AIBU
Kama kawaida mzee wa visa nakuletea kisa kingine iki apa twende sawa.
Dada naomba nipeleke huko kwa wamama kuna aibu imenipata nilikuwa ukweni yani nilienda kwa mara ya kwanza na nilifika...
Hii ni sentensi yangu, imejaa Falsafa.
Naona wengi wanfuta wakat wengine wanaendelea kuona ulichofuta.
Binafsi naona madam umeandika usifute. Acha uko sahihi.
Kinaacha wengi tunaandika...
kwanza Namshukuru Mungu kwa sikuu hii tukufu ya leo kwa kutujalia kupata baby boy, hakika yeye ni Muweza 🙏
Pili nipende kutoa pongezi zangu za dhati kwa members wote wa JF mlionipatia ushauri...
Wanawake haijalishi awe kicheche au awe wife materials Hawa wote jicho lao moyo na nafsi wanaomba kwa Mungu na Shetani ili wampate mwanume mwenye vigezo hivi
Mpole ambaye haongei Sana
Msafi wa...
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete...
Kuna mwanamke ambaye tayari nimeshamuwekea mahari lakini bado yupo kwao. Kulingana na mila za ukoo wao ukioa katika ukoo wao kabla ya wewe kumchukuwa mke wako lazima familia Yao wa kutane wacheze...
Ex girlfriend wangu aliolewa miaka mitatu nyuma, tena aliniacha kwa kuniumiza moyo kuwa mimi sina hela wa maisha.
Kasikia kuwa kesho naoa, leo kasema ataniletea mchango wake 1mil. Tumekubaliana...
Ndugu zangu wana jf najua nyie ni wataalamu wakuyasoma matendo ya mtu na kutoa ushauri sahihi.
Wakuu nataka kuishi na huyu mwanamke kama mke wangu ila ananitatiza kidogo msomeni tabia yake alafu...
Mwanamke wa Dar ni muongo. Akijua tu kudanganya
basi hiyo imekula kwako. Atakuwa na sura mbaya,
atakudanganya na urembo. Atakuwa
mweusi tiii atakudanganya na mkorogo.
Atakuwa na tabia mbaya...
Ndoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi...
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada.
Mapenzi yana nguvu sana pale unapopenda kisawasawa unaweza tembea umbali mrefu kufuata penzi bila kujali umbali, gharama zozote ili mradi...
Wife yuko mkoani kwa ajili ya kujifungua. Tuliamua aende huko kwa kuwa ni uzazi wake wa kwanza na hapa mjini hatuna ndugu wa kuweza kusaidia mambo ya kumkanda, kumpikia na huduma nyingine kwa mama...
Kila mtu anapenda sifa (kusifiwa), si wanawake pekee wanaopenda kusifiwa isipokuwa tofauti yao na sisi ni reaction baada ya kusifiwa au kutosifiwa;
Mfano, Mwanaume ukimsifia kwakitu fulani...
Kama mwalimu ambae ninakutana na watoto wengi kutoka katika 'background' tofauti tofauti, naomba niseme watoto wanaolelewa na mzazi mmoja hususani mama (single mother) ni jipu kubwa ambalo...
Ebu jaribu kuvuta picha, upo kwenye bustani ambayo wewe ndiye mlinzi na mtawala. Bustani ambayo, simba na wanyama wote wanakutii, wanaitikia uwaitapo kwa sababu wewe ndiye sababu ya wao kupata...
Wapendwa,
Kumeibuka kasumba na tabia isiyo ya kiungwana ya kuchepuka nje ya ndoa au uchumba hivi sasa.
Na inaonekana sasa jambo hili ni kama la kawaida tu. Hapana. Si sawa hata kidogo.
Tabia...
Nawachukia wanaume.
Wanaume wa sikuizi wengi wao.
Hawana mapenzi ya dhati.
Wameacha kutujali kama zamnai.
Hawatusikilizi.
Wanatudharau.
Kiukweli nawachukia tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.