Kwa wale vijana mnaotaka kuoa mnataka kuoa mnatakiwa muwe makini wazee wengi saivi ndoa wanaichukulia kama source of income kupitia binti yao kuanzia hatua kutoa mahali, kuwasaidia wao na ndugu...
Nina brother wangu, tunachangia mzee ila kila mtu yuko na mama yake. Brother ananizidi kama miaka 6.
Miaka ile nakuja kusoma chuo kikuu, nilifikia kwa brother kwa sababu yeye tayari alikua...
Ukifanya utafiti chanzo cha vifo vya mapema vya wanaume wengi ni stress za ndoa.
Mwanamke mmoja ukiishi nae anakuzoea anakuona sawa na mtoto mwenzake.
Majukumu ya nyumba wanaachiwa wadada wa...
Habari wana JF kama kichwa cha habari kinavyosema.
Mimi nikijana wa miaka 26 nimeoa ila sijapata mtoto bado, ila katika ndoa yetu nimekuja kugundua kua mwanamke alikua akitoka nje na nikamuuliza...
Nimepatana na binti mrembo kanieleza kwake ni Ubaruku na huko yeye ana mashamba ya mpunga. Kwenye kumwaga sera zangu nitawale jimbo, ananiambia ana HIV.
Wakuu huyu ananikataa au anakimbia mbio...
Katika maisha ya sasa kumekua na wanawake wengi sana wasiojielewa kabisa, wanawake wameongezeka na wenye mtazamo hasi wa kuwatizamia wanaume kwenye mahusiano au nje ya mahusiano kama chanzo cha...
Ndugu zangu ikiwa ni siku nyingine iliyo zungukwa na hali ya hewa nzuri pamoja na haya maua tuliyoumbiwa huku duniani nawatakia siku njema na majukumu mema
Ndugu kama kichwa cha somo kinavyo...
Wana Jf natumaini mko poa kabisa.
Ndugu zangu kuna wimbi la vijana na mabinti chipukizi wanao dhurura hovyo nyakati za jioni kwanzia mida ya saa kumi na mbili jioni (18:00) mpaka saa tatu usiku (...
Za asubuhi wana jamvi. Ngoja niende kwenye lengo la uzi.
I have been with this man for 8 years, tumefunga ndoa mwaka juzi kiufupi ndoa yetu ina miaka mitatu mahusiano miaka nane.
To be honest...
Miji ambayo unaeza pata mwanaume tajiri na kuazisha nae serious relationship ni Monaco, Geneva, Zurich, London, Hong Kong, Frankfurt, New York, Paris, Toronto na Sydney.
Hii miji ina wanaume...
Wakuu, kwanza poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima ya leo. Ndugu yenu nataka kufanya maamuzi ila sitaki nionekane nimedhulumu haki ya mtu.
Miezi 3 iliyopita kuna jamaa ambao sifahamiani nao...
Wakuu mulibwanji?
Aisee nimetafakari sana jinsi ambavyo dunia ikishirikiana na mwanamke kummaliza mwanaume, kufuta nafasi ya mwanaume, kufuta haki zake ikibidi zinachukuliwa na kupewa mwanamke...
Au vipi wana maneno
Maana kamenonaa kwa sasa kana stahili mb*o*0 za ki ethiopia ili kaendeleze kizazi ....maana za kizungu zitaleta half cast(muethipia muzungu) aseeeee!
ALL IN ALL DAMU NI...
Unjani sabuwona
Wakuu kiukweli mimi ni mtu wa kushukuru katika maisha yangu Iwe neema kubwa kubwa au ndogo ndogo wakuu ninayo furaha kuwatangazia kuwa nimempata mchumba miss ...... Jina lake...
Guys huwa sipendi sana kuanzisha uzi ila huwa naanzisha uzi ndani ya uzi wa mtu. Leo nimeona tu niweke uzi mpya.
Iko hivi kwa miaka zaidi ya 8nimekuwa nikihangaika kutafuta mke mdogo. Napenda...
SUCCUBAE Ni Neno La Kilatini Cha Kileo Maana Yake Ni "Malaya" Ambacho Asili Yake Ni Succubare Ikiwa Na Maana Ya ''Kulala Chini Ya"
Kwa Kiingereza Ni Succubus, Kwa mara ya kwanza neno hili...
Kuuliza si ujinga.
Nauliza kutokana na kichwa cha habari kuna siri gani wadada wanapokata au wanapoonekana wanacheza ngoma,huwaga kama wanashindana ,sielewi ndio kuwa uyaone au uyajue.
Na mara...
Wakuu mulibwanji? Kuna jamaa yangu alikuwa anaishi na mdada mmoja wa kinyiramba alimtoa bush uko, sa alipomfkisha town yule mdada akamwambia anataka kujifunza kushona, jamaa akasema poa...
Tangu kuwa naye kwenye mahusiano nakosa amani kabisa. Maisha yangu hayakwendi kama ninavyotaka
Ni jirani yangu kwenye hii nyumba ya kupanga. N.B: Nimejenga mkoani, niko hapa Dar kikazi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.