Hii ni maalum kwenu wanaume wote(hasa vijana) msiowajua vyema wanawake walivyo.
Wanawake hawaachi kufikiria. Kamwe hawazipi akili zao mapumziko.
Na huwa wanafikiri kwa ndimi zao zinazozunguka...
Naomba nimjibu mdau kwa ufupi wanawake wengi tunavolichukulia hili swala
Wanawake wengi naturaly tumeumbwa kwa roho ya huruma na kutunza familia. Pia tunapenda familia issetle kwa upendo na umoja...
Si maneno yangu bali ni maneno yaliyo katika wimbo wa Jimmy soul. Ukizungumzia hasara za kuoa mwanamke mzuri.
If you want to be happy for the rest of your life
Never make a pretty woman your wife...
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.
Wanaume wengi utawakuta...
Kwema Wakuu!
Yaani unanisonya na kunipandisha na kunishusha kisa hilo wigi lako. Unachekesha sana.
Mimi najua unakipilipili kikali sana. Hiyo Makeup yako iliyokuchonga sura na kuyafanya macho...
Wakaka wa kiislam dini inaruhusu ebu mjitahid kuoa wanawake wawili hadi wanne kupunguza ili janga la wadangaji na single mom.
Wanaume mpo wachache na miongoni mwenu pia kuna mashoga
Bwana MAPESA amesema biashara yake imeshuka baada ya ndoa.
Bwana MAPESA anamiliki maduka makubwa matatu ya biashara ambapo bidhaa za nyumbani na mahitaji mengine hutolewa, biashara ambayo...
Ushauri wangu wa leo ni kwa wanamume tu.
Ndugu yangu mwanamke wa kileo Ukifika au akija getoni kwako chakufanya ni
KUPANDISHA HISIA, Shusha MZIGO tembea
Hio ndio iwe kauli mbiu yako.
Sio...
Kuna aina ya watu kichwani hazichaji, ukiwana mahusiano na mtu wa aina hiyo we mchukulie kama sex toy hakuna la maana analoweza kukushauri nje ya 6x6[emoji3].
Ukiangalia na kwa upande wa wanawake...
Kwanza ni rahisi sana kuvunjika, kuvumiliana ni zero, kusameheana ni finyu mno.
Migogoro na mafarakano kwenye familia hayaishi.
Visasi na vinyongo kama vyote.
Ndoa nyingi ni kama uwanja...
Ukiona ndoa ya mtu inaharibika? Inapumua na gesi halafu mmoja anajifanya ndio eti anaonewa . Halafu anakuja kwako eti nataka tuwe marafiki baadae tuoane tupate watoto aisee kimbia futi elfu moja...
Mwaka ndio huo unayoyoma shukrani kwa mwenyezi, ila na vimbwanga navyo havikosekani.
Mwaka 2018 niliachana na wanawake wawili niliokuwa na mahusiano nao kipindi hiko, mmoja alipotea tu ghafla...
Hivi mwanaume unapataje ujasiri wa kulala kwenye nyumba or appartment ya girlfriend wako na isitoshe huchangii kodi?
Tena unalala na kukoroma kabisaa? What if hapo analipa mwanaume mwenzako...
Siku moja mwanamke alitoka nje ya nyumba na kuwaona wazee watatu wenye mvi kichwani wakiwa wamekaa nje ya nyumba yake.
Hakuwatambua na wala hakuwa anawafahamu.
Akawaambia, "nafikiri siwafahamu...
Siku zote pesa inatakiwa ikupe mahitaji ya msingi, ndio maana tunatumia nguvu nyingi katika kuzitafuta.
Tunaamini na imethibitika, hatuwezi kuishi miaka 150; mara nyingi tumezidi sana tena kwa...
Nilianza mahusiano na dada fulani mwenye watoto wawili awali alinambia wameshatengana na mumewe na wanaishi nyumba moja kila mtu na chumba chake na kweli tulikua tukichat mpaka usiku wa manane...
sehemu ya 1
“hiyo mimba utailea mwenyewe…mimi sihitaji mtoto kwa sasa na hasa siwezi kuzaa na wewe” yalikuwa ni maneno ya Millard kwa Sarah. Millard na Sara ni waaafrika waliokutana Denmark kila...
Habari za ijumaa wadau. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina class mate wangu tupo karibu sana kama ndugu kwenye urafiki wetu.
Sasa anachangamoto ya kimahusiano na mke wake ameniomba ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.