Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mohamed mtaleban leo nakuletea sifa kumi (10) za mke mwema ,maaudhui hii ni ukumbusho kwa wanawake wote walio ndani na nje ya ndoa na hata wanaume ambao ni wasimamizi wa ndoa na wanawake kwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Lengo ni kusogeza huduma na kutanua wigo wa huduma ya upqngaji uzazi BBC --- Millions of women will be able to get free contraceptive pills on the high street from next year without having to see...
2 Reactions
5 Replies
585 Views
Jamani labda ni wivu umenizidi au labda ni umbumbumbu. Mume wangu wiki nzima amekuwa na maandalizi ya safari ya kikazi Nairobi. Tunapendana na kuheshimiana sana pia na kuaminiana. Leo alikuwa...
9 Reactions
62 Replies
3K Views
Je, ndugu ushawahi kukumbwa na hii hali ya kumchukia mtu bila sababu? Hii hali imekuwa ikinipata kwa nyakati tofauti kulingana na eneo nililopo yaani najikuta namchukia mtu fulani, hajawahi...
1 Reactions
6 Replies
770 Views
Wadau imekua jadi yangu sasa kupokea walimu wa field na baada ya muda lazima niombe mzigo. Sasa juzi kuna demu kanikomesha, alipofika tu kituoni nikaomba namba zake za simu, nikaanza kushoboka...
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa masikitiko sana.. Nasikitika kuwaambia nilipanga kumtelekeza huyu mwanamke ila ghafla sana uume wangu nahisi umekuwa wa baridi na nyoro nyoro, ndugu hisia zimepotea hakika niwapo...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu nimetembelea jukwa zote kwa mwezi mzm nimegundua hili la mapezi linakimbiza Sana Nyuzi Kama kula tunda kimasihara
0 Reactions
1 Replies
309 Views
Leo nimekaa zangu Beach nakula Upepo wa Bahari zikanijia kumbukumbu enzi za ujana wangu, nikaona niwamegee na nyie, Nakumbuka vizuri nilikua kidato X, nilikua nadate na mtu tuliyependana enzi...
17 Reactions
196 Replies
11K Views
Heri ya sikukuu ya Eid msio bakwata. Majina yote nitakayotumia humu sio ya wahusika halisi. Lakini maeneo, watu(wahusika) na matukio ni halisia. Miaka kadhaa nyuma, nilikuwa nafanya kazi ya...
22 Reactions
447 Replies
74K Views
Haya mje sasa Naona kumekucha Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole Kisa kinaenda hivi Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu...
1 Reactions
207 Replies
12K Views
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe? kwanini nisimuoe tu fasta, yaani nimempenda, napeleke washenga...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Unapokuwa na Familia Usiseme Kazi yako ni kuwapa Chakula tu na Sehemu ya kulala. Unapoitwa Baba au Mama Lengo kubwa sio kumpa mtoto Chakula au Sehemu ya kulala , Maana kila mtu anaweza kufanya...
6 Reactions
9 Replies
676 Views
Moja kwa moja kwenye mada, salamu iko mwisho wa uzi. Katika harakati za kuhangaika na kuishi hapa duniani. Kama binadamu uliyekamilika(isipokua wale wachache), unatakiwa kuwa na mwenza. Awe mke...
17 Reactions
138 Replies
5K Views
Ukihitaji salamu nenda kwa waswahili wenzio,kwangu utaambulia chuya tu!. Kuna mambo mawili ambayo siwezi katakata na sitothubutu kuyafanya kwa kiumbe anayeitwa "MWANAMKE" Mambo hayo ni :-...
22 Reactions
93 Replies
6K Views
Wana jamvi kuna kijana mwenzenu kayakoroga hapa, anaomba msaada wa ushauri. Kamtumia mpenzi wake picha za utupu za kudownload kwenye mtandao, mwanamke kashtuka ili hali mwanamke katuma zake OG...
8 Reactions
99 Replies
7K Views
X Alikuwa Ni mwanamke niliompenda kwa dhati, niliachana naye kizembe sana na hakutaka kurudiana na mimi. Nakumbuka baada ya kuona simuelewi elewi, niliandaa mpango mzima wa kumtia wivu ili...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Waafrika hatuwezi kuendelea hata iweje. Mtu akiwa na shida hachangiwi kabisa, hata akikosa ada ya shule hachangiwi, Tangaza harusi uone watu wanavyoibuka kutaka sifa, mimi nitatoa mil moja, mimi...
18 Reactions
73 Replies
6K Views
Wasalaam, Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa. Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda...
18 Reactions
100 Replies
6K Views
Ndugu zangu wana jf naombeni radhi kwa kuwakurupua sana. " SOMA KWA MAKINI UELEWE , RUDIA KUSOMA POLE POLE KAMA HUJAELEWA" Ndugu zangu unapopima DNA wanachukua sampuli za maeneo 15 kutoka kwa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi hali inakuaje ndani ya nyumba au ndo basi tu kuvumiliana?
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom