Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanawake wamekuwa wakiringa na kujitutumua wakizania wao ndiyo wenye kumiliki utamu jambo ambalo siyo kweli kabisa. Wanawake endeleeni kujidanganyeni, mtabinua matrako, kuvaa nusu uchi ili...
10 Reactions
114 Replies
3K Views
Ukijichanganya kutongoza Mwanamke yoyote tu, hapo utaanza kupigwa vizinga tena Kwa kulazimishwa utadhani anakudai. Hivi kwanini wanawake wamegeuka kua omba omba? Shida imekua nini? Hivi...
1 Reactions
3 Replies
703 Views
Wapenzi. Mwaka unaisha huu nimeamua kuacha kujiuhusisha na mambo ya mahusiano. Nifanye kilimo hasa mkoa wa Moro. Faida umekuwa ndogo zaidi ya hasara. Hasara nazokutana nazo. Sijapata Mwanaume...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kaka mmoja akanifata Inbox yangu Kule Instagram na kiukweli nilivyomuona alikuwa kijana shababi, alikuwa na six pack(kama mziitavyo), alikuwa mrefu mweusi. Aliponitumia picha zake nikaziona...
36 Reactions
464 Replies
27K Views
Habari zenu ndugu wana JF, Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru. Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka...
31 Reactions
149 Replies
11K Views
Jamani bila kuchelewa NI hivi,siku HIZI unyago hakuna. Ikiwepo siku moja,mbili. Nawashauri,NENDENI kwenye makongamano ya wanawake wa kilokole jamani,Kuna Mambo kuhusu mahusiano mpaka ndoa yaaani...
1 Reactions
11 Replies
596 Views
Sikiliza jamaa alivyokataa mbususu😂😂
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Assalaam, Ni hivi kuna mmama wa mwendo kasi hapa jirani, Huyu mama kahamia hapa kasema ana watoto watatu na kiila mtoto na baba yake, Akapata ka kijana akamuoa kwa ndoa na kazaa mtoto mmoja...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari wana JF , Nakumbuka siku mmoja nilienda Bank pale UDSM sasa nikawa najaza jaza zile fomu zao za kuweka pesa. ,nilienda si kwamba ni mwanafunzi wa pale sema tu ni tawi lililo karibu , Sasa...
22 Reactions
189 Replies
32K Views
Msije mkasema sikuwaambia mabinti na wanawake ni hivi. Mwanaume yeyote ambaye ameota nywele kwenye matundu ya masikio yake ujue moja kwa moja anakiwango kikubwa sana cha hormone za kiume inayo...
15 Reactions
99 Replies
5K Views
Wakuu Salaam? Baada ya kujichukulia sheria mkononi tangia nikiwa form 3 mwaka 2009 hatimae mwaka huu nimefanikiwa kumaliza mwezi bila kujichukulia sheria mkononi. Njia niliyoitumia ni baada ya...
11 Reactions
113 Replies
4K Views
Kama ushawahi pata msala wa kudate na mwanafunzi aisee ule motoo sio wa kawaidaa...nakumbuka Ilinitoka kama 700k hivi[emoji24][emoji24][emoji24] sasa usiombe uwe umempa na kitumbo duuh miaka 30...
12 Reactions
101 Replies
12K Views
Wakuu Jana bana wakati napata kifungua kinywa,mpenzi wangu akanicheki kunijulia hali. Bhasi bana baada ya salamu akanipiga mzinga Tena...eti ananiomba hela akasuke...nikamwambia embu subiri...
18 Reactions
247 Replies
12K Views
JE, HUU NI UUNGWANA? Mama wa rafiki alikuja na picha ya frem ili aiweke sebuleni, kwenye picha yupo yeye, rafiki yake mwengine na ex wake. mke wake alipofika nyumbani aliitoa hio picha, mama...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaume, Kwa kweli ile kitu ya hawa wenzetu ni tamu sana na wakati mwingine wakiinama ukazoom kwa nyuma unaona kabisa hapa kitu ilivyo meta meta na mashamvu dede. Ndugu zangu nakuja...
21 Reactions
211 Replies
11K Views
Ndugu wana Jf salaam Ndugu zangu kiukweli nime choshwa na hii tabia ya huyu mwanamke wangu na nime muonya sana na kumkwepa kijanja lakini bado hasikii kabisa. Ndugu huyu mwanamke kila ninapotoka...
21 Reactions
68 Replies
3K Views
Dah leo nimegundua kukataliwa inauma sana😐, iwe hadharani au hata huko pm😪. Nikaona sio vibaya tukija na operation ponya Moyo, we tema cheche ili utoe sumu.
22 Reactions
508 Replies
11K Views
Yeyote anayesoma ujumbe huu akapate hitaji la Moyo wake
1 Reactions
2 Replies
432 Views
Habari za Muda Huu Waungwana, Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa...
7 Reactions
111 Replies
10K Views
Habari wadau. Kupitia Leo tena ya clouds FM imenifanya nilijue shirika la wanaume wanaopitia changamoto kwenye ndoa. Nikakutana na video ya maelezo ya wanachama wao. Baada ya kuitazama hiyo...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom