Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
50 deep questions for couples that'll strengthen your relationship How well do you think you know your partner? Maybe you just exited the talking stage, so you know their favorite cocktail but...
2 Reactions
4 Replies
11K Views
Ni muda sasa sjahudhuria humu jamvini, leo nina habari ya kuwakumbusha vidume wenzangu. Juzi Bimkubwa amenipa card yake ya Bank nikamtolee kiasi cha pesa. Nimefika nikamkuta wakala mdada...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Mim na huyu binti tunatimiza mwaka sasa na tunapendana vibaya mno..tunamipango ming ya kifamilia. Sasa namwambiaje umri wangu halis..je hatoni mind kwa kumdanganya na kupoteza dodo kibwege...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Let yourself off the hook, or you will never find the one. Photo: nikkimeel | Shutterstock I often have clients come to me searching for their soulmates, twin-flames, partners in crime, and “the...
2 Reactions
2 Replies
726 Views
Napata sonona sana wakuu kwa huu umri until now sina mume wala mtoto wa kuzugia. Nachanganyikiwa nafsi inanisuta na napata sonona za mara kwa mara kutokana na kutokuwa na mke wa kunituliza mambo...
20 Reactions
119 Replies
12K Views
Umesema umetoka kwa watu wasiojua kupenda kabisa, wasiofahamu majukumu yao wenye tamaa na uchu. Ambao upendo wao mkuu umelala kwenye kivuli cha matamanio ya uzuri wako, pole sana. Umeniambia pia...
1 Reactions
8 Replies
582 Views
Hivi ni kosa gani uwezi kulifanya katika kuingia katika mahusiano na je ikiwa umeingia katika mahusiano ni jambo gani uwezi kumsamehe mwenza wako?
4 Reactions
19 Replies
988 Views
Ndugu zangu nawasalimu sana. TAHADHARI: SOMA POLE POLE TYPING ERROR ZIPO NYINGI SANA Katika harakati za maisha ya hapa duniani baada ya Muumba wetu kuona kwamba si vyema mwanaume awepeke yake...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuhonga ni kitendo Cha kuwa mmwagaji wa maokoto ( fedha) Kwa watu ......so kwenye mahusiano ukiwa mhongaji hizi ni faida kubwa utakazopata-: 1. Kustabilize mahusiano, ukiwa mtoaji wa pesa hakuna...
1 Reactions
17 Replies
826 Views
WANANDOA NI LAZIMA WA-SHARE PASSWORD ZA AKAUNTI ZA BENKI NA SIMU Anaandika, Robert Heriel MTIBELI. Dunia ya kitapeli huzalisha ndoa za kitapeli, Wanandoa matapeli, Watoto na kizazi cha kitapeli...
10 Reactions
72 Replies
3K Views
UPDATE. POLE KWA TAARIFA KABLA YA UZI. KUNA WATU WANATAKA KUPUSH AJENDA KWENYE UZI HUU TAFADHALI WAPUUZIENI TUENDELEE NA UZI WETU WATAPOTEA TUU. Massage ni huduma muhimu sana kwenye maungo ya...
30 Reactions
208 Replies
23K Views
ninapoandika huu uzi muda huu sipo na wife nilikosana naye kidogo nikampa nauli arudi kwao, japo lengo langu la kumrudisha kwao limefanikiwa kwa asilimia fulani maana tayari ameshajifunza kitu...
1 Reactions
5 Replies
501 Views
MUMEO AKIKU-CHEAT NA WEWE M-CHEAT Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Najua wapo wanaume watanimaindi kwenye hii mada lakini hiyo ndio namna Watibeli tunavyofanya mambo yetu. Hatuna msamaha kwa...
21 Reactions
196 Replies
6K Views
Nimemchunguza kama anamchepuko nimejilizisha hana, nimeenda kwa docta kasema njia za uzazi wa mpango zina changia mwanamke kutojisikia kufanya tendo. Nimeenda kwa mganga wa jadi kaniambia ana...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Leo nimekumbuka tukio lililonishika pabaya mwaka wa 2008 kama sio 2009. Nikiwa nimejilaza pale Monjes Guest house mitaa ya Kaloleni Mkoani Arusha, nilikua nachat na mtoto mmoja wa kimbulu ambae...
20 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Taikon huambiliki, Taikon ni mbishi sana. Taikon sijui unamfumo dume. Taikon much know. Taikon unadharau na kuwachukia Wanawake. Oooh! Taikon kutwa kucha kuwakandia wanawake. Alafu...
30 Reactions
292 Replies
8K Views
Wenye ujuzi na masuala ya mapenzi mje mtupatie ushauri sie tunaojiingiza na kutoka kwenye mahusiano Mfano ulikuwa na mpenzi wako mkaachana kwa madharau na kejeli hadi kufikia hatua ya kublockiana...
7 Reactions
63 Replies
2K Views
Kampeni ya kataa ndoa na kuoa inamantiki kwa wasiotoka kingono na wake au waume za watu nje hapo hawa wanachama Ni mazombi. Ukibisha utapaa mbinguni na mapepo
1 Reactions
7 Replies
458 Views
  • Closed
Wakuu habari za uzima? Jua lile literemke mama ni moja ya nyimbo wengi wetu tuliokuwa tukiimba pindi tupo mchakamchaka shule. Hii nyimbo ilikuwa inatupa nguvu na hali mpya siku nyingine...
2 Reactions
15 Replies
908 Views
Back
Top Bottom