Nilipokea jumbe leo kupitia mtandao wa kijamii wa Whatsapp kutoka kwa mmoja wa rafiki zangu ukisema "Kaka navuta jiko",,,
Baada ya pongezi na utani nikakumbuka kumuuliza anayemuoa akanambia...
Kwa sasa wimbi la wasichana wasioolewa ni wengi sana wengine ni bikira, wengine ni wajane, wengine ni mashankupe wengine ni vigagosi wengine ni mama huruma.nk
Suluhisho la haya yote ni kukubali...
Ujumbe wangu kwa wote wanaopitia maumivu ya Mapenzi, usiteseke wala usiumie kwa mtu anayetaka kuondoka kwenye maisha yako haujazaliwa naye huyo usitumie nguvu nyingi kwake.
Akitaka kuondoka...
Tabia ya kubambikizia akina baba watoto wasio wao imeendelea kushamiri miongoni mwa akina mama. Swali langu kwenu, mnakuwaje na amani katika maisha yenu kwa kukaa na siri kuu namna hiyo? Unakuta...
Mzazi tambua huyo mtoto wako ni mke na mtu ajae.
Wazazi wanaishi na watoto mda mfupi kuliko mda ambao mtoto ataishi pekee yake, ikiwemo kumaliza muda wake kwenye ndoa yake.
Kwa miaka ya kibiblia...
Mara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa...
Wanawake wote njooni hapa mpate kufundwa kidogo na huyu mwanamke mwenzenu. Siyo kila siku mnakaa kuwalalamikia wanaume tumebadilika kumbe ni nyie hampendeki.
Kuwa mzuri ni jambo moja, ila...
Inashangaza sana siku hizi kuona wanaume wengi (sio wote) wanakula sana chips mayai. Hii inapelekea wanakuwa wavivu, uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo, hawajitumi, tena kitandani ndio...
Vijana miaka ya nyuma kuona sehemu nyeti za mama nje ilikuwa ni nadra sana, lakini kipindi hiki imekuwa ni kawaida uroda wa dingi kuwekwa hadharani bila wasiwasi.
Imefikia kipindi hata mama...
Kuna mahali huwa nakwenda kupata huduma.
Mmiliki wa hilo eneo ni mwanamke.
Mfanyakazi wake wa kike huwa naelewana nae sana.
Sasa nikiwa nazungumza nae namuona huyo bi mkubwa ana mind sana.
Kwa...
Ndugu zangu..
Katika harakati za kutafuta hela nilikua nasafiri kuelekea dodoma enzi hizo tunazungukia singida manyoni then dom, siti yangu ilikua ya dirishani mtoto mzuri chuga girl pembeni...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna kipindi ambacho kinakuwa kina matamu na machungu ni kipindi hiki Cha mahusiano ya mapenzi kwa wadada.
Nasema kitamu kwakuwa ni kipindi...
Habari za asubuhi?
Jana niliomba ushauri kuhusu mke wangu, wengi walinishauri, maybe kutokana na uzoefu wa ndoa zao au kutokana na kushuhudia mengi kutoka kwa wazazi wao, ila naamini hakuna alie...
" Nimekupa kila kitu na bado umeniacha?" Alisikika dada mmoja akilalamika Kwa mashemeji
JE wanaume?! Sentensi hii ukiiskia, huyu aliepewa kila kitu unamwelewa kweli?
Kwani wanaume hii sentensi...
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa...
Naswali la heshima why mnacheat.
Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.
Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini...
Kwa ufupi nina mke tumejaariwa watoto wawili,nampenda sana mke wangu lakini kutokana na distance tuliyonayo (yupo mkoani) najikuta nashawishika kumcheat yani ni ile mwili unatamani,nafsi na moyo...
Habari ya jioni wakuu,
Maisha ya mahusiano ya kimapenzi yana visa vingi sana. Inawezekana umewahi au upo kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri, ebu tupate experience mbali mbali ilikuaje kuaje...
Mimi sio mzee wala sio kijana,
Mimi ni mkunga kwenye kituo cha afya,sasa huku wanaume wote tunaofanya kazi idara ya afya tunaitwa madoctor,bila kujali area ya specialization yako,
Sasa sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.