Ndoa za kwenye tamthilia na video za music zisituharibu......ndoa si kurushiana mito tu na magumu pia yapo.Mwanaume ukishindwa wajibika Kwa familia yako jiandae kuchitiwa au kuachika.....Kwa...
Unamkata mmeo/mpenzi wako stim. Haiwezekani yani mwamba kajitahidi kusukuma mashine hadi jasho linamtoka.
Wewe punde tu unakurupukia simu na kuingia kwenye makundi ya vikoba. Unakata stim.
Walau...
Habari zenu Wakuu.
Leo katika pitapita zangu mtandaoni nikaona video wanafunzi wa Secondary wanacheza Singeli huku wakiwa wamevaa Hijabu.
Kwenye video hiyo visichana hivyo vinaonekana vikikata...
Ni pale unapovuta hewa safi yenye rutuba ambayo inapita kwenye mapafu yenye afya njema, huku moyo wako ukidundadunda kwa shangwe na mwili wako ukiwa tulivu bila kashkash!.. no stress, no harmful...
Ama kwa hakika unaweza kusema Mungu wa kanisani na msikitini, na kwenye milima na majabali amekauka kwenye nafsi za binadamu.
Kila post ya kingono ngono, maudhui ya mapenzi yanapata mileage...
Kama wazazi, tunapenda kuona watoto wetu wakijifunza mambo mapya. Si ajabu kumuona mama akimuuliza mtoto maswali huku akijua mtoto atatoa jibu la kufurahisha.
Zifuatazo ni baadhi ya mbinu ambazo...
Kwanini siku izi mbususu ni kubwa mno halafu mishedede inakua midogo mno kuikabili mbususu kwenye mgegedano?
Au ni kwasababu mbususu inakua tayari inataka kwahiyo inajichanua yenyewe halafu...
1.Uwe na siku njema leo, mpenzi wangu! Ulifanya asubuhi yangu kuwa ya ajabu sana. Natumai asubuhi hii itakuwa siku nzuri!
2. Kila asubuhi, wazo la kwanza linalokuja akilini mwangu ni jinsi...
Nilitoka nikaenda sehemu kupata vyombo na kuchill na washikaji! Sasa tangu niingie pale, meza moja alionekana njemba akiwa na mdada na kwa ukaribu wa jinsi walivyokaa inaonekana ni wapenzi au...
Yamemkuta jamaa huko mtaani.
Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo...
Wanawake wengi wamekuwa wakitaka wanaume wajitoe Kwa ajili yao lakini wao hawako tayari kufanya hivyo.
Mwanaume anastahili kupendwa kama wewe unavostahili kupendwa, japo wengi watakuambia hapana...
Wanawake wengi unapowatongoza huwa wana tabia ya kuuliza vimaswali wanapokaribia kukubali, haijalishi umri wao maswali mengi huwa NI ya kijinga na yanapelekeaga wanaume wengi kuwachukulia powaa...
Yaani mwenzenu leo kuna kadada kamenikera sana kanajiona kuharibu ndoa ya mwenzake . Sijui yeye ninani kamfuata mwenzake kazini nakumtafuta uchokozi.
Na akahakikisha atamchukua mume na watoto na...
Hi guys,
Hope mmekuwa na mapumziko poa,
Nilikuwa najiuliza hili swali, hasa kwa walioko kwenye Ndoa tayari.
Je, kwako imekuwa baraka ama tofauti pale ambapo mume/mke unayeishi naye siye yule...
Tumezoea kuona au kusikia wanandoa wanapata matatizo au hitilafu za urijali au uanawake katika suala linaloathiri tendo la ndoa wakati washakua wazee au washaoana na wanawatoto wanabaki kuishi...
Sometimes wanawake huwa wanajiuliza maswali mengi, wafanyeje ili wapendwe, wanahisi wana bahati mbaya.
Kila wanapoitoa mioyo yao mabwana wanakula mzigo wanatembea.
Mioyo yao imejaa matundu...
Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Songea wamepewa sifa mbaya ya kupenda zaidi wanawake kuliko makabila mengine.
Nasema kwa dhati sifa hiyo siyo ya kweli hata kidogo na haiwastahili kabisa...
Wakuu,
Yaani hapa nilipo nimejikuta Niko down Sana na Sio kwa sababu eti Nina shauku ya kutaka kumla manzi wangu...hapana ni just mzuka umekata tu na hiki kibaridi Cha dar sielewielewi.
Iko hivi...
Vijana wengi wakishafikisha umri wa balehe au baada ya hapo huwa hawapendi kuwaita wazazi wao baba au mama, mara nyingi utawasikia Mama wakimuita bi mkubwa na baba akiitwa Mzee.
Je, kuwaita hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.