Wakuu hivi juzi nikataka na mimi nijaribu pigo za katibu mkuu wangu.
Ila sasa mimi sikutuma naniliu.
Nikaona niridhie mkutano na pisi moja hivi imesimama balaa.
Aisee kwanza alinipokea nikawa...
Kama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens...
Heshima yenu wana JF.
Kuna ka-utamaduni flani kamejengwa na jamii zetu za Kiafrica ambacho ni cha kipuuzi na wahusika inabidi wabadilike.
Kumekuwa na utamaduni kwamba, mwanaume anapo oa halafu...
Habari zenu Wakuu,
Kuna sehemu nimeona kuna mdada anamwambia mwenzake kuwa,
Nanukuu"Hata usipozaa kabla ya ndoa unaweza ukaolewa, ukazaa halafu mwisho wa siku ukaachwa na ukawa single mother...
KUMEKUCHA KUMEKUCHA MWENZETU ANASHARE KISA CHAKE
TUIITE MPENZI MZUNGU NO 1
STORY TIME[emoji23][emoji23]
Hekaheka za maisha kutafuta riziki za ndoa kwenye dating app miaka miwili ilopita...
Hivi ina maana mtu ukiwa msabato unaenda motoni au Catholic msimamo wake ukoje kwa wasabato? Kwanini umkatili mtoto penzi lake hali ya kuwa wote ni wakristo?
Kwanza ndugu zangu Yesu hajaleta...
Igweeeeeeeee
Wakuu habari za siku nyingi, hope mnaendelea vizuri na maandalizi ya mechi kubwa Simba v Ali Ali....
nimekuwepo jijini hapa kwa zaidi ya miongo miwili sasa na nimeshuhudia mengi...
Kiufupi kala loss ya ajabu kuwahi kuwepo duniani
Kadamkia matunda ya Tsh. 30k Mabibo, kayakata kata yote ili atengeneze dry fruti. Kafungasha take away 50, lakini hakupata wateja kabisa. Matunda...
Wakuu kumekucha,
Katika haya mahusiano yangu naona kabisa huyu mwanamke atakuwa ni dada poa wakuu , napata mashaka nae sana , tena nahisi kabisa ni dada poa wa weekend ni vile bado sijamfumania...
habar wadau !!! leo nimeachana rasmi na msichana niliedumu nae kwa miaka mitatu ni mlokole na ameishika din kweli kweli yaan ni kila siku jpili ni lazima aende church na siku za kati ya wiki...
Kila nikijaribu kukataa wanawake siwezi. Napata msongo mkali sana wa mawazo wanawake wame nitibua hata ladha ya mapenzi siijui tena .
Nahitaji matibabu ya kiakili,kifikra, dawa au sindano kama...
Nilipokuwa mdogo mwinjuma mimi nilikuwa sielewi nini maana ya mapenzi...
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo nazidi kuyaona maisha katika angle tofauti baadhi ya misimamo na mitazamo niliyokuwa...
Hii inawahusu wanaume wote waliooa ila wapo slow sana katika kuwafurahisha wake zao....
Unapokuwa na mkeo acha kukunja uso kama unakunywa alovera bali mpe tabasamu kama vile ndo mmeanza...
Naona nyuzi nyingi sana na pia hata huku mtaani, mwanamke anapomuacha mpenzi wake wa kiume, inamuumiza mwanaume kiasi kwamba wanaume hao wanabadilika kitabia, wanawatukana, na pia wengine...
Ninakukumbusha tu jamaa yangu, najua unakumbuka yote haya, sina uhakika kama utahitaji maelezo yaliyojitosheleza. Unayajua Fika!
Usisahau ulipotoka, safari ni ndefu na huu ni mwanzo tu.
Ishi...
1. You attract the wrong people.
When you're too nice, you will start to attract people who are needy, overly emotional, or manipulative. They know that you're easy to take advantage of, so they...
Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku...
SIKU 470 NIKIWA NA HOFU YA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI.
[Sehemu Ya 1 ]
Tarehe 1 mwezi wa 12 ya kila huwa tunaadhimisha siku ya UKIMWI duniani.
Katika kutambua umuhimu wa siku hii kwa jamii na...
Jambo wakuu!
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Huwezi kuamini lakini huu ndio ukweli halisi kuhusu huyu binti wa uswazi aliyekuwa aki-date na madume wawili tofauti na hatimaye mmoja wa madume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.