Nimeishi na muathilika ambaye ni mwenza wangu ambaye naweza kusema ni mke wangu sababu nimeishi naye zaidi ya mwaka mmoja lakini kwa muda huo wote alikuwa akinificha kuwa yeye ni muathilika...
Mwanamke akitulizwa anatulia mf. Hai ni zari ,zari alikuwa anadate na kila mtu kila mtu,hadi akaitwa shangingi ila leo shaby wake amemtuliza zari hasikiki kama yupo.
Katulizwa tuli anapewa huba...
Napitia Mamiuvu makali sana kwenye moyo, akili na roho
Nisiseme mengi. Tuko kwenye mahusiano ya kimapenzi, japo si ya wazi. Imebaki kuwa siri yangu mimi na yeye. Yuko na room yake (ni single...
Hapo vip!!
Katika uchunguzi wangu nimegundua mke mdogo katika familia ananguvu sana na anaogopeka sana na wanawake wengine pamoja na watoto wao.
Na kama mwanamke wako anakusumbua na hakuheshimu...
MMU family, happy blue Monday y'all.
Ni ukweli usiopingika kuwa dunia imebadilika sana, vijana wa miaka ya 80-90 ni tofauti na wa miaka ya '00-'20, changamoto zimekuwa nyingi, hasa swala la...
SEX IS NO MORE AN ISSUE, KNOW HOW TO HANDLE YOUR MAN.
Leo katika pitapita zangu nimekutana na wadada fulani hivi wanapiga story. Mmoja nilisoma nae sekondari lakini hatukuwahi kuonana tangu siku...
Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa naona wanawake wengi waliozalia nyumbani wakilalamika kuwa sisi wanaume ndio sababu ya wao kuwa single Mother, wengine wanasema "Kwani mimba tulijibebesha wenyewe" n.k...
Haya twende kazi
- Mmetoka zenu matembezini uko mnaingia kunako 6*6 mtu anang'ang'aniza mparamiane hivihivi na majasho mwilini bila hata kuosha mwili kwanza.
- Anapenda kula denda ila sasa hiyo...
Hivi kwa mfano nimemua ni mchumbie mchumba wa kizungu mwenye maisha ya kawaida nawezaje kumpata?
Namzungumzia mwenye utayari wa kuishi hapahapa Tanzania na kuendena angalau kidogo na taratibu za...
Mamboz.
Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.
Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.
Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
1. Mwanamke mwenye mume mchepukaji.
Kesi za uchepukaji za mume za mara kwa mara humtengua mke kwenye msimamo wake wa kulinda heshima ya ndoa yake.
2. Mwanamke asiyepata mtoto katika ndoa yake...
Salaaam vijana wenzangu.
Naomba mnisaidie kijana mwenzenu miaka 25 nataka nitoke kwenye hii hali ya U single nimeuchoka, Hivi mnapata wapi wapenzi serious yaani yule mwenzi wa kuwa naye maisha na...
Wanaume wanao wakataa watoto damu zao walio wazaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa Kuna kitu wanakijua ambacho sisi viherehere tunao wakubali Na kuwalea watoto wa nje/kabla ya ndoa hatukijui.
Please...
Mabinti wa Kigalatia kuna cha kujifunza kutoka kwa wenzao hawa maana kwa wastani ni nadra kukuta hawako vizuri kwenye eneo hilo.
Ila huu upande wa pili daah!
Safari bado mbichi (in mc...
NITAGAWANA MALI 50/50 NA MKE WANGU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Mali hazikuwa na kamwe hazitakuwa kipaombele changu. Sio mimi tuu bali Watibeli wote. Ikiwa ni mke wangu. Ambaye naye ni...
Kuna thread humu ndani inahusu habari ya dalili ya mwanamke aliyetoka kuchepuka.Hii imenipa ujasiri wa kuuliza swali ambalo limekuwa linanisumbua siku nyingi.
I am not naive when it comes to...
Kama mtu haujawahi kukutana nae uso kwa uso usijiaminishe kwamba unamjua. Wewe unamjua kwa namna ambayo ametaka wewe umjue na asilimia nyingi huyo unayemjua ni mtu ambaye ni wa kisadikika hayupo...
Naomba nisaidie, sijui nafanya nini Kaka, mtoto wangu ni mbaya, ana miaka miwili halafu ni wa kike, yaani kafanana na baba yake kila kitu, mpaka naona aibu hata marafiki zangu kuja kunisalimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.