Elimu ni bahari haina mwisho, Leo nawapa darasa la kibailojia linalotoa elimu kuhusu njia ya kufahamu ukubwa wa maumbile ya mwanaume
Pindi nikiwa nasoma boarding kuna rafiki alikuwa anapenda sana...
Habari zenu Wakuu,
Kwenye maisha ukiona kuna jambo unaambiwa na watu wengi ulifanye basi fanya uchunguzi kwanza huenda hao watu wanataka kukuingiza KING ili nawewe upate cha mtema kuni kama wao...
Nawasalimu ndugu zangu.
Nimekuja hapa kuuliza kwanini binadamu wa sasa mnauchungu sana na vijana ambao hawataki kuoa.
Ni kwanini basi wadada ukiona kijana hataki kuoa unachukia kwani ni lazima...
USIPOKUWA MWANAUME WA MAANA MKEO HAWEZI KUBALI KUITWA KWA MAJINA YAKO.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Moja ya dalili kuwa wewe sio mwanaume aliyefanikiwa ni pamoja na kuangalia kama mkeo...
Je, una tatizo la nguvu za kiume? Je, unahisi kama libido yako imepungua? Ikiwa NDIO, basi unaweza shangaa kwamba baridi inaweza kuwa suluhisho lako
Utafiti umeonyesha kwamba joto la chini...
***VEROSSA***
Inside a Verossa you'd think its some sleek automobile
There she lost her virginity, her dignity and her guile,
Inside a Verossa, she hopped in a lift home
There she was...
Kila mtu anapenda sifa (kusifiwa), si wanawake pekee wanaopenda kusifiwa isipokuwa tofauti yao na sisi ni reaction baada ya kusifiwa au kutosifiwa.
Mfano, Mwanaume ukimsifia kwakitu fulani...
Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama...
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wanaume na wanawake wenye watoto, ndio ni wanaume na wanawake, na si wakina baba na mama. Kwa sababu, kuwa na mtoto hakukuvishi maana zote za kuwa mzazi moja kwa...
Nimepokea maswali meeengi kwa wadau wangu huku jf kuwa Money Penny ni nani, Money Penny ndio nani?!
Wengine mnasema money penny ni lara 1 wengine mnasema ni Mange Kimambi wengine wanasema...
Haiwezekani uonevu umezidi
Hii sasa ni too much
Tunaonewa sana
Ikiwezekana tuunde chama kupigania maslahi yetu
Kero konki namba MOJA ni kuombwa hela ya kutolea - yani mwanzoni mnaongea fresh...
NIMESHINDWA KUKUSAIDIA LEO USINICHUKIE, KESHO YETU NI FUMBO.
Based On True Story
Miaka kadhaa iliyopita, rafiki yangu wa miaka mingi alipata ajali mbaya sana. Ilibidi afanyiwe operation ili...
Salute jf members.
Ni bahati mbaya sana hamna Chuo wala Shule kinachofundisha elimu ya mahusiano kwa sehemu kubwa tunajifunza kutokana na makosa yetu au ya watu wengine.
Moja kwa moja kwenye...
Kwa jinsi watoto wakike wanavyoingia broke na kupoteza thamani yao,
Ni bora hii siri wakaifahamu kuwa uzuri wa nje hauna msaada wowote katika kutoboa Maisha. Wanabidi kupambana kujiziboresha...
Ndo hivyo wakurugenzi.
Mwaka jana nilikuwa na nia kabisa ya kitaka kuoa kutokana na upole, unyenyekevu, heshima na adabu aliyokuwa nayo huyo binti licha ya uzuri na rangi yake
Mahari yenyewe...
Habarini, husika na kichwa cha habari hapo juu.
Toka mapenzi yameanza kuhusishwa na pesa ndio utamu ulipopotea.
Yaani hapa nazungumzia mapenzi yale ya hisia ya kupendana bila kujali pesa. Huwezi...
Zipo tofauti nyingi kati ya MWANAUME na MWANAMKE zinazosababisha migongano mingi kwa wahusika kwa kutokujua, laiti kama wangezijua tungepunguza migongano na migogoro isiyo ya lazima.
1) MWANAUME...
Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?
Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni...
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.
Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.