Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ni leo tena. Nipo kwa dala dala nimekaa na binti tunaelekea njia moja. Nimekaa upande wa dirishani yeye karibu upande wa kutokea. Basi bwana mvua inanyesha na imetupapasa kwa kiasi kidogo japo...
6 Reactions
15 Replies
758 Views
Ni hisia ya ajabu sana jinsi mtu anaweza kuwa katika maisha yako kwa miezi au hata miaka na kisha siku moja kwa ghafla hayupo tena. Si kwamba katwaliwa toka maisha la hasha. Kakuacha! Hana hisia...
35 Reactions
83 Replies
4K Views
Amekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda Malizia.... Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
21 Reactions
123 Replies
6K Views
Wakuu, hawa miamba huwa wanachunguza kitu gani na ili wagundue nini? We unachunguza uku unachakaza mtoto wa watu? Kwani wewe ni afande Detective 1573?
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika. Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo...
7 Reactions
88 Replies
3K Views
dada zangu nawaeshimu sana mnaofanya kazi za bar na piss kali haswa, ila hii tabia ya kuniona nimeanza kupendeza na kuja kuniomba bia mnaniaribia bajeti na bora hatauagize bia ndiyo kwanza...
1 Reactions
1 Replies
275 Views
Habari zenu jamani, Mimi ni kijana miaka 25 sijaoa ila nina mpenzi ambaye sijawahi fanya nae mapenzi kwasababu anamajini mahaba wawili kichwani kwake mmoja wa kiume na mwingine wa kike, mwezi...
3 Reactions
50 Replies
10K Views
Wakuu sana pokeeni salamu zangu. Naomba leo nisimulie visa viwili vya kusikitisha ambavyo niliwahi kushirikishwa na rafiki zangu kwa nyakati tofauti. KISA CHA KWANZA: Huyu ni rafiki yangu...
28 Reactions
285 Replies
23K Views
Habarini Wadau, Kwa namna maisha ya Mahusiano na zaidi ya Ndoa yalivyo kwetu sisi Watu weusi, ninaona kabisa baada ya miaka kadhaa kutakuja kuwepo "Ndoa za Mikataba" yaani watu wanasainishana...
5 Reactions
18 Replies
838 Views
Leo nimeona nirudie tena Kuna watu hawajui faragha ..Unapokutaana na jirani yako guest ukitoka sio lazima utangaze kwakila mtu Hili la jana limeniumiza sana nilipokea simu sa tano nikamdhamini...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu, NIna wazo limenijia na kutafakari binafsi. Nimejiuliza katika maisha ya mwanadamu upi wakati sahihi wa kuipata furaha ile yenye uhalisia wake kwa 100%. Nikaishia kukumbuka miaka...
3 Reactions
14 Replies
545 Views
Wasaalam wakuu, Bila kupoteza maana na wakati ipo hivi, nimefanya kautafiti kangu na halmashauri ya kichwa changu nimegundua kuwa siku hizi kwenye ulimwengu huu wa mapenzi hususani kwa vijana na...
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Ninashangaa sana, wanaume wengi wa mitaa mingi niliozunguka, wako kwenye mahusiano na pisi za kawaida sana; wengine wana uchumi wa kati, lakini wako kwenye mahusiano na pisi ambazo hata huwezi...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Ukewenza si uadui kama mnavyothaminishwa na jamii. Ni bora uke wenza kuliko kutokuwa na ndoa kabisa. Vijana wakike na wakiume tusaidiane kwa pamoja kutokomeza uzinzi na uesherati kwa...
12 Reactions
106 Replies
4K Views
Ni miaka mingi sana kuna jambo nikiona mwanamke anafanya nachanganyikiwa kabisa. Na huwa napenda sana linanisisimua sana mwili. Napenda sana kumwona mwanamke anakojoa. Yaani kama ni mpenzi wangu...
9 Reactions
67 Replies
3K Views
UKISHAOA AU KUOLEWA UKWENI PANAKUWA KWENU, Anàandika, Robert Heriel Mtibeli. Kwenu(ulipozaliwa) sio kwako. Weka Akilini. Kwako patageuka "kwenu" ya watoto wako. Ukiwa kijana ambaye hujaoa na...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu, mpenzi wangu Leo jioni kanitumia meseji ya kuwa anataka kutoa mimba. Mimi nimemkataza,na nimemuonya na asijaribu kabisa. Sasa amekuwa mbishi na anataka nimsapoti katika eneo la pesa ili...
2 Reactions
17 Replies
991 Views
Asanteni
13 Reactions
70 Replies
3K Views
Dada yangu mpendwa! Kabla hujaolewa inaewezekana ulikwishachumbiwa na watu wengine. Posa za uchumba huu inawezekana zilitoka kwa watu wachamungu, matajiri, wasomi, wanaotoka koo kubwa , wenye sura...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Mungu nikupe nini? Majuzi mwenzenu nilikuwa sehemu moja hospitalini. Nilimuona mdada mrembo kishenzi. Uzalendo ulinishinda nikaamua kuimbisha,na mambo yakaenda sawa. Ila kumuuliza kilichomleta...
5 Reactions
47 Replies
4K Views
Back
Top Bottom