Habari zenu.
Moja kwa moja kweny point.
Madam Donatila ameanzisha uzi leo ambao unasema;
Mapenzi ya pesa yameharibu utamu mapenzi
Bac mm kwa sababu nilikuwa nina mawazo ambayo yako tofauti...
Kwa sasa nipo mkoani Tanga maeneo ya Muheza. Mimi ni mzaliwa wa jiji la Mwanza ingawa sijakulia huko
Hapa Tanga ni pazuri kwa kweli kutokana na ukarimu walionao watu wa huku hususan wazee (Kwenye...
Boss la DP World leo nikaenda saloon kujiandaa kwaajili ya kuhudhuria kwenye hafla moja ya heshima sana. Baada ya kumaliza kupunguza nywele nikaelekezwa kwenye chumba kwa madai ya kwenda kuosha...
Nawasalimu kwa salaamu pendwa,ya kitaifaaa.
Kazi iendeleee.
Endelea na kazi ya kukitafuta hicho kitu kwa mchepuko, lakini kumbuka Kuna mtu KAKIONA kwa mkeo.
Na tukumbushane tu kuwa, ukisema cha...
Wakuu poleni na miangaiko ya apa na pale siku tatu zilizopita namaanisha alhamisi
Kuna mwanamke mmoja hivi Ambae tuna muda mrefu sana katika kujuana kila nikimtongoza Kona Kona nyingi Sana, so...
Mapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.
Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima...
Habari zenu wakuu.
Kwa maisha ya sasa kama utaamua kuoa ili upendwe na Mke basi unajidanganya, maana wanawake wengi wasio na Bikra washaumizwa na watu waliowapenda kabla yako na hawamuamini...
Nguvu za kiume ni janga. Tena wengi unakuta ni waliooa ambao pia walikuwa viwembe sana. Nina mashoga zangu watatu wamekuwa wakilalamika sasa juu ya waume zao kukosa nguvu kabisa
Mpaka naanza waza...
Sijui kama ni mfumo wa maisha umebadilika au lah.
Kumeibuka kundi kubwa la washauri wa mambo ya mahusiano huko mitandaoni hususasi facebook. Baadhi yao wanatumia majina ya Iddi Makengo, Chrisa...
Habari.
Kwa asilimia kubwa wanawake ndio wanaongozwa kwa kudanganywa na watu wengi sana katika mitandao ya kijamii.
Kwa utafiti wangu mdogo nitawataja makundi au watu wachache waliobahatika...
Kwa nini sisi wanaume tukifumania ndio mwisho, labda wapo wanaoendeleza ila mimi nikifumania ndio mwisho wa safari yetu, ila wanauke wanakuwa ving'ang'anizi? Kwa nini?
Happy weekend wapenzi [emoji849]
Niende kwa mada.
Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini maisha ya sasa yamekuwa magumu sana.[emoji6]
Jamani wapenzi wangu wa jf kitu gani kifanyike tuweze kupata dawa...
Tukiachana na pale kati sehemu nyingine muhimu katika mwili wa mwanamke ni kifuani aisee kama na wewe ni titi lover basi you already know what I'm talking about.
Kuna vitu havihitaji kufanya...
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku...
Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu
Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana kuambiwa...
Habari zenu wakuu.
Kwenye maisha ni vyema tukakubaliana kuwa sio kila binadamu ana moyo wa kukubali kuwa a second Option.
Kwa Dunia ya leo Wanawake wengi wanaolewa na watu ambao hawakupanga wawe...
Mamboz wanakaya.
Ebu tuongee tunaenda kumaliza kaweekend kazuri sana.
Leo tupige story za weekend.
Nauliza kaswali kakiuzushi.
Niambie,kitu gani unaenjoy katika ulimwengu wa kimapenzi au...
Morning all guys humu ndani.
Nafsi yangu mie inaumia moyo wangu unatoa machozi kama nitapata nafasi ya kulipiza kisasi katika maisha yangu basi sitasita kufanya katika watu wengi washuhudie.
A...
Mm girlfriend wangu huwa namnunulia makufuli tu huwa ana enjoy sanaaa.
Nikiwa high school kuna jamaa mmoja aliwah kumzawadia demu pedi ..aiseee yule demu alipandisha moriiiiii akataka kukunja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.