Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mahari iwe walau laki 5, gharama za sherehe ni sehemu ya mahari itayogharamiwa na upande wa binti. Binti hatongozi, ni sisi ndio wenye uwezo na kauli hio ya kuanza mahusiano, Na hata tukiingia...
9 Reactions
20 Replies
862 Views
Ama kweli kua uyaone,nilijuwa magorofa. Ni siku ya pili leo hii tunakula milo miwili baada yamambo yangu kukwama kidogo. Hanipi unyumba na hanijibu kwachochote.ingawa milo tunakula ni miwili,ila...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Habari wakuu? Kuna binti nipo nae kwenye mahusiano kwa miezi sita sasa. Nilikutana nae kwenye mgahawa mmoja nilipokuwa naenda kupata chakula. Mimi bado sijaoa na sina familia maisha yangu mengi...
14 Reactions
75 Replies
6K Views
MONEY IS NO MORE AN ISSUE, KNOW HOW TO HANDLE YOUR WOMAN. Leo sikwenda kazini, nikaona nipitepite mtaani kwetu nipige story na marafiki. Nilifika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta ubishani...
0 Reactions
2 Replies
440 Views
Kasumba ya mabinti wengi wa kileo ni kutaka kuishi maisha ya kujiachia ila at the same time kuwa na ule ulinzi wa kijamii anaopewa mwanamke. Mfano, leo mabinti wengi wanataka wasiolewe ila wazae...
5 Reactions
14 Replies
726 Views
Back in a day ilikuwa unaweza kuwa kimawasiliano na binti hata mwaka mzima mkibadilishana taarifa mdogo mdogo mean while mkitoka out ya matembezi, au kuhang pamoja uwanja wa mpira, Beach...
39 Reactions
327 Replies
15K Views
MWANAMKE USIACHE KUSOMA HILI Ni hakikisho la uhai wa mahusiano yako ni dawa ya NACHUJA.Ukitumia hii dawa; 1.Hautaumizwa tena(Mwanaume wako hatakua na mda na mwanamke mwingine zaidi yako.)...
2 Reactions
13 Replies
817 Views
Habari ndugu zangu nawasalimia[emoji112][emoji112] Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ipo ivi nimepata mchumba kibint kidogo ila pia nimefanya utafiti wangu kuhusu familia yake...
17 Reactions
322 Replies
14K Views
Wakuu nawasalimu! Moja Kwa moja naandika. Nilizaa na dada mwaka 2006 kama sikosei, nikiwa na ndoa, mke wangu alijua yakaisha. Nilitunza mtoto na kulipa huduma ila baadaye tukagombana tukatulia...
31 Reactions
198 Replies
9K Views
Nilikua na mahusiano na binti, tulikua wadogo yeye O level mimi advance, alinipenda kwa dhati ila mimi nikiri sikua najua maana ya upendo na maumivu yake, nilipomaliza advance nilimuacha tu bila...
4 Reactions
12 Replies
692 Views
Back then nipo kwa bro alikuwa na huyo manzi yake beautiful, educated, ana kazi yake (kazi kapuni) and of course alikuwa na characters za wife material. Akija pale kwa bro atapika, amfulie nguo...
17 Reactions
27 Replies
2K Views
Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni...
14 Reactions
187 Replies
9K Views
Za weekend? Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake? Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa...
18 Reactions
195 Replies
5K Views
1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa...
19 Reactions
101 Replies
5K Views
Ni pale unakua na mwanamke unae mpenda sana na kumuamini sana. Yaani hakuna jambo lililo ndani ya uwezo wako ushindwe kumfanyia. Inafikia demu wako hata chumvini unazama bila shida na siku...
13 Reactions
46 Replies
3K Views
Yani ile siku hata nikiona text isiyoelewaka katika simu yake nisipanic, nimuulize tu nani huyu? asiponipa majibu yakueleweka hata isiniumize kichwa nilale kwa amani kabisa asubuhi niamke niende...
6 Reactions
67 Replies
2K Views
Mpenzi wngu nialike kwenye harusi yako. Kama ukitaka naeza kua shaidi yako pia. Haikuandikwa mbinguni tuwe pamoja lakini naeza fanya kila kitu ili tu ue na furaha. Furaha yako ni ktu muhim sana...
3 Reactions
8 Replies
362 Views
Ndugu wana Jf tunaomba mtuombee sisi wa kosefu.Amina MAJUKUMU MAKUU YA MWANAUME HAPA DUNIANI* 1: KUTAWALA (uongozi wa viumbe hai na wasio hai wenye mwili na wasio na mwili kwa namna zake) 2...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kila ndoa ina changamoto zake, na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wana ndoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wana ndoa hawawezi kuziepuka. lakini kuna...
13 Reactions
81 Replies
11K Views
Wakuu tupeane abc maana sifurahii maisha haya na sometimes dhamiri yani inanisuta kwanini nimechagua njia hii. Kwa wasiojua maana ya anasa ni vitu vyote visivyo na ulazima unavyoweza kuvifikiria...
11 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom