Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Aisee kama ndoa zenyewe ndizo hizi aisee sio poa kabisa nitajiengua kabisa muda si mrefu maana nahisi maluwe luwe kila siku na mbaya zaidi nimetoa mahari si haba lakini naona uzalendo unanishinda...
12 Reactions
34 Replies
3K Views
Katika maisha yetu kuna baadhi ya matukio tulishawahi kufanya au kututokea ambayo huwa ukiwaza unabaki unacheka kulingana na aibu iliyojitokeza. Kwangu mimi haya ni matukio ya aibu kabisa katika...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Nataka kujua fani ya digital printing kwa ukubwa zaidi nataka niprinti mifuko mabango na vingine vingi. Je ni wapi wanafundisha kozi hii na ni sh ngapi?
3 Reactions
8 Replies
777 Views
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU. Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia...
25 Reactions
250 Replies
16K Views
Wakuu mmebarikiwa Mimi ni kijana wenu na rafiki yenu wa siku zote. Katika mihangaiko yangu ya kutafuta kiburudisho, juzi nimekutana na mwanamke pisi kali tukatongozana tukakubaliana safi. Sasa...
22 Reactions
65 Replies
5K Views
Ukisoma katika biblia Mwanzo 2:24 haijalazimisha kuwa ili unganiko lenu liwe halali ni lazima ndoa ifanyike kanisani (kwa Wakristo). Kufunga ndoa kidini ni UTARATIBU WA KIBINADAMU ULIOPANGWA AU...
0 Reactions
3 Replies
416 Views
Ego -when you will be driven by Ego either positive or negative you need to know you will sink on break up ,disappointment , Jealous and Etc Kill Ego ur Ego at any price the all Damn shit in...
7 Reactions
6 Replies
412 Views
Happy birthday kwako (kwangu) Msanii Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa...
21 Reactions
48 Replies
2K Views
Wana jf.. Naanza kwa kusema , wanawake sisi wanaume tuna nia njema na nyie tunapenda tuwaoe na muwe wake zetu ila punguzeni basi mizinga na kujiona mnahaki ya kuhudumiwa ilihali hamjaolewa na...
8 Reactions
15 Replies
817 Views
Huyu ndugu ni moja kati ya ndugu walio zifumania pesa. Basi bana kutokana na pesa zake kuwa nyingi jeuri na ujuaji vikaongezeka na maneno na majigambo ikawa ndio sehemu yake ya maisha. Ila pamoja...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Sasa naelewa kwanini zamani wazee wetu walikuwa wanarudisha wake zao wakajifungulie nyumbani kwa wazazi wa mke baada ya kuwa wajawazito. Jamani mama vijacho wana visa kwa wiki ananuna hata mara...
5 Reactions
11 Replies
944 Views
Pale unapotaka kujua huyu niliye nae je ni muaminifu au ndio wale wale ili ujue unaishina mtu aina gani ili ujipange kisaikolojia kwa maana ukimjua utapunguza maumivu na mwisho ujiue andaa...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwenye pitapita zangu JF nikakutana na Uzi unaosema "kipi kilisababisha uachane na mwenza wako wa maisha". Aisee! Ukiusoma ule uzi utagundua kuwa watu wanao oa/kuolewa ni Option tu na sio kwamba...
17 Reactions
51 Replies
2K Views
Ambao mna uzoefu na watoto wa kike tunaomba mtupatie mwongozo. Ninashuhudia familia nyingi sana huku majengo mapya ushuwani, ukaribu uliopo kati ya baba na mtoto wa kike unakuwa wa kushtusha...
9 Reactions
12 Replies
748 Views
Hata kama wewe ni mkali na una mahasira hasira. Hii kitu ina raha yake, ukipiga uso unakuwa na furaha moja kwa moja. Watu wengi tulioko Bar tunafuraha sana kuliko watu walioko maeneo mengine...
31 Reactions
167 Replies
8K Views
Naomba wajuzi mje mniongezee hekima hapa kidogo uwenda yangu imepunguka.. Katika jamii zetu kuna vijana ambao wanafanikiwa kujipatia kipato na kuanza maisha... Katika utafutaji inaweza kuwa...
2 Reactions
13 Replies
809 Views
Kuna watu wengi ambao wanapitia maumivu ya namna hiyo, hii ni kwasababu unajikuta umewekeza sana kwa mtu huyo, endapo ikatokea akakuumiza basi maumivu yanapita ndani kabisa, wengi hawawezi vumilia...
3 Reactions
48 Replies
2K Views
Baada ya kuwa na mahusiano na mwanmke flan kwa miaka mi 4, baadae akaja kubadilika baada ya kupata kazi, inshot mm ndio nilikuwa na muweka mjini, Nimtoa kjjn na kumeltaa, mjini nikamuandliaa...
18 Reactions
60 Replies
4K Views
Mapenzi ni sawa na maji ya mafuriko, Huwezi kuyazuia kwa mikono, Niliwahi kuumizwa sana na binti niliyempenda sana. Niliumia kwasababu ulifika wakati hawezi kuwa wangu tena kutokana na mazingira...
20 Reactions
245 Replies
11K Views
Je umewahi kufikiria kusingekuwapo UKIMWI na haya magonjwa ya ngono kama Gonorrhea na wenzake. Je maisha yangekuwaje?
6 Reactions
24 Replies
883 Views
Back
Top Bottom