Wadau kadhaa nimewasikia kwa masikio yangu ya nyama wakiwalalamikia mababy sweetie mom wao kula kupita kiasi.
Mmoja yuko hapa Mbeya majuzi kanidokeza kapata pisi alishapanga kuiweka ndani mwaka...
Habari wana jamii....
Mke wangu anapenda kuanika nguo zake za ndani nje ambapo kamba imepitia kwenye vyumba vya wapangaji wenzangu na wote ni wa kiume akidai kuwa zinatakiwa zipigwe jua kwani...
Habari zenu wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa natumaini mko salama
Nimeleta kikao hiki ili tupeane ushuhuda jinsi ya kukabiliana na hawa ndinjii ambao wamekuwa hatari sana kwenye ndoa zetu hawa...
Karibu katika uzi maalumu wa kuelimishana masuala yanayohusu ndoa katika jamii zetu.
Ndoa ni katika mambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu. ndoa imebaba nusu nzima ya maisha ya mwanadamu...
Jaman Habari zenu wanajamvi,,,,ngoja nishuke kwenye punda ili tuongee vizuri
Jamani hapa juzi kuna kitu alifanya nikawa namkemea(kufoka) shemeji yenu tena kwa kumtunzia heshima nilisubiri...
Unaogopa nini kuoa, unazuia vipi matamanio yako na uko baleghe hutaki kuoa. Badilika ow ustarehe na mkeo, ndoa Raha sana.
Badilikeni vijana ambao bado hamjaoa muoe.
Karibu katika Darasa la...
Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa-handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao, mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba...
Wakati mijadala ikielekea mwishoni kuhusiana na kijana Lovness Tarimo na jinsia yake ambaye kwa mwonekano tuu huwezi kumuweka kwenye jinsia ya like bali ya kiume.
Na hata kama ni mwanamke basi...
Kwanza niko na hofu kuu kwa sababu kuna bi mdashi flani nilimtafuna mwaka huu bila kujua chochote, bi mdashi mweupe pee tako ndio lililoniponza.
Nilipata taarifa zake za ndani kwamba tayari...
Heshima kwenye wananzengo.
Mm ni mtumishi wa umma Sasa leo asubuhi nimejifanyia usafi kwa kujinyoa sehemu zangu za Siri upara swafi pamoja na makwapini then nikaenda kuoga then nikapigilia pamba...
Ndugu zangu.
Katika ulimwengu wa mahusiano tusijisahau sana wakuu, hawa wanawake tunawapenda ila wanatuacha vibaya sana
Wakuu haijalishi wanawake wana ulimi wa kubembeleza, haijalishi uzuri wake...
Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;
1. Leo kwa mara ya...
1. Mtu ameweka picha kwenye page yake kumbe sio yeye bali ni picha ya rafikiake/mdogoake au nduguake gani sijui.
2. Mnakubaliana for a meeting, mwenzio anaanza kulia njaa mara anataka atumiwe...
Nina tatizo ambao wanajua naomba wanisaidie toka niowe mke wangu kwasasa tuna wiki 3 na nusu toka tuoane
Ila kila nikipiga game na mke wangu uume wangu unasimama kwa mda mrefu bila kulala na kwa...
Kama mada inavyojieleza
Kama wewe sio Muha wa Kigoma basi usithubutu kuoa mwanamke Muha.
Waha wanawezana wenyewe kwa wenyewe kutokana na tabia zao ambazo kwa mwanaume kutoka kabila lingine...
Habari wakuu.. Katika harakati za hapa na pale nikakutana na huyu mrembo wa kitanga kabila mzigua. Tumekutana kwenye site ya ujenzi yeye ni chief cooker hapa na mimi ni electrician. She's so cute...
Ikiwa leo ni siku ya wanaume duniani...
[emoji94]Wakati ambapo wasichana/wanawake wanaamshwa kwa makongamano na semina za kuwainua kiuchumi. Mikutano na mijadala yenye kuwajengea kujiamini na...
Ivi ushakutanaga na mwanaume ambae yuko insecure, hajiamini?
ikawaje?
ulitemana nae vepe?
ulitemana nae baada ya muda gan?
Hadithi kamili pita kwa youtube channel yangu
Mke wangu anaelekea kuivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe. Najuta sana kuoa mwanamke kutoka mwambao wa pwani. Sijui ni kwanini nilimkimbilia nikijua nitafaidi mauno feni pekee, kalio skonzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.