Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nawasalimu kwa jina la Dp Ipo hivi hawa wavulana wanaolia lia mbele za wanawake wanatuzalilisha sana, Mwanaume hutakiw kuwa dhaifu mbele ya kiumbe cha kike hata awe na uzuri wa aina gani...
14 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, tunakumbushana tu wadada/wanawake tu play part zetu Kwa waume zetu 99.9% ili wasijehamia Kwa Samantha maana keshaingia bongo na waume zetu washaanza kumnunua, naskia anajoto...
1 Reactions
187 Replies
16K Views
Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu...
39 Reactions
201 Replies
19K Views
Wakuu mko salama? Jamani mimi nina mke, tatizo ambalo nimelileta kwenu ni kwamba mke wangu toka siku ya kwanza kufanya naye mapenzi basi ili afike kileleni ni lazima wakati tukiwa kwenye tendo...
17 Reactions
186 Replies
18K Views
Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu. Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao...
6 Reactions
79 Replies
8K Views
  • Closed
Habari ya asubuhi, Wenzangu huwa mnazoeaje haya maumivu jamani?😓😓 Yaani iko hivi, tumbo linauma kama mtu yupo tumboni anavutavuta utumbo, yaani kama yuko na kijiko anakwangua ukoko kwenye...
23 Reactions
295 Replies
9K Views
Wazee wanawake wengi wamekuwa wakijichua hata wakiwa wameolewa, japo hili Jambo huwa wanafanya Kwa Siri Sana, hata hivyo ni kwasababu hawajui wataonekanaje na waume zao wakigundulika wanafanya...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara? Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na...
8 Reactions
77 Replies
3K Views
Salaaaam wanaJamiiForums Azimio langu ni kwamba kabla sijatimiza miaka 25 rasmi niwe ndoani, I mean miaka 25 niwe rasmi nimeshaianza ile maana halisi ya maisha na kuanza kuijenga my own family...
5 Reactions
35 Replies
871 Views
Wanawake tunajua mnatuombea sisi wanaume wenu, tunajua mnatupa ukakasi sana nakutupiga mizinga ya hapa na pale ili akili zetu zi chemke kusaka kibunda ila punguzeni basi. Wanawake ndoa haijegwi...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Wasalaam! Kila siku hapa tunasema Kataa ndoa Ndoa ni Utapeli Ndoa ni Janga kwa Mwanaume watu hawaelewi Ni jamaa yangu wa karibu tu, alioa mwanamke akampa matunzo mazuri hadi kumsomesha...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wakuu, Twende moja kwa moja kwa mada yetu hapo juu, sasa hivi ukipita mitandaoni ni habari tu za kungonoka. Watu wanapenda habari za ngono kuliko zingine, ukiona mijadala ya kawaida na...
13 Reactions
93 Replies
3K Views
Ni ghafla bin vuu mida ya saa 10 jioni wakati nikiwa nje ya kibanda change cha kupatia riziki. Wamepita wakina Dada wawili wazuri sana. Wamekuwa wakinitizama kwa kuibia ibia huku wakinong'onozana...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Majeruhi: Money penny bwana, nilikutananna wajinga flani hivi hapa dar wakataka kunitapeli ili wanile kilaini Money penny: doh, wamefanyaje Majeruhi: mjinga wa Kwanza alinichunguza wee akajua...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Jamani wana jf. Nawapenda tena nawapenda sana. Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti herufi kubwa wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu! Sasa naomba nianze...
1 Reactions
47 Replies
3K Views
Nimejaribu kutafakari ni kwanini kasi ya kupeana talaka na migogoro ya kwenye ndoa imeongezeka mara dufu katika zama hizi kuliko kipindi chochote kile na nilichokibaini ni kwamba kuna mahali...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu. Yaani nyie wanaume mimi naona bora naendelee kuishi Maisha niliyochagua Nawaona mmeamua kuwa pasua vichwa sio msomi, asiye na elimu hadi wa kanisani nao vile vile tu Yaani Mtu anasema...
35 Reactions
450 Replies
28K Views
i hope wazima wana Jamii forum Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia...
35 Reactions
142 Replies
8K Views
Hivi inakuaje wanawake mnakuwa watu wa kuvunja vunja mioyo ya wanaume hivoo? Wanawake mnawatesa wanaume sana hasa kwenye suala la mahusiano, mioyo ya wanaume inavunjwa bila huruma, kuna nyakati...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Niliwahi kuwa na mrembo fulani mzuri kweli kweli, lakini sasa wakati wa tendo ile harufu hata ukioga IPO tu. Mwisho wake niliamua kumuacha kimyakimya. Najua wako wengi wenye hiyo changamoto...
13 Reactions
197 Replies
18K Views
Back
Top Bottom