Sababu kubwa ni 2 tu.
1. Wanaume kwa asili huwa wanamtongoza mwanamke ambaye wanamuona ni mnyonge (ambaye hana sifa zote za uzuri) ili kuwa na uhakika wa kukubalwa. Wanaume huogopa kutongoza pisi...
Habarini
Sijui kuandika sana kiufupi ipo hivi.
Leo nilikuwa na mmoja wa rafiki zangu sasa wakati wa story za hapa na pale jamaa si ndo akanisimulia kuwa juzi alikuwa na pisi yake room kwa hiyo...
Huyu mzazi anaharibia watoto wake uzao alianza binti mdogo akapata bwana wakawaida tu huyu mama akamfukuza basi akaletewa tajiri tena wamadini akamfukuza akisema amekuja kumtoa sadaka na familia...
Ndugu zangu Mwenyezi Mungu mwingi wa huruma na rehema tunaomba utusamehe sisi wanadamu napia tunawaleta kwako ndugu zetu wa mkoani Manyara-Arusha wa kule hanang, Mungu endelea kuwa rehemu na...
Natarajia kuvuta jiko mapema mwakani matarajio yangu ni kuwa na ndoa yenye furaha na ambayo kifo pekee kitatutenganisha sio jambo jepesi ila ndio mipango niliyojiwekea na mwenzangu.
Sasa katika...
Kama mwanaume ndio au miongoni mwa waliofanikiwa kwenye familia, usipokuwa makini utagombanishwa na mke wako. Dada zako watajifanya wana extra caring ya kumzidi mkeo + majungu kibao.
Kuna muda ni...
Najua mtaona na wasumbua sana na kunichoka ila nahitaji matumaini ndani ya nafsi yangu . Sipo sawa kabisa nikiri mbele yenu.
Nisaidieni mawazo nilikua na meza hadi amitrilia nimebadilishiwa na...
Unakuta kijana wa kiume yuko na wapenzi si chini ya wawili lakini haachi kujichukulia sheria mkononi (Kujichua)
Je, ni kwamba anakua haridhiki anapofanya ngono na mwanamke wake au mwanaume wake...
Habari zenu,
Kwanza ningependa kuipongeza Serikali yetu kwa kufungia wavuti (Websites) za ngono japo kuna watu wanaangali kwa VPN.
Wakuu mkiangalia jamii yetu kwahivisasa inazidi kuporomoka...
Habar wana JF
Nakerekwa na baadhi ya tabia za watu kuhisi wao ni perfect kuliko wenzao
Inashangaza sana Watanzania, mtu yupo kwenye mtandao wa kijamii tena kwenye Jukwaa la Mahausiano na zaidi...
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.
Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita...
Habari ya maandilizi ya sikukuu,
Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.
Kusema kweli hii...
KAZI YA WANAUME – KUTAFUTA: Sehemu ya I
Wanasayansi wanasema na ndivyo ilivyokusudiwa na Mungu. Mwanaume Adamu aliwekwa bustanini Edeni ailime na kuitunza (Mwa 2:15). Hata yeye na mkewe Hawa...
Wadau hii nimeisikia toka redio Times fm, kuna jamaa ametupia kama neno zito la leo!
Wakati natafakari kuona kama kuna ukweli wowote, sijui ninyi mnasemaje wakuu?
Wakuu mulibwanji, huku mambo ni mwagalayoo.
Kuna thread nliandika humu kuhusu mdogo wa mwanamke wangu, binti aliomba aje ajiendeleze ufundi kwamab kwao hana wa kumsaidia.
Nikatuma nauli akaja...
Hizi mvua na hizi baridi baridi, sizielewi elewi kabisa, hii ni hatari kabisa kwa afya ya binadamu, hasa kwa wale wote walio singo; kwangu uzalendo umenishinda kabisa, naamua kufanya maamuzi...
Inafikirisha unapokuta mtoto anakosa heshima kwa dada anayemlea na kukaa naye nyumbani pale wazazi wanapokuwa kazini. Na mara nyingine mzazi anaona ni sawa tu na wala hamkemei mtoto wake kwa tabia...
WANA JAMVI HABARI ZENU!
Ninachokiandika hapa ni ukwel 100% na imenitokea mm hapa mwenyew wala sio hadithi ya kusimuliwa na m2!!
TUANZIE HAPA.
Mnamo mwaka 2015 nilihitim elim yangu ya kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.