Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kila mtu na mapenzi yake apendayo. Kila mtu na malengo yake kwenye mahusiano. Mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni jambo la kawaida, pia ni vyema afanye hivyo. Lakini inategemea maamuzi ya...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta...
36 Reactions
425 Replies
16K Views
Habari zenu wana jamvi,natumaini mko salama salimini kwa kudra za muumba wetu. kuna baadhi ya wanaume mishipa ya aibu ilishakatika kabisa ikabakia kwenye dushelele zao tu,kuna bi shostito mmoja...
12 Reactions
144 Replies
13K Views
Je, Mahusiano gani mtu anatakiwa kuwa na familia yake? Kwa kutumia akili timamu mahusiano yote yanatakiwa kuwa kama ya mfanyabiashara na kanuni za biashara kwa maana yatushirikiane na watu kwa...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Ni matumaini yangu mmependelewa kuiona siku ya leo mkiwa na nguvu na matumaini mapya ktk maisha. Kama mjuavyo hali ya maisha imepanda sana kiasi cha kuumiza vichwa vya watu wengi,hasa pale...
18 Reactions
190 Replies
18K Views
Walianza leta sababu za ukame na mabwawa kukauka,Leo hii mvua Hadi za mafuriko ila mgao is the worst,wikiend yote mmekata nkadhani leo jumatatu mtatuachie tufanye kazi Ili tulipe Kodi mueze...
0 Reactions
1 Replies
355 Views
Waache wazeeke kwa upendo uleule waliokulea nao. Waruhusu waongee na wasimulie hadithi tena na tena kwa subira na shauku ile ile waliyokusikiliza ukiwa mtoto. Waache wawe washindi, kwani mara...
20 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakati nahamia mtaani ninapoishi nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili nilimkuta jamaa jirani yangu nae anaishi na mkewe na mtoto wao mdogo wa mwaka miaka miwili hivi, wakati huo mke...
17 Reactions
47 Replies
12K Views
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3). Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Usiwe na maamuzi ya pupa kisa njaa unakula chochote unachokiona mezani hata kama hakifai. Wapo watu wanaangukia katika mahusiano na mtu asiyesahihi au asiye chaguo lake toka moyoni kisa kujiona...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Huyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja...
22 Reactions
140 Replies
15K Views
Habari wakuuu, ninaona jumapili inatupungia mkono magharibi inakaribia. Dada wa rafiki yangu ninamuona kama dada yangu. Twende kwenye mada Huyu dada aliolewa na jamaa mmoja maarufu kwa jina...
3 Reactions
8 Replies
891 Views
Habari ndugu zangu.. Wanawake weupe hawana mvuto kabisa na wala hawana ladha hata kidogo kunako sita kwa sita. kwa upande wangu mwanamke rangi ya andazi au mweusi wa asili anavutia sana nani...
21 Reactions
118 Replies
7K Views
Katika siku za hivi karibuni imekuwa ngumu sana kumfariji mpenzi wako pale anapokwambia hayuko sawa na ukimuona haumwi maana wengine huwa wameuziwa na wapenzi wao so asipokupa sababu genuine una...
6 Reactions
16 Replies
919 Views
Hapo vip!! Kwawale ambao walikuwa hawafahamu kama mimi,ni hivi kuoa sio lazima. Hivi hata Mungu wetu hajalazimisha watu waoa ila amekataza uzinzi,uwasherati n.k Ninachoamini Furaha kubwa katika...
5 Reactions
6 Replies
433 Views
Wakuu mulibwanji? Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto...
33 Reactions
184 Replies
12K Views
Ibaki kuwa hivyo. Previous nilikuwa natongoza mabinti wabovu wabovu nikiamini kuwa wataona ni bahati kutongozwa, hivyo nitawapata kirahisi sana na hata mbususu nitakuwa napewa kwa kubembelezwa...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kwani nyie huwa mnatumia mbinu gani kuwakimbia wake zenu,maana mi huyu shemeji yenu anakaba hadi penati kila niendapo naye yupo huyu hapa kama mkia,nimejaribu kumtoroka mara kadhaa...
15 Reactions
50 Replies
2K Views
Kuna Guest House moja mbali na mtaani kwangu huwa napenda kwenda kufanyia tabia mbaya. Hii Guest ni imetulia sana, hata entrace zake ni rafiki kwa ajili ya wanachama wa ndoa zao Imeibuka tabia...
1 Reactions
15 Replies
683 Views
Huwa siwaamini kabisa kwenye kila kitu sijui kwanini Hasa hawa wanaovaa dela au kijora upande mmoja unashikiliwa na sidilia bega wazi ukifanya masihara UTI Sugu nje nje Wengi huwa kama...
14 Reactions
93 Replies
5K Views
Back
Top Bottom