views
Habari zenu Wakuu, Nina mpenzi wangu na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka mingi sana. kwenye biashara zangu nimebarikiwa kununua assets tofauti na moja ya assets hizo ni magari 3. Huyu Mpenzi...
7 Reactions
80 Replies
2K Views
MARRIAGE IS NOT A SCAM.. 1. Marriage is not a scam. It is just that some men are getting married with a lowly and negative view of women and some women marrying with a repulsive and suspicious...
0 Reactions
3 Replies
526 Views
Good evening, Wanawake/wasichana hum jf ninaomba niwakumbushe kitu, umetongozwa na baba ameoa? Namaanisha baba mwenye mke na watoto wake, huyo kula hela zake kama ako nazo, usiwekeze kimoyo kako...
14 Reactions
116 Replies
2K Views
Habari zenu Wakuu, Nakuita uje home kwangu unakuja, nakwambia ulale unakubali, nakuomba mzigo unaniuliza "Mjanja M1 unanikupenda kweli au unataka kunichezea". HIVI UNAJIELEWA KWELI WEWE...
4 Reactions
16 Replies
399 Views
Habari zenu Wakuu, Ukiona mtu ametulia kwenye mahusiano na hana michepuko wala kutoka nje basi tambua kuwa amefanya maamuzi na sio upendo. Kama ulikuwa hujui ni kwamba, unaweza kupenda na bado...
2 Reactions
3 Replies
368 Views
Habari za Jumatatu, Naomba ushauri kuhusu rafiki yangu huyu. Huyu rafiki yangu alizaa na mpenzi wake miaka ya tisini mwishoni, lakini hawakufanikiwa kuwa pamoja, Baba alioa mwanamke mwingine...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanzoni mwa mwaka 2023 niliunga juhudi (mkono) kampeni ya KATAA NDOA ndoa ni utapeli iliyoanzishwa na kijana mmoja hivi Haya ndio mafanikio yangu Baada ya kuunga juhudi: 1. Nimeweza kutunza...
23 Reactions
91 Replies
5K Views
Serious Issue Wiki kama mbili hivi zilizoisha nilienda nyumbani kutembelea wazee, kama mjuavyo mapokeo ya huko Nanjilinji huwa ni yenye furaha na vifijo, ilikuwa vivyo hivyo kwangu mie Siku ya...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Back
Top Bottom