Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbaya...
Habari wakuu,
Kuna single mama mmoja alikuwa na mahusiano na mtoto wa kishua.
Akajiachia mwenyewe, sijui kutegesha mimba ikaingia ili aolewe .
Kama ilivyo kuzaa sio kuolewa yule mtoto wa kishua...
Mambo zenu wananzengo,
Eee bana nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja kwa muda wa miaka minne ambayo leo tarehe 13 November 2023 majira ya saa 4 usiku nimevunja rasmi baada ya kujiridhisha...
Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Za leo wakuu,
Nafikiria kupeleka hoja binafsi bungeni, ili kwa pamoja Bunge liazimie na hatimaye kuwe na sheria ya mke mmoja tu.
Sababu ni
1. Kupunguza maambukizi ya virus vya UKIMWI
2...
Wasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya...
Kutokana na mmomonyoko wa maadili kwenye jamii baadhi ya wanaume kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wamama kisha anakuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti wa mama
Swali je wewe mama ukigundua na...
Hii ni mada nyeti, tatanishi na yenye hisia kali. Soma ielewe na changia kistaarabu.
Baada ya kupitia tafiti za hivi karibuni zilizotangazwa na kituo cha kupima DNA ambao walitangaza kuwa...
Leo naomba niwashauri vijana tuachane na tabia ya kupenda kuangalia video za ngono ni hatari Sana kwani zinasababisha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
Siku hizi vijana wengi Wana matatizo...
Natatua case kati ya marafiki zangu wawili; wote ni wanaume na best friends since primary kabla hata sijakutana nao; sasa Rafiki A alikuwa ana kazi sehemu fulan kubwa na alimuahidi Rafiki B kwa...
kuna msichana mmoja anaitwa Valentina alimpenda sana kijana mmoja anaeitwa mshana jr mahusiano yao yalidumu kwa muda mrefu sana na kila mtu alipenda sana kuwaona mshana jr na Valentina jinsi...
Habari.
Kupitia kisa cha samasoni na delila je nyie mmejifunza nini kuhusu hawa wanawake muwapo nao kwenye mahusiano.?
Mimi naona
1: KATAA NDOA , NDOA NI JEHANAMU YA MOTO KWA MWANAUME
2...
Habari wanajamvi, mniwie radhi kwa swali la kizushi na la umbea ninalokwenda kuwauliza. "Umekula nini leo? Na unajifeel aje baada ya kupata hicho chochote kitu? Nani kapika, shemeji yetu ama...
PAKA WAKO UKIMNYIMA CHAKULA
ATAENDA KULA KWA JIRANI.
Sina shaka kuwa unawafahamu PAKA, kama hujawai kufuga, basi hata kwa jirani zako ushawahi kuwaona.
PAKA ni miongoni mwa wanyama wa kufugwa...
Inafahamika kuwa ndoa ni kitovu cha malezi na makuzi bora katika jamii yoyote duniani. Nje ya ndoa mtu wa aina yoyote anaweza kuzalishwa, mzuri au mbaya, japo mara nyingi uwezekano mkubwa ni...
Niwafungue macho wadau wa kukata mbuga angani hasa safari za Asia mahususi nchi maarufu kwa kila aina ya vituko vya shetani. Loveness Tarimo huyu wa kibongo ni ladyboy wa kitanzania na hao wapo...
Pengine hii ndio sababu kuu ya wake na waume kuchepuka nimejaribu kuwaza mfano umekaa na mume au mke wako kwa miaka kumi na kuendelea ndani ya kipindi hicho chote mmekua mkilala kitanda kimoja...
Si vema kila unapompa mtoto jina ukatoa like kila anapokuwa linaitwa. Kwa mfano
Frank, Frank, Frank, Frank
Yaani jina linaitwa watoto wengii sio poa.
Au
Anna Anna kila sehem Anna
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.
3. Upole na ukimya si...
Ndugu zanguni, mkiniona nimekuwa sugu la mapenzi kiasi hiki, jueni tu nimepitia mianzi ya kila kiwango. Nipende tu kusema haya mapenzi hayana mwenyewe. Enzi zile nilipokuwa napata taarifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.