Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Maisha ya sasa mwanaume na mwanamke ni maadui wakubwa sana tusitegemee tena mahusiano ya kimapenzi au ndoa kudumu. Uhalisia ni kuwa maisha ya sasa yamejaa uadui mkubwa sana kati ya mwanamke na...
11 Reactions
98 Replies
7K Views
Habari zenu Wakuu, Kwenye pitapita zangu Jf nikakutana na mdau akimshauri jamaa aliepigwa tukio na Mwanamke wake wa ndoa, na moja ya ushauri aliompa huyo alietendwa ni "PENDA KWA KIASI USIPENDE...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Dear friends! Nimejiuliza muda mrefu Sana, na sipati muafaka. Imekuwa hivi kwamba mwanamke hulalamikia matendo ya waume kwenye ndoa, ama mahusiano ya kawaida kimapenzi kuwa ni wenye ubinafsi...
0 Reactions
2 Replies
537 Views
Wakuu mulibwanji.. Huku mambo ni nainai tu. Hapa nyumbani kwangu kuna mdogo wake na mwanamke wangu binti mkubwa tu wa miaka 23 sasa. Alikuja huku kwa lengo la kujiendeleza ufundi baada ya kukosa...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake. Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa...
5 Reactions
120 Replies
4K Views
Assalam mwana MMU, pole na majukumu ya kimaisha. Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2015 baada ya kuhitimu elimu nilanza harakati zangu kitaa, nilitoka mkoa niliokulia na kuja kanda ya ziwa...
13 Reactions
117 Replies
9K Views
Wadau, Nina bahati mbaya sana, huenda niache mchepuko nitulie tu sasa maana sijatulia vizuri kutokana na ule mkasa wa pink panther wa Jf, weekend iliyokwisha nilimuomba binti wa IFM outing...
23 Reactions
124 Replies
14K Views
Huyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material. Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na...
48 Reactions
146 Replies
8K Views
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara. Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya...
27 Reactions
59 Replies
5K Views
Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi...
42 Reactions
189 Replies
8K Views
Ni muda tena napokea taarifa kutoka kwa familia hii ya rafiki yangu kuhusu mkewe ila nimeshindwa kumshauri hebu, tusaidiane pamoja wana JF.... Mke wangu nimeshindwa kumuelewa yaani maisha yake...
52 Reactions
211 Replies
14K Views
Habari za Muda huu Nipo na rafiki yangu, nimekua nikiona ana ratiba yake ya kupika na kuosha vyombo. Watu huku wenzetu wanamapenzi ya kizungu yaani huyu rafiki yangu kila Jumapili huwa...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Barry it is exactly 12 days since you left, I told myself it is not true I am dreaming. I have been holding my tears but today I have failed. I am crying and I am going through your messages and...
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Habari Za Muduu Wote Wana jamii forum Nimeona Kumekuwapo Mijadala Mingi humu Kuhusiana na Suala zima la (SINGLE MOTHERS) Kwa tafsiri ya Mama aliyekimbiwa na baba wa mtoto japo single mothers...
10 Reactions
66 Replies
3K Views
Hellow habari za uzima wana jf, Naombeni ushauri nifanye biashara gani ..Stori ni hivi mimi ni mama mama wa miaka28 ninawatoto wawili mmoja 3 na mwingine 2 nilikuwa naishi na uyu mwanaume ila...
2 Reactions
10 Replies
582 Views
Sina haja ya salamu maana nimefedheheshwa na kitendo nilichokiona leo. Nilikua kwenye harakati zangu za kusaka maokoto mitaa ya Malimbe SAUT Katika pita pita zangu lahaulaaa!! Namkuta njemba na...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari! Kwa lengo la kuelimishana, ili kusudi palipo pazuri paendelezwe na palipo na dosari parekebishwe. Ewe mwanamke, ni changamoto ipi ulikutana nayo ama unakutana nayo kutoka kwa wanaume...
1 Reactions
2 Replies
494 Views
Leo wewe yajue na ujiepushee.. 1. Jiepushe na watu wasio na malengo na wasiojua kusudi lao la kuja duniani, watakupotezea muda na kukukatisha tamaa na hutojifunza kitu cha kukusaidia kwao. 2...
19 Reactions
27 Replies
2K Views
Yaani ile unahustle kiume, mchana kutwa jasho linakutiririka, mwanaume wa shoka unapambana na kazi ngumu ambayo inaweza hata kukuibulia vichomi vya mbavu, mgongo hata kiuno. Yote hayo unajikaza...
19 Reactions
64 Replies
3K Views
Sijajua imetokea nchi gani nafikiri kati ya Congo au West Africa kule. Afu Ex wake inasemekana alihudhuria kwenye ndoa. Nguo za zamani hazitupwi. Cha kushangaza mbona ex wake hakumchumbia😳😳😳...
6 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom