Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nilikuwa nahitaji mahali pakujisitiri sio kula na kukaa mahali but ni kazi tu ili nisitegemee madanga so huyu mtu alidai atanisitiri mwanzoni ilikuwa mwezi wa sita akadai anaumwa kapata shida...
28 Reactions
199 Replies
7K Views
Wakuu habari za wakati huu, Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa. Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na...
9 Reactions
103 Replies
4K Views
Tangu nizaliwe hapa duniani ni wanawake wawili tu ndio wameweza kuniridhisha kwenye tendo la ndoa, pamoja na umri wangu huu wa miaka sabini. Mi huwa ni mdhaifu sana kwa walimbwende wenye sura ya...
16 Reactions
133 Replies
10K Views
Ewe dada yangu, mama yangu, shangazi yangu. Katika maisha yako weka sana kipaumbele kuolewa. Hata na wewe baba yangu jitahidi sana kupambania kuozesha mabinti zako kwa hali na mali. Huo...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Nauliza tu nisije nikafa ? Na upande upi una stamina kwa maana sisi wanume au upande wa wanauke ?
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Jumanne njema. Kipi bora? Kulia juu ya Range au juu ya baiskeli? Mapenzi ni kizungumkuti, na katika kizungumkuti hiki kuna usumbufu mwingi mno. Sasa si ni bora nisumbuliwe na mke tajiri kutoka...
6 Reactions
64 Replies
3K Views
Ndugu zangu. Kwa masikitiko makubwa natarajia kuanza rasmi kununua dada poa na yote haya nikutokana na zoezi langu la kupata mke kuniwia vigumu sana kwani hakuna mwanamke ninayekutana naye nakuwa...
13 Reactions
187 Replies
11K Views
1. Kuwa na kifua kipana cha kutunza SIRI za mambo yanayomuhusu na yasiyomuhusu. Wanawake tunakumbushana, Wanawake wengi wamezoea kuongea, hadi wanaona ni kawaida kuongea mambo yote wanayowahusu...
22 Reactions
134 Replies
5K Views
Good evening wakurungwa. Ni muda sasa umepita tokea mzozo wa kataa ndoa, nadhani wale wanaokubaliana na ndoa hawakuwa na hoja zaidi ni hisia tu. Nikikumbuka moja ya hoja yao kuu ni kwamba wanaoa...
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Mwanenu jambo si jambo sielewi kabisa. Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine. Kwa kawaida...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Wakuu. Kama tunavyo fahamu binadamu tume umbwa kwa kutegemeana na hakuna aliye kamilika, na hii ndiyo maana wanawake wakanyimwa utawala , nguvu na akili za kutosha na wakapewa udhaifu ,hisia na...
4 Reactions
4 Replies
536 Views
Nakumbuka mwaka jana nilihudhuria harusi ya rafiki wangu (wa kike),asee was very impressed kwa kweli. Si unajua pale tena harusi za siku hizi wale maharusi wanachukua time ya kuelezea familia zao...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
NDOA NA FAMILIA YENYE FURAHA NA AMANI INA MUNGU. YENYE MAFARAKANO, HUZUNI NA CHUKI INASHETANI. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli Ukiona Mkeo/mumeo mnapendana, mnafuraha na amani. Mnataniana. Ni...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Nimegundua Mwenye huruma na pesa zangu ni mimi mwenyewe. Na nikiendelea kucheka na hawa wapumbavu sitafanya la maana miaka yote
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Heshimu mahusiano ya wengine, anzisha wa kwako. Yanini kuhangaika na samaki aliyekwisha vuliwa wakati kuna samaki wengi baharini.
18 Reactions
63 Replies
2K Views
Nimekosa Heading ya kuweka hapa ndugu zanguni Just imagine, wanakaa kitako kuwajadili waume zao. Boya mmoja anapiga simu kwa mkewe kuulizia maendeleo yake na mwanae, anawekwa loud speaker, baada...
19 Reactions
51 Replies
2K Views
Baada ya wastani miaka mitatu ya vipigo na vitisho vingi vya mara kwa mara kutoka kwa baba ake ambavyo kimsingi vilikuwa vinaniumiza na kunikera, siku moja nikiwa naamini nimepevuka nilimtafuta...
3 Reactions
3 Replies
646 Views
Mkeo ulimgharamikia kiasi gani mpaka kumpata kwa upande wa gharama za kumshawishi mpaka aingie laini na pia mahari ulilipa kiasi gani ikiwemo gharama za kusafiri wewe na wajumbe wako kwenda...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Hope mpo poa wakuu Wanaume Daima tunakaribiwa na changamoto mbalimbali za maisha katika kuhakikisha familia zetu zinapata chochote kitu Kila siku. Kwa namna Moja au nyingine wanaume wengi...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
..
9 Reactions
74 Replies
3K Views
Back
Top Bottom