Habirini wana jamvi,
Nimeona nilete kisa hiki jamvini mimi ni kijana nimelelewa na baba MLEZI na kanisomesha Hadi form six, na alitaka niishie hapo nisiendelee mbele.
Mimi nililazimisha kwenda...
Nowadays, a lot of young men are refusing to get married, they are simply living the glorified bachelor life and enjoying it. It basically boils down to the fact that guys are not 100% sure if...
Wakuu habari za muda huu.
NAOMBA NIFUPISHE KAMA IFUATAVYO;
Hadi namaliza chuo mwaka huu,nime-attempt kuacha chuo mara nyingi na nimejaribu kufanya hvyo tangu nikiwa mwaka wa kwanza
ila...
Wakuu mulibwanji? Mambo huku ni tabulele laaa.... Nilipokuwa chuo nlikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja wa Kiha nlimpenda sana na tulifanikiwa kupata mtoto 1, kiukweli nlitamani ndo awe wife...
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana...
Habari ya leo wakuu,
Baada ya kuachana na mwanamke ambae kwa muda mrefu ndio nilikua nampigia hesabu za kumuoa, nimekuwa na tatizo kubwa sana kutoamini wanawake.
Hata pale ninapojilazimisha bado...
Wakati mwingine wanaume tunakuwa mabwege.
Kwa mujibu wa utafiti huu ambao ni rasmi, 58% ya wanaume wanashirikisha mapato yao kwa wake zao huku kwa wanawake ni 53% tuu wanaoshirikisha.
Na hao 53%...
Ebana kati ya wanaume waliojaaliwa mashine ndogo, mimi mmoja wapo. Kipindi nipo mdogo sikuwa na mawazo kuhusu ukubwa ya uume wangu, lakini nlivyofika sekondari kipindi tunaoga kwenye mabafu ya...
Wakuu kwema?
Hapa job, Kuna mwanamke ninatoka nae kimapenzi, lakini alisema yupo single wakati namfata, na alikana Kama kuwa Hana Mume,nimetembea nae Sana tu, sasa leo, mumewe kakamata simu yake...
Ni namna gani unaweza kumueleza mwenzi wako, mathalani kwenye tupu, mdomoni, maskioni, kichwani, puani, kwapani, miguuni au mwilini kwa ujumla kwamba kunatao hewa na harufu kali na ngumu...
Habari wakuu,kabla ya kuanza Uzi huu napenda kuwapa tahadhari kwamba story hii Haina chembe ya utunzi hata kidogo,
Miaka kadhaa nyuma baada ya kuzaliwa nikajikuta nikiwa naishi Mimi,mama yangu...
Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi...
Habari za majukumu. jamani wana jamii nina matatizo ya kuto kupata hamu ya tendo la ndoa.
Pia sina hisia za kupenda wanawake au mausiano kwa ujumla.
Na niliamua kumsafilisha mke wangu mwaka...
Habari wana jamvi.
Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.
Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.