Vijana wakubet na Kamari wenyewe Hawa Cha kujishughulisha Tena na kufanya kazi. Atashinda Ndani Masaa 24 ni kula, kubet Kamari.
Wenye Kazi nao, wamejikuta hawana Juhudi Tena ya kazi zao,kazi...
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni...
Habari wanajamvi
Swali langu la leo katika tafakuri,
Je ni kitu gani uliwahi kuhonga(kwa wanaume) au kuhongwa (kwa wanawake) ukiwa na miaka chini ya 25?
Burudika weekend na hicho kibonzo juu...
Wakuu kwema Kuna mdada kazini tulikuwa vi tukonae vizuri mwanzo
From no where akaanza kunichukia bila sababu,chuki imekuwa kubwa mpaka anisalimii
Nashindwa kumuelewa wakati mimi ni mkuu wake wa...
1
ILIKUWA ghafla, kama pigo la kisu ambalo lilipenya mwilini na kuujeruhi moyo wa Inspekta Kombora. Kati ya yote aliyoyatarajia jioni ya leo, simu kama hiyo, ya maafa, haikuwamo kabisa akilini...
Wasalaam
Zingatia mada, upendo na kumpenda mwanamke ni mgao wa baraka sio utumwa japo ni hiari isiyo hiari, siwezi kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja yaani nivutiwe nae kwa hali chanya halafu...
Mapenzi yanapoanza yanakua matamu kama asali ila mkishachokana yanakua machungu kama shubiri mwishowe mnaachana
Katika kuachana kuna sababu mbalimbali huwa zinatolewa na wapenzi wetu ambazo...
Habari za Leo Wana MMU?
Nakusihi jumapili ya Leo kama Mwenyezi Mungu amekubariki basi, umguse mwenye uhitaji Alie karibu yako. Wapo wengine tunao wafaham pia wanapitia changamoto za kimaisha...
Wasalaam wana wa Mungu,
Kosa au dhambi unayoichukia kwa mwingine basi nawe usifanye kwa maana machukizo mbele ya Mungu ni yale yale.
Wanadamu sisi sote tu wana wa Mungu na makosa yote...
Wakuu mmebarikiwa sana.
Juzi mke wangu amefanya tukio lililonishangaza kwani hajawaifanya alichokifanya muda wote nilioishi naye. Tunaishi kwenye nyumba ya kupanga ndan ya geti tupo wapangaji...
Habari wanajamii,
Katika mazingira ya sasa ya malezi na makuzi huwa najiuliza sana hivi ni nani anapitia changamoto nyingi kati ya msichana na mvulana hasa wanapofika kipindi cha kubalehe hadi...
Ogopa sana aina ya wanawake ambao kutwa kucha wanaendekeza makundi ya ki rafiki wao wanaitana mashosti hawa wanawake ni hatari sana katika afya ya ndoa na huwa hawana adabu kwa waume zao...
Kwamba utapata kuona rangi halisi za watu wanaosema wanajali kuhusu wewe.
Angalia ni nani anayeshikamana nawe na ninani asiyekupenda, na kuwashukuru wale wanaokuacha na kukutenga, kwa kuwa...
Nawapenda tena nawapenda sana.
Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti mzuri sana wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!
Sasa naomba nianze na mada yangu...
Habari wakuu,
Katika pitapita zangu vijiweni nikaskia stories kuwa kuna uchawi wa ulinzi ambao kuna baadhi ya wanawake wanawekewa ili wasichakatwe na ikitokea ukamchakata umejila unaweza kumbwa...
Ulifanya au ulichukua hatua ipi yule umpendae aliposema SIKUTAKI.
ukizingatia una sifa zote
Hakuna kitu ulichokosa kama mwanamke.
Na una mpenda sana.
Ulifanya maamuzi yapi?
Eti wakuu wa jamii forum,je? hi ni sahihi kweli?ama Hamna mwanamke hapa ananichuna tu.
Iko hivi wiki iliopita niliomba namba kwa demu huyu ambae nilikuwa namuonaga Sana eneo anakofanyia kazi...ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.