MSICHOKIJUA KUHUSU DADA WA KINYAKYUSA (MBEYA)
Msikurupuke tu kuoa Dada zetu kabla hamjahesabu gharama.
Hivi kwanini nyie wajanga hamjiulizi wanapooana mnyakyusa kwa mnyakyusa ndoa inaenda tu, ni...
Maisha ni fumbo kubwa lililojaa somo kubwa iwapo tu utasimama thabiti na ukiwa na msimamo chanya na kuwa mtu unayependa kujifunza kupitia na magumu unayoyapitia.
Nilipoingia kwenye biashara na...
Kila msichana ana ndoto ya ndoa ambapo anaishi "kwa furaha milele" na mumewe. Lakini ukweli una njia ya kutuambia kwamba hadithi na sinema ni hati zilizoandikwa na kuigizwa kwa burudani yetu...
https://www.jamiiforums.com/threads/je-ni-kweli-tunauishi-upendo-halisi-ama-ulio-kizuizini.2154202/
Je, ni kweli tunauishi upendo halisi ama ulio kizuizini?
Habari!
Maumbile ya mtu si jambo la kukosoa kwani hakuna anayejiumba yeye. Miongoni mwa tafiti zangu zilizofanikiwa kwa 99%, ambazo si rasmi, ni hili suala la vitovu, hasa kwa wanawake.
Kwa...
Story fupi yenye mafunzo kwenu wanawake.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile...
Wakuu mulibwanji?
Nipo njiapanda, ninaishi na mwanamke wangu na nduguye kwa muda sasa, tatizo limekuwepo la dada mtu na mdogo mtu kupishana mara kwa mara kitendo ambacho kimepelekea kuwepo kwa...
Jamani jamani wanawake mtatuua na sisi wanaume tumebaki wachache sana.
Ndugu yapata nilijichanganya kwa mwanamke aliyekua ananielewa na kunipenda sana ila mimi nilikua nakaza fuvu kwa makusudi...
Habari zenu wana jamvi.
Nisiwachose sana.
Ni hivi, sauti yangu ya ndani inanishuhudia nioe mwanamke wa kizanzibari..
Kuhusu dini Mimi ni Mkristo mwenye vinasaba vya uislamu. Nipo tayari...
Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.
Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana...
Kwenye nyanja za kupigana vibomu ambavyo kwakweli vinapendezesha mahusiano, unajua bila kuhonga wengine hatujisikii raha na huwa tunapenda watu wanaotuombe hela. Asikudanganye mtu bwana, ukiwa...
1. Never take photos with him/her.
2. If you called and she/he hangs up, don't call back immediately.
3. Never text love-messages.
4. Satan should not tempt you to sleep at his/her house even...
Nadhani tumeshawahi kuona katika baadhi ya ndoa iwe ukumbini au kanisani unakuta bibi harusi anaanza kumwaga machozi
Wapo baadhi ya watu wanapoona hali ile wanasemezana kwamba "umeona analia...
Ndugu wa salam..
HUU UZI USIFUTWE NAOMBA
kama tujuavyo maisha ya chuo ni ya uhuru sana na kujiamulia chochote kwa kuzingatia akili lazima iwe kichwani mwako.
Ndugu ndani ya nchi yetu kuna...
Wakuu ndoa zina changamoto zake asikwambie mtu, hawa wake zetu ni mtihani ni viumbe ambao hawajui wanataka Nini.
Juzi tumelala na wife hataki ata ni mshike ni wiki Sasa imekata, nikaona huu...
Shida kubwa ya wanadamu ni kwamba wengine hufikiria sana bila kutumia hisia na wengine huhisi sana bila kutumia akili.
Aghalabu wale wote wanaofikiri sana bila kutumia hisia hao mambo yao hukosa...
Mpaka leo sijaelewa maana ya hii kauli, ngoja niwaambie kitu labda mnaweza kunijuza. Nimeingia kwenye ndoa nikiwa na miaka 19 sababu ya kufanya hivi binti kwao maisha yalikuwa magumu wazazi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.