Habarini Wadau,
Nimefanya Utafiti kwa muda mrefu na kugundua kuwa Wanawake wengi wa kizungu kutoka US na bara la Ulaya wana miguu mizuri, minene na yenye afya kuliko wanawake weusi wa Afrika...
Wakuu nimepigwa na mchumba wangu mdomoni na kuniongolea maneno mabaya. Kuna kitabia ambacho mke wangu anayonifanyia kabisa sometime ananipiga na kunitukana na kuniongelea kashfa mbaya
Hapo vip!!
Kwanza nikaanzie kwa kusema mwanaume anayempenda mwanamke na muona nimshamba na hajitambui.
Mimi sinto owa kwasababu siwezi kuishi na mwanamke...hiyo ndio salam.
Vitabu vya dini...
Habari wakuu,
Mke wangu alibeba mimba mtoto akiwa na miaka 2na miezi 3. Sasa hivi mimba ya miezi 6 na mtoto ana Miaka 2 na miezi 8.
Sasa sijui kashauriwa na nani kuwa eti kambebea mtoto mimba...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jaman…
Mpenzi wako akiwa mshkaji wako kuna uwezekano mkubwa sana wa kujuana zaidiakikudanganya/akichukia/akiwa na furaha sana/akiwa na huzuni/siku yake...
Tangu mwezi wa nne hadi sasa nimetumia laki nane (800,000+). Wastani wa laki moja kila mwezi. Kwa anasa inayohusu wanawake, kuanzia sasa naachana na haya mambo kabisa.
N.B kama unaona hela hii...
Wakuu natumaini mpo njema kabisa.
Kama kichwa cha habari kinavyosema je ni kweli kuna wanawake wanaopenda na wenye mapenzi ya dhati au ni kutiana moyo tu ili tuoe.?
Semeni ukweli vijana wapone
Mke wangu kaniambia leo rafiki zake walimpigia simu bosi wa rafiki yao kwa namba ngeni (tofauti na zao) wakiomba huduma ya dawa na kulalamika Sana kwamba mtu aliyemuweka ofisini kiguu na njia...
Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.
Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao...
katika hali isiyo ya kawaida , hawa wanawake sijui kichwani mwao wanawaza nini wanapofika maghetoni
Yani mimi kweli kabisa sipendi haya mapicha picha yao
1: Kuanza kujibebisha, kusimama mlangoni...
Atamchukua juu angani na kubadilisha uwanja wa vita, na kisha atamwachilia nyoka angani.
Nyoka hana stamina, hana nguvu na hana usawa hewani. Hivyo kushindwa mapigano ni hakika kwa asilimia 100...
Wa kwanza - Ni wale ambao wanawake wanawatafuta kwa kuwatega na kujitongozesha
Wa pili - Ni wale wanao watongoza wanawake bila wao kutongozwa.
Katika group la wa kwanza. Cha kushangaza, wengine...
Hapo vip!!
Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .
Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa...
Ni hivi kabla sijasafiri kwenda Dodoma kikazi nilikuwa tukishiriki tendo letu lile pendwa alikuwa hataki na hawezi kupiga maiki yangu kabisa hataki hata kuishika tu anaiogopa.
Sasa Jumapili ya...
Habari zenu wanajamvi,,,nimeguswa na kufarijika na ugunduzi na uthibisho wa mmea aina ya MVUNGE kuwa dawa ya kurefusha na kunenepesha uume,huu ni wokovu kwa ulimwengu wa "free market",naomba mwana...
Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa nikisoma Threads tofauti za wanaume wenzangu wakilalamika kuhusu ndoa na kujiapiza kuwa hawatokuja kuingia kwenye taasisi hii adhimu ya Ndoa.
Ngoja niwaambie ukweli...
Kuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.
Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio...
Habar za muda huu ndugu zangu,
Kwa tulipofikia sasa, usijaribu kumuomba namba mwanamke kwa lengo la utani au kujaribu kutest zali, na ukijaribu kufanya hivyo bas ujue atakuganda hadi ujute...
Nampongeza classmate wangu wa muda mrefu darasa la ps Mlimani kwa kupata jiko.joya
Umenipa moyo kuwa umri wetu bado sana na tunazo nguvu za kutosha kuendesha maisha ya ndoa.
Nakupongeza &...
nikiwa shuleni kulikuwa na binti anafanana na jina la mamdogo wangu, sijisifii lakini kiukweli alikuwa anafanya sana jitihada tuwe karibu japo nilikuwa domo zegei, alishajaribu kunipa vizawadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.