Maisha ni pesa na pesa ni nguvu mojawapo ya ujasiri na kujiamini katika maisha ya mapenzi na mahusiano.
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni...
Habari wanajf
Ukijaribu kuwasikiliza wanawake wengi unakuta wanasema wanapenda wanaume wapole na ambao hawana mambo mengi sio kwamba hawapati wanaume dizaini lahasha lakini wakiwashawapata...
Alietairiwa na asie tairiwa/aliekeketwa na asie keketwa yupi ananogesha ?
haya wapita njia mbalimbali tupeni elimu ili wakati wa ndoa tujuwe wa kuchagua.
Utandawazi na njia za masiliano zime rahisisha namna ya kukutana na kufahamiana na watu tofauti na njia za kizamani za hadi ukutane na mtu uso kwa uso, mfano kanisani, kongamano, bar, harusini...
Wakuu aisee mapenzi matamu Sana nimepita mahusiano zaidi ya 10 hatimaye NIMEMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI ya kweli,
Kiukweli mahusiano yana mwezi mmoja ila tayari nishanenepa
Wakuu kumbe Kuna...
Wakuu salaam nyingi kwenu,
Kama mmoja wa member wa hapa jamvini,
Ninaombi langu kwenu, naishi na msichana wangu na anaujauzito now wa miezi sita sasa changamoto inakuja Mungu akijaalia akazaliwa...
Nina watu fulani wafupi ofisi Mate. Kitu kidogo tu kesi. Wana tabia ya kupenda uspesho fulani hivi. Yaani hakuna kilema kizuri ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavu ni maumivu makubwa sana...
Hii ni mojawapo ya mada zilizojaa ukakasi kuhusiana na maisha yetu ya mafanikio na dhana dhanifu mzima ya kupata.
Uhalisia ama ukweli kwa muktadha wa heading hauwezi kufika asilimia 50 lakini...
Habari.
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la Wanawake kulalamika kutofikishwa vileleni na wapenzi wao,na lugha hii kwa sasa naona kama inaongelewa karibia na wanawake wote.
Kiukweli shida ya mwanamke...
Ni swali tu,
Biblia inasema katika kitabu Cha waefeso 6:3-1 Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana.Waheshimuni wazazi wenu Kwa kuwa hii ndyo amri ya kwanza Yenye ahadi.
Lakini pia...
Habari za jumapili,
Nikiwa na akili zangu timamu, leo tarehe 29/05/2022 nimeona nisimulie moja ya mahusiano niliyopitia kwenye maisha yangu wakati wa uschana....
Sio mazuri kusimulia sababu...
Habari wakuu,
Nimekuwa muumini wa masturbation kwa takribani miaka mitano sasa, kiukweli punyeto ni very interesting practice haswa kwetu wanaume kama tukiachana na dhana za hapa na pale...
Jamaa yangu ananioa story hapa kwamba kua utofaut mkubwa sana na lait kama vijana weng wakionja penz la hawa watoto weupe sidhan kama watachomoka.
Anasema kwamba
1.kwanza hawafichi mapenz.. yaan...
Mimi ni mwanamke mchumba wangu ameanza likizo ya wiki mbili tukakubaliana aje nyumbani kwangu, alikuja kwangu siku ya Jumatano, ilipofika Ijumaa asubuhi akasema anaenda kuhakiki baadhi ya nyaraka...
Habari wa jf.
Kuna rafiki yangu mmoja alioa mwanamke mwenye mtoto tena mapacha ni wakike tupu. Ila wao wanakaa kwa Baba yao na Baba yao ashaoa na amezaa watoto 3 na mke wake huyo mwingine 1...
Ulishawahi kujiwekea vigezo vya huyo "ke" unayeenda kuanzisha mahusiano naye? Jiulize na jiridhishe anafanyakazi au shughuri gani ili aweze kuishi! Wengi wao hawana kipato chochote zaidi ya...
Salaam;
Siyo vibaya kukumbushana mambo kadhaa katika maisha haya. Hapa simfundishi mtu jinsi ya kuishi, simzuii mtu kitu cha kufanya na wala simshawishi mtu kipi afanye.
Haya twende kwenye hoja...
Elimu ya nyota/Unajimu (Astrology) ni elimu kama zilivyo elimu nyingine japo wapo wanaoihusianisha na imani za giza lakini fikra hio nafikiri ni potofu.Unajimu ni uhusiano wa nyota na maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.