Hili dada poa wa.kutoka hapa kitambaa cheupe kwa jina namuhifadhi slim flani yaani ana nyama kidogo na pia ana kishundu balaa kila siku nilikuwa namuambia ipo siku nitakuonesha na pia alikuwa ana...
Nimeona sehemu nyingi watu wanaongelea ongezeko la single mothers wanasahau mtoto n wa baba na mama leo nawaletea uzi maalum kuhusu single fathers
Kuna single fathers wengi kuna aliefiwa na mkewe...
Habari wanajf.
Nilileta uzi hapa kuhusu rafiki yangu mmoja ambaye alizaa nje watoto 2. Na mkewe alizaa nae watoto wawili.
Thread 'Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?'...
Hakika, kama umewahi kuonja mwanamke ambaye mwenye zigo la kuvunja chaga, napia ukaonja vile viportable , basi utakua ushagundua ya kwamba, wapi patamu zaidi.
Kwa upande wangu, Portable ni...
Habari wana JF
Niliwahi kuandika huku kuhusu ninavyomlea binti yangu wa maika 8 akiwa hana mama, nikimaanisha tunaishi 2 tu nyumbani mimi na binti yangu.
Ninashukuru sana kwa mchango wa mawazo...
Wakuu habari za asubuhi.
Naombeni sana ushauri wenu kidogo leo niliamka mapema kufuatilia yaliyotokea Dunia bahati mbaya nilikuwa nimeunganisha simu yangu na Bluetooth ya Spika kujiburudisha na...
Mimi sio mzee wala sio kijana,
Nimetoka pwani kuja kutafuta maisha huku
Wamama watu wazima wakikutana na mimi ni ng'wangaruka bhabha huku wamepiga magoti,hawataamka hapo mpaka nimalize salam...
mara nyingi mwanaume wanaoishi kwenye nyumba za wapenzi wao uonekana wanalelewa au serengeti boys lakin mwanamke akiishi kwa mwanaume ni sawa.
Kuna rafik yangu mmoja yeye alioa na akaenda...
Kwenu wanaume mnajua kabisa mwanaume ndiye anayestahili kuitunza familia yake.
Ila siku hizi nyie ndio wavivu mnawaachia wanawake kila kitu kuanzia kodi ,malezi ya wanawe na kila kitu.
Wewe...
Wakuuu nipo kwenye mahusiano na mwanamke ambae anapenda sex kama ugali yaani. Mwanamke anapenda sex kuliko chochote.
Imefikia kipindi huwa nakuwa sina muda wa sex mara huyo kaja ananiambia tusex...
Habari za mapumziko wana jamvi,
Sina shaka hii leo ni Jpili njema kabisa, kwa imetulia tulii wakati tunasubiria mpambano wa watani wa jadi, na pia tukisubiria Mei Mosi bila shaka tukisubiri kwa...
Takribani miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa na galfriend ambaye alikuwa akitoka na mzee mmoja mwenye fedha zake. Ilichukua akili,muda na gharama kidogo kumuachanisha na huyo baba,kwa taaluma ni Eng...
Kwanini wanaume mkioa Au mkiwa kwenye serious relationships (sio wote) mnakua mmechagua wanawake descent meaning hawana mambo mengi wanajiheshimu wana upendo wa kweli then in the other side mnakua...
Short story: this is experience nimepata recently,
Kijana kaoa familia ambayo mama wa mwanamke ana matatizo ya akili. ndoa ilikuwa fresh sana amna shida. shida ilikuja wamepata watoto wa 3, 2...
Nimeshtuka baada ya kuona uzi wa member aliyekuja kuomba ushauri kuhusu kuwekeza kwa mwanamke , na kati ya waliokuwa wanamponda mmoja wapo nishamchuna sana tokea naanza jf alikuwa ananisumbua sana...
Niliweza kupata ajira nikiwa na miaka 23 miezi michache baada ya kuhitimu chuo, mambo yalikuwa mazuri si haba kwa umri huo, niliweza kutembelea gari, sim nzuri, geto limepambika + muziki munene...
Ndugu zangu najua weekend imeanza kuna walevi pamoja na wapenda toto's hasa katika msimu huu wa mvua.
Nawashauri kila jambo na kiasi na tufanye kwa tahadhari sana , pia kwa wale wasio na upande...
Mke anatumia wakala huyo kuweka pesa kwenye akaunti ya mumewe kila siku akimaliza kufunga mahesabu then baadae akawa anakuja mwanamke mwingine huku anatumia akaunti hiyo hiyo kuweka pesa...
An ideal relationship is built on a foundation of mutual respect, trust, honesty, communication, and a lot of hard work.
Its goal is to build a life with someone who shares the same values and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.