Mke wangu alifiwa na wazazi wake wote wawili kwa ukimwi mkali ule wa zamani, hivyo akalelewa na baba yake mdogo tangu akiwa na miaka 8, darasa la pili.
Wife alipofika darasa la saba alibakwa na...
Siku moja, wanangu watakapokuwa na umri wa kutosha kufahamu kile kinachomsukuma mzazi, nitawaambia....
Niliwapenda kiasi cha kuwasumbua kuhusu mlikokuwa mmeenda, watu mliokuwa nao na saa ngapi...
Siku hizi kumekuwa na wimbi kubwa la singo mama, wanawake ambao wapenzi wao wamewazalisha kisha wamewaacha, wengine wana mtoto mmoja, wawili mpaka watatu. Lakini pia siku hizi kumekuwa na vijana...
Hawa ni wale mnaishi pamoja kama mtu na mkewe lakn hamjafunga ndoa na sio hawa wa ingia toka (one night stand).
Hawa bana ukishawabadilisha wawili watatu utaishia kuona hamna jipya chini ya jua...
Hili swali nimeamua kuwaletea Wadau humu Jukwaani, baada ya kujiuliza kwa muda Mrefu sana bila majibu.
Je kwenye Mahusiano ya Nowdays , ,ni nani hasa anaweza kurejesha Mapenzi mubashara pale...
Habari zenu.
Kiufupi, Kuna kitu kinanichanganya sana kuhusu maisha ya sisi vijana, haswa tuliopo kwenye age ya 20-30, nahisi kuna kitu hakipo sawa, either kwa upande wangu au kwa upande wa...
Wakuu mko poa lakini.
Niwape story kdgo.
Kuna demu nimefahamiana nae miez 4 nyuma,tulikutana sehemu moja hivi ikiwa ni katika harakati za kutafuta maisha na mambo kadha wa kadha ili maisha...
Habari zenu.
Aisee kuna mwanamke nimeingia naye kwenye mahusiano nina kama week sasa kasha nitoboa pesa kibao, yani sijui kaniona nina pesa sana, akikaa kidogo lazima aje ofisini anitoboe pesa...
Mazee nataka mwanamke ambaye atasema tuanze chini kwenda juu. Nataka mwanamke ambaye wangu u jobless ata fuel up to the top.
Nataka mwanamke ambaye atakuwa ananikera kwa kuitisha hizo cholo hadi...
Mambo 10 Mwanaume hutafundishwa popote
1. Kama upo naye simu yake inaita hapokei anaweka silence jikatae mapema
2. Kama upo na mahusiano na mdada simu yake ina password kila kona mpaka kwenye...
Habari za wakati huu
Kusema tu ukweli mimi nitaoa single mother, mwanamke mwenye mtoto nikikosa bikira. Kwa sababu;
~ Mtamu sana.
~ Anajua kupenda.
~ Amekomaa kiakili.
~ Wapo makini sana...
Hajanikosea lolote
Ila naona anahatarisha uhai wa ndoa yangu
Nina nia ya dhati kuachana naye
Ila sasa haya mahaba anayonipa sijui nitayapata wapi kwingineko
Natokaje viongozi mbona kama...
Jamani WanaJF ushauri naombeni maoni yenu.
I will be 27 by November niko na mtu anaenijali Sana Sana, he loves me kwakweli lakini eti mzazi wangu hususani baba hamtaki sababu ni muisilam na...
"Wakati niko chuo kuna manzi nlikua nae nilimpenda sana na nlkua na mipango nae mizuri tu tukimaliza kusoma tuwe pamoja.
Siku moja nikamkuta yuko na rafiki zake wamekaa nkamwita pembeni nikaongea...
Wadada naomba mlishike hili, hakunaga mimba za bahati mbaya ama ajali.
Biblia inasema Mungu alituumba kwa namna ya ajabu sana. Katika uumbaji huo alilenga kuzaana na kuongezeka ili kuijaza dunia...
Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani.
Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome.
Halafu anatokea mtu katika zama...
Mke wangu ameniambia kuwa kuanzia leo nikichepuka nitakachokipata nisimlaumu sasa hapa sielewi nifanyaje ukizingatia kuwa nini mchepuko wangu ambaye kwakweli kumuacha ni ngumu. Je ananitisha au ni...
Mimi naamini kati ya mtihani mkubwa ambao mungu amewapa wanawake ni kusubiri atongozwe,maana yake ili kumpata unayemtaka inabidi utongozwe Sana vinginevyo inabidi ukubaliane na yoyte hata kama...
Nimemfuma mara ya kwanza akinisaliti kwakuwa sikuwa na udhibitisho nikamsamehe nimemfuma mara ya pili akichati na kuongea na michepuko nikamuonya leo mara ya tatu anadai ananipima kama kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.