Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Huyu ni mrembo nilijuana naye yapata mwaka. Tulianza kama friends baadae nikaweka mtego wa kula kimasihara. Akanasa kwenye mtego na kunogewa. Akakolea hasa akawa anaifuata mali mwenyewe. Kifupi...
21 Reactions
87 Replies
4K Views
Kumbuka hela ya mwezi December ndo itakuvusha mpaka January kwa ajili ya maandalizi ya watoto kuingia shule na ndo hiyo hiyo utahudumia siku kuu za mwezi huu na mwaka mpya Na nikipindi cha zile...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu.. Mimi kijana wenu nilimfukuzia binti niliyetokea kumpenda kwa muda wa miezi 8 (nane) tena kwa kadiri ni wezavyo na kwakutumia mbinu zote nikiamini mwanamke hawezi nitolea nje...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Nimefika Tabora mara kadhaa sambamba na hilo katika usomaji na ufuatiliaji wa threads za hapa jukwaani, nimebaini pasipo na shaka wala mawaa yoyote yale kuwa mkoa wa Tabora unaongoza kwenye tiba...
10 Reactions
88 Replies
9K Views
Wakuu habari za jioni. Wakuu naomba kukiri mimi usingekua uhongaji labda ningekua namkaribia msukuma kwa mpunga lakini sijui ni pepo nimelogezewa la kuhonga ama namna gani. Wakuu, inapokuja...
4 Reactions
12 Replies
724 Views
Wakuuu habari za usiku. Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kutoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO. 1. Kutopokea simu. Mke wa Mimi hapokei...
123 Reactions
774 Replies
55K Views
Unaume (Masculinity) ni kinyume cha uanamke (Feminity) na hivyo basi ili uonekane au uweze kukamilika then kuna vigezo au sifa kadhaa ambazo zinatakiwa kuonekana ili kuweza kudhihirika uwepo wake...
34 Reactions
107 Replies
6K Views
Najaribu kuacha lakini nashindwa kabisa na sioni furaha ya tendo bila kufanya hiki kitu. Ipo hivi huwa sipati furaha ya kugegeda endapo sijavaa kichwani chupi/tyti ya mwanamke tunapokua faragha...
21 Reactions
123 Replies
6K Views
Najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara ? Huyu binti wa dukani siwezi kumuoa...
8 Reactions
79 Replies
6K Views
Wadau katika hili naomba maoni yenu, the scenario is like this, nilikuwa na mchumba wangu ambaye tulidumu kwa miaka 5, na actually last year ndo nilitaka kumlipia mahari ili tufungue maisha mapya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Kwa sasa inahitajika mbinu nyingi ili kupata mke au mume. Mkibaki kusubiri kuchumbiwa au kuchumbia, mtazeeka bika kuoa au kuolewa. Sasa jaribuni mbinu hizi: 1. Msikae ndani wiki nzima, toka nje...
19 Reactions
75 Replies
4K Views
Habari wanajamvi.! Nina shemeji yangu amebahatika kupata mtoto wa 4 jana. Watoto wote ni mabinti, inaonesha hakufurahishwa kabisa na matokeo hayo. Hata tabasamu lake usoni nikaona limepotea!! Hadi...
14 Reactions
96 Replies
7K Views
Wakuu nimwambie au nimyuti tu nisije nikalizua, kuna mtoto wa kike chumba Jirani na Mimi namzimikia kinoma naogopa kufikisha ujumbe kwakua ni nyumba moja na wife asije akajua ukawa ugomvi. Au...
12 Reactions
59 Replies
6K Views
Nawasalimu. Juzi bhana nilikuwa naelekea kijijini kwa ajili ya shughuli ya kilimo baada ya kujipa likizo ktk kazi yangu ya kuuza matunda mjini. Wakati nikiwa katika moja ya usafiri wa kwenda bush...
10 Reactions
106 Replies
4K Views
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili...
20 Reactions
64 Replies
3K Views
Wakuu mmepigaje hapo Leo...[emoji848] Huku mambo ni takeu style tu..... Mnakumbuka kuna kisa nilileta humu cha Binti mdogo ake na wife aliyekuja kwangu kujiendeleza ufundi na kutafuta maisha...
17 Reactions
76 Replies
3K Views
Moja ya sababu inayo niweka mbali na kuniondolea kichwani mwangu kabisa suala la Ndoa(kuoa). Ni kwa namna nilivyo mimi binafsi, mtindo wangu wa maisha hauhitaji kuongezeka mtu mwengine atakae...
4 Reactions
19 Replies
783 Views
Nimefikiria kwa makini sana nimeona ni jambo sahihi kuoa binti wa kisabato, sababu ni zifuatazo; 1. Nitaokoa zaidi ya milioni 2 kwa mwaka kutoka kwenye hela za kuhudumia nywele. Milioni 2 ni kama...
54 Reactions
227 Replies
25K Views
Kazi iendelee! Tukiacha mahusiano yaani kuweka wazi wapenzi, taikon anafanana kitabia na Putin. Nataka kusema nini? Nataka kusema kuwa kama Taikon haigizi na hii ndiyo tabia yake basi tujipige...
1 Reactions
3 Replies
491 Views
Wana jf na ndugu zangu wa MMU . Kwa kweli mpenzi wangu sijui anashida gani yani kajipa umuhimu kwenye mali zangu, kazi yangu na hata kufikia pabaya kabisa kajiwekea umuhimu kwenye hela zangu...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom