Ndugu zangu,
Kumezuka tabia mbaya sana kutoka kwa wanawake, mwanaume unaielewa pisi unaikimbiza weee na anakuzungusha haswa ila mwisho wa siku anakuambia amekubaliana muwe kwenye mahusiano...
Mi nayeye tulikuwa tumepanga sehem moja. Mtoto alikuwa mzuri yule! shep kama katuni wa kuchora, nyuma kabeba, kifuani kajaza halafu saa6 kiuno kimekatika. Ukimwangalia tuu, kile kingozi chake hata...
Wanawake wapo na Intuition power kubwa Sana hivyo akikuambia jambo ebu nenda ulitafakari kwa umakini Sana.
Wanawake huwa wanazilewa Sana sauti za ndani kuliko hata sisi wanaume hivyo akikuambia...
BUSU ni ishara moja wapo inayoonesha upendo, mahaba salamu au heshima.
Kama neno la Mungu linavyosema..
"Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina."
1...
Dear Gentlemen,
Niaje wakuu?
Siku nyingi zimepita hatujakutana kwenye vikao vyetu kujadili mambo yetu.
Pamoja na mvua zinazoendelea kunyesha lakini, hakuna namna kikao kitaendelea kama...
Habari wanajamii forums
Nimekuwa muoga kuingia kwenye mahusiano full maana navyosimuliwa huko ni kwa moto maana sijawahi kupata story za furaha,washikaji wananisimulia habari za kutisha na zenye...
Ndugu zangu,
Hivi kwanini ukihisi au kubaini kuchapiwa mke au mwenzi wako huwa inaumiza sana mutima na kuvuruga akili, maisha, uelekeo na mipango ya wababa wengi na hata kufikia hatua kusababisha...
Warning, huu uzi ni special kwa wanaume tu.
Wazee, nawasalimu popote mlipo kwenye maangaiko ya kujitafutia, Mungu atubariki na atuongezee rikizi zetu kwenye hii dunia ya majaribu.
Wanaume...
Wadau naomba msaada wenu.
Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa...
Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk
Nimeona wengi kwenye comment...
Habari zenu wapendwa.
Mimi ni binti wa miaka 24. Niko kwenye mahusiano na mchumba wangu ni miaka 6 Sasa tunaenda na ninampenda Sana mwanaume wangu.
Shida ya kuja hapa naombeni ushauri anataka...
Inaweza kutokea mtu fulani akakukwaza kwelikweli au kukuweka katika mazingira usijuwe hatima yako itakuwaje.
Hapo sasa unakuta anatokea mtu mmoja anakunasihi kwa maneno haya "kaka/dada uwe na...
Habari wakuu,
Hii Sasa ni zamu ya wanaume, najua wanajua namna walivyopigwa matukio.
Tunaendelea na sehemu nyingine ya kuvunja ukimya na kutoa sumu moyoni..
Ni wakati wa wanaume kufungua moyo...
Habari Zenu wanajamii,hope mmenusurika na mafuriko,pole Kwa waathiriwa wote.Moja Kwa Moja kwenye mada,katika maisha yetu ya mahusiano asilimia kubwa tumeshakumbana na usaliti Yani kusalitiwa na...
Habari zenu wana jamvi, uzima upo.
Tuendelee kuipambania nchi yetu isizame.
Nipende kwenda moja kwa moja kwenye mda husika. Kila mwanaume huwa ana mbinu zake za kudaka samaki wake, niseme tu...
Usimuone mwanao kama mzigo na wala usimsimange mtoto kwa sababu ya tofauti zilizotokea kati yako wewe na babake act like nothing has happened, lea mwanao kwa upendo usimsimange eti kisa hupewi...
Ukiachana na wale wa mbali kidogo kama washikaji ambao huibuka mara kadhaa pale tu wanapokuwa na shida, nilibakisha watu wawili ambao niliamini ni wa kweli ila sasa nimefikia hatua ya kuwafuta...
Nimeifosi akili yake,mishipa na mwili wake ajiandae aelekee club na ampigie simu mtu rafiki ake wa kike.
Ameshakwenda club Y na naona madume wakware yameshaanza kummemdea na kumkonyeza.
Naumia...
Habari za weekend wakuu,
Kwa wale wataalam wa No strings attached, huwa mnafanya nini ikitokea mwenzako anaanza kufall, unamuepukaje? Unaweza kufanyaje umrudishe kwenye mstari…
Na ile uko na no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.