Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi. Nilimpa maelekezo kuwa...
30 Reactions
119 Replies
10K Views
Wana JF habari, Hivi kuna anayepitia changamoto kama ninazopitia? Dah kuna muda natamani nipige kelele kwa ninayopitia labda nitapunguza machungu. Kazini changamoto, nikirudi nyumbani nako...
5 Reactions
17 Replies
698 Views
Wadau nipeni mix ya dawa za kumvuta mke ambae yuko mbali na hataki kurudi
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndoa zetu zimeweza kudumu miaka na miaka, kwa sababu tulioa wanawake wakawaida; wasiokuwa na chura ya ushawishi, wasiokuwa na kiuno cha nyugwi au umbo namba nane, wasiokuwa na sura ya kumshawishi...
26 Reactions
168 Replies
7K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Kutangaza Nia Kutangaza Nia "Mwangaluka wa mayo!" "Mwangaluka! Mhole mola?" "Mola duhu" "Mliho?" "Tuli mhola" Stanley alikuwa anaangalia kutoka dirisha la chumbani...
0 Reactions
30 Replies
15K Views
Walaaaaaahiii mtumeewww 5 moko , kimoko tuuu chaliii wanaumeeee tukapiga vitano vya afyaa boraaa hahhhahahhhgh Ebana heeeeeh ndo ikawa hivyo ...mvua hii people zinavaa nguo hazijakauka na...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Yeah ni pasi na shaka , nyama utamu inatolewa inaliwa then inarudishwa. After sometime baada ya mzagamuoooo............. Viji notes vya baadae ni kama shukrani ya kisela tuuu. And not udangaji...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Nawasihi vijana wenzangu wenye nia ya kuoa, Nafahamu kabla ya ndoa kuna kile kipindi cha uchumba na kuchunguzana. Naomba muwe makini na watulivu katika kipindi hiko, mkijichanganya tu imekula...
29 Reactions
114 Replies
6K Views
Aisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa...
23 Reactions
226 Replies
20K Views
Habari za usiku huu wana JF... Niende kwenye mada mimi mwenzenu kwenye mapenzi na maisha General huwa sipendi tabia ya uongo yaaani UONGO UONGO.... Mfano kuna demu niliwahi kuwa nae kwenye...
14 Reactions
103 Replies
10K Views
Wanajamvi Heshima kwenu Juzi katika kupiga stori na washikaj zangu pale kijiweni, si tukaanza kuzungumzia Yale Mambo ya chumbani. Eti jamaa mmoja akasema yeye hulala na mwanamke for a whole night...
7 Reactions
220 Replies
44K Views
Single Mothers Mnashindwa nini kawakataa Baba watoto wa vichakani kuwa huyu simjui na simfahamu na sina mtoto. Unashindwa nini kumroga na kumpeleka kaburini haraka sana kibwengo msumbufu asiye na...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
NDOA NI AGANO LA MILELE Neno la Mungu linasema, MATHAYO 19:3-12 "Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu? Akajibu, akawaambia...
0 Reactions
5 Replies
752 Views
Habari! Wanawake, hivi mwanaume insecured mnamtambuaje? Nimeuliza kwa sababu mara nyingi mnapenda sana nice guys, ila baadaye mnawang'ong'a. Mfano mmoja kuna mtu alileta uzi humu, akisema kuna...
9 Reactions
259 Replies
9K Views
Kuweni wakweli katika uzoefu wako, Hiki ni kibamia au si kibamia?
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wanaJF!! Hivi sahihi kumwita rafiki yako wa kiume kumwita "MY" kwenye SMS au kivyovyote vile? Au kumwita mzazi wako "MY" nayo imekaaje? Tofauti na mchumba wako au mkeo,mpenzi wako hao...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Wadau kati ya hiyo mikoa ipi mzuri Kwa familia na makazi na biashara . Wajameni siitaji majibu ya hovyoo kama mdomo wako ni mchafu sana kapige mswaki kimya a
13 Reactions
66 Replies
6K Views
Maisha yanapoandamwa na shida za saikolojia ni shida. Misemo kama hii huweza kuibuka. Kwa sasa nautumia Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu. Kazini kwangu kuna...
16 Reactions
80 Replies
4K Views
Nimekuwa nikijiuliza Sana kuhusu dalili za mwanamke anaekupenda unamjua kwa ishara zapi? Mimi ninayofahamu ni tabia ya kuwa na tabasamu unapokuwa nae, vipi kuhusu body language yake......?
7 Reactions
53 Replies
5K Views
Habari zenu Wakuu. Kama kuna jambo halina formula na halieleweki kwa njia yoyote ile eg. Mahusiano, kazi, biashara n.k basi nakushauri achana nalo. Usijitese akili kwa jambo ambalo haulielewi...
16 Reactions
74 Replies
2K Views
Back
Top Bottom