Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana JF, Naimani mpo poa sana kama haupo poa basi mungu akutie nguvu urudi kwenye ubora wako. Ujumbe huu nawatumia wote Wana-JF iwe Mwanasiasa, Daktari, Muuza Mkaa, tajiri na masikini na...
11 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni mtumishi wa idara X, lakini pia ni mjasiriamali, hapo nyuma mke wangu alikuwa anashinda ktk duka letu dogo lakini kwa sababu za kiafya (anasumbuliwa na maumivu ya Mara kwa Mara ya mgongo)...
37 Reactions
186 Replies
15K Views
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii. Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa...
15 Reactions
84 Replies
3K Views
Mwanamke ni mwanamke tuu , hivi mwanaume unajisikia vipi kuona mwanaume mwezako anatembea kwa mguu na demu wake alafu unapaki gari na kumuita demu eti una maongezi nae. Je, huyo aliyekuanae sio...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Ila hawa wanawake tunaoa tu sababu hatuna wasaidizi ila of course wanaboa sana. Asione sms ya jinsi ya kike hata kama sio mbaya anakufokea. Leo nilikua na safari town kununua mazaga ya familia...
10 Reactions
109 Replies
4K Views
Salaam sana. 1: Je, ni sahihi kumpa hela pamoja na matunzo mwanamke ambaye hujamuoa kabisa kwa kisingizio cha uchumba kuwa wanadai matunzo na vihela vidogo vidogo? 2: Je , ni halali kumpa...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Guys . Inakuaje mtoto wa kike unakuwa na mwanaume mmoja kwa karne. Kiukweli mapenzi yametutenda na yakatuumiza sana sana tumelia maumivu yameisha. Hakuna mwanamke mwenye mwanamme mmoja kwa...
15 Reactions
206 Replies
10K Views
Habari wakuu Wataalamu wa kutafsiri ndoto, nina swali kwenu. Je ndoto anazoota mtu mchana akiwa amelala zina ukweli wowote kama zile za usiku. Maana kuna ndoto nimeota (nisingependa kuhadithia)...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
KWANINI BINTI YANGU HAWEZI KUOLEWA NA MASIKINI KWA ELON MUSK. Elon Musk anaelezea kwa nini binti yake hawezi kuolewa na mtu maskini. Miaka michache iliyopita kulikuwa na kongamano nchini...
4 Reactions
11 Replies
807 Views
Katika miaka ya karibuni kumekuwa na upungufu mkubwa wa wanawake wazuri. Kwa sura, shape au mwonekano hasa mijini. Pengine hii inatokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na ukweli kwamba watu siku...
57 Reactions
363 Replies
27K Views
Starehe tunazipenda ila mwisho wake ni mbaya. Kuna huyu bibie ni neighbor kitu nachompendea ni simu moja tu anakuwa ashafika mara nyingi simtafuti namtia block mpaka hali ikiwa mbaya namu unblock...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Nimefukuzwa na kupigwa makofi na mke wangu baada ya kukataa kumpa pesa za kununulia gari na na kumkataza kwenda kwenye kuhesabiwa huko kwao Machame aisee yaani sio poa kabisa Mke wangu ni Mchaga...
4 Reactions
7 Replies
747 Views
Nilivyopata akili nilitamani kumjua baba yangu mzazi hapo nikiwa darasa la 5, baada ya kuona marafiki zangu wote wapo na wazazi wao wawili. Nikafuata mama na kumliza juu ya habari ya baba yangu...
91 Reactions
248 Replies
23K Views
Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote. Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja, mnasoma pamoja n.k.mtu...
17 Reactions
176 Replies
6K Views
Pichani ni dada yuko ana bet katika moja ya websit za betting je, ni sawa kwako?
3 Reactions
6 Replies
594 Views
Yaani huyu mwanamke sijui anataka nini kwangu. Tumeachana ila kaona haitoshi kamua kuniunganisha na watoa mikopo mtandaoni. Sizijui hizi kampuni za mikopo mtandaoni jinsi zinavyofanya kazi zao...
19 Reactions
184 Replies
16K Views
Ndugu zangu wana Jf. Kuna tabia ya wanawake kutupiga mikwara sana na kututishia kutuacha pindi tunapokua tunawapima kama ni wife material au laha hasha, wamekua wakituambia haya kama njia za...
12 Reactions
45 Replies
2K Views
Ndoa n jambi jema sana. Usikubali kuingia kwenye ndoa mmenuniana. Yaani ile miezi ya mwanzo msipoonyrshana upendo kinachofwata n mazoea ya ndoa. Jitahidi hata ukiact hii miezi ndio ya kula raha...
0 Reactions
13 Replies
677 Views
Kuna binti rafiki yangu kamuelewa anataka kwenda kwao kujitambulisha! Binti Mnyamwezi anaishi na wazazi wake hapa Dar! Akiandaa laki 5 za kufunguliwa mlango/mkeka zinatosha au dharau?
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom