Nimekopi hiki kisa! nadhani huyu ni lofa wa kwanza, huyu dada hatakaa amsahau...
leteni visa vyenu, naambatanisha na picha ili kuondoa uchovu kwa wanaume,,picha haina uhusiano na mada
Mwaka 2012...
Hakika namwombea Pumziko liliro la kheri Mwenyezi Mungu ampokee panapostaili.
Niseme ukweli Baba yangu wa Ubatizo alikuwa Mtu mwema sana,wema wake niliona pale alipo kubali ombi la Bibi yangu...
Wakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...
Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa...
Wana MMU kwema? Nikutana na hii mada sehemu, je kuna umuhimu wa kumposti mpenzi kwenye mitandao ya kijamii?
Baadhi ya wanaume wanasema kufanya hivi ni kuanika mambo yako bila sababu ya msingi...
Huo ndio ukweli na utabakia hivyo hadi kiyama.
Japo mtakuwa kila mtu na wake lakini, kuna kitu kinabakia na uhakika wake. Na unaposhindwa au mnaposhindwa mnajikuta mnaingia matatani.
Yaani...
Hello guys.
Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na siyo kukupenda tu, yaani akupende haswa.[emoji7][emoji7]
Mungu wangu, utake nini kwa Dunia hii mwanamke...
Ndoa sio upendo ila ni kuheshimiana na kuiheshimu ndoa.
Naongea na wanaume wenzangu pamoja na wanawake, kama wewe unahisi huwezi kuiheshimu ndoa basi nakushauri endelea na uhuni wako tu...
Nimeshindwa imebidi niwe nafanya kazi za nje tu ,siwezi siwezi siwezi ,nafukuzwa maana uvumilivu kusema kweli sinao ,wote nawaona warembo.
Sijui wenzangu mnawezaje kuwepo maofisini na kufanya...
KIKAO CHA WANAUME.
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana..
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya..
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu...
Habari wakuu🖐
Nitaifupisha kwa kadri ya uwezo wangu.
Kama miezi mitano iliyopita kuna demu flani hv nilikuwa na mahusiano naye(anaishi mkoani), huyu demu alikuwa ana boyfriend wake huko mkoani...
Mambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu...
Naandika haya hasa kwa wale ambao tumetoka familia ambazo hazieleweki na hazina kipato cha kueleweka. Ukiona haya mambo acha kuoa kabisa kwani utaendeleza umaskini kizazi hadi kizazi (...
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo...
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa...
Guys
Kitu gani mpaka leo umejifunza katika ulimwengu wa kimahusiano/mahusiano na kimekuwa somo kubwa sana unahitaji kizazi kijacho wajifunze katika hilo.
Nimejifunza kwenye mapenzi kuna usaliti...
Shemeji mtarajiwa anachangamoto ya kuongea uongo. Yani story moja ya uongo akibanwa anabadilisha nyingine ambayo nayo ni ya uongo, akibanwa anabalisha tena mpaka akiona yamemfika shingoni ndiyo...
Hii haikubaliki kabisa, kwa mtindo huu mbona tutapoteza pesa nyingi kusiko julikana, serikali mje mtuokoe huu ni utapeli wa kimahaba.
Anyways: Anayejua hii saloon ilipo aseme nasisi tukaone kama...
Habari za wakati huu wana jukwaaa.
Weeks kama mbili zilizopita nilipata mchongo flani hivi wa kazi asa katika pitapita zangu za hapa na pale kuna kidemu nikakutana nacho nikawa nimekielewa.
Si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.