Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Akijitahidi sana kuomba msamaha utasikia "Sawa basi nimekosa" "Aya basi nisamehe" hapo ni baada ya kumbana kona zote na ameona hamna pa ku excuse. Kwanini? Kwanini inakua shida kukubali kukosea...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Nimejisikia kuumia sana. Wala sikuwa kudhani wanaume wa humu ndani mna roho mbaya namna. [emoji42][emoji26][emoji26]ubaya wangu Mimi nikuamua kueleza ukweli wa Yale mambo wanawake tunayopitia ila...
1 Reactions
67 Replies
2K Views
hello[emoji7] Urgent Nahitaji ushauri seriously naombeni sana wenye hekima tu ndo mnishauri nimechanganyikiwa mie Jana baada ya kutangaza ofa wanaume waje kwa pm yangu ,nashukuru sana walikuja...
0 Reactions
36 Replies
1K Views
Aiseee Morning Glory wanandoaa! Basi bwana week yote hii uku kwetu Mbeya Vijijini nimetembelewa na Mama yenu mdogo wengine Bibi yenu wengine Shemeji yenu na wengine wifi yenu na Wengine...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
Mara nyingi tunakutana na watoto wa kike majumbani mwetu au hata katika nyumba za kulala wageni hivi utajuaje kweli umemfikisha inavotakiwa
8 Reactions
100 Replies
10K Views
Mambozz wakubwa na wadogo. Ebu niwape ka umbea fulani ila naomba msinichambe jamani wala msiniulize maswali mengi nasema kwa mtazamo wangu binafsi Mimi MZURI SANA. mwanamke yoyote mwenye miaka...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
https://www.facebook.com/reel/864002521844485?mibextid=9drbnH msiseme hamjaambiwa wakiolewa wengine maslay queens wasiochafua miili yao mnalia
2 Reactions
2 Replies
355 Views
Wakuu napitia kipindi kigumu sana. Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu. Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi. Nahisi mwanzo wa jambo la hatari...
12 Reactions
60 Replies
3K Views
Salam sana wana Jf na wasio fungamana na upande wowote kwa imani zenu tofauti tofauti. Ndugu na waandikia , katika pilika pilika zangu za kimaisha kwenye ulimwengu wa mahusiano na uchumba sugu...
1 Reactions
6 Replies
801 Views
😀😀😀 Sema chochote utakacho nitakupa.
1 Reactions
10 Replies
762 Views
Kwa muonekano wa nje ni msichana mzuri sana mwenye kila sifa ya urembo, msafi anajua kuongea mpaka unamtamani awe zaidi ya rafiki mpenzi na kadhalika blah blah. Nimeamua niseme manake nimekaa...
27 Reactions
930 Replies
173K Views
Hizi ndio aina za wadada ambazo ni ngumu sana kuolewa, huwa wanachezewa tu na wahuni ,kisha wahuni wanaenda kuoa chombo safi mikoani. Na wengi wao ni single mothers. Na ukiwaoa jua umeyakanyaga...
56 Reactions
245 Replies
12K Views
Kwa kujua watu wengi kwa sababu ya biashara, urafiki na kubadilishana mawazo . Humu jf wengi ni watu wazima sio wanawake au wanaume wote ni watu wazima humu hakuna mtu ana 29 kushuka chini humu 31...
15 Reactions
116 Replies
4K Views
Nimegundua mapenzi yana mapana yake na ukizama kwa kina utagundua kila mtu ana namna yake yakufurahia mapenzi, Mimi sio mjuzi sana kwenye secta yamahaba nachojua zaidi ni majukumu yangu kama baba...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Unajua katika maisha haya exposure ni kitu muhimu sana. Yaani mtu huwa unajua na kuelewa mambo yaliyo ndani ya Upeo wako tu. Kutokana na kuishi nao na kushinda kwenye circle/ cycle yao basi...
2 Reactions
5 Replies
526 Views
Nauliza tu. Wala sio kwa ubaya wanakaya. Inakuaje mwanaume unayejiita rijali mbavu nene na unakaa.kijiweni unakojoza watoto wazuri. [emoji26]ila unashindwa kabisa kumuhudumia mrembo wako au...
1 Reactions
7 Replies
536 Views
Ni muda gani kwenye mahusiano inakuchukua kuonesha tabia yako halisi kwenye uhusiano Au ile ku act and be yourself mfano, kutoa gesi tumboni, kula chakula uanchokipenda hadi kulamba sahani...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Ndugu nimejaribu mara kadhaa kutaka kununua dada poa ila kila nikisogea buchani kununua nyama najikuta nimeghairi. Sijui ni hofu au ni nini ila ghafla nasahau kabisa nilichokusudia kununua, ndugu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Ujue ukitaka kupata kilicho bora ebu waza kinyumenyume na walimwengu baadae utanishukuru! Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari...
24 Reactions
83 Replies
5K Views
Back
Top Bottom