Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Maneno "life begins at 40" yana maana kuwa mtu akifika umri wa miaka 40, maisha yanakuwa bora zaidi, labda kwa sababu tayari mtu keshapata skills, experiences na namna bora ya kuyafurahia maisha...
77 Reactions
318 Replies
15K Views
Katika maisha yangu mambo ambayo kwangu ni hatari na ambayo nayaogopa. 1. Uzinzi (uasherati) 2. Kula jasho la mtu 3. Kumuuzunisha mtu Sijui nyie wenzengu mambo yepi kwenu mna yaogopa...
22 Reactions
130 Replies
5K Views
Material create God is LOVE, Mungu ni pendo. Mapenzi ni hisia kama huna hisia njoo tukuombee. Kuna story nimeitoa kwenye maandiko matakatifu ikieleza Mwanamke ni nani kwa Mwanaume. Palikuwa na...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Ndugu kama kichwa cha habari kinavyo onekana. Ni yapi mazingira ya hatari mwanaume uliyowahi kumtongoza mwanamke na wanawake watiririke ni mazingira gani ya hatari uliyowahi kutongozwa na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu salama uko mliko? Nina miaka 2 npo huku kikaz bahati nzuri nilimkuta ndugu yng huku mtoto wa aunt yng ( rip ) nlifurahi kumkuta uku kama mwenyeji wng, ana mke na watoto wawili na ana...
1 Reactions
5 Replies
819 Views
Wakuu mko sawa? Aisee nina mke mmoja na mtoto mmoja, sasa mke wangu aliniomba amlete mdogo wake huku aje ajiendeleze mambo fulani aliyokuwa ameyaanza, nlikubali kwa dhati kabisa. Sasa shughuli...
15 Reactions
103 Replies
8K Views
Saikolojia yangu na hisia zangu naona zinanielekeza pabaya, yapata miezi mitatu sasa naona hali yangu ya kisaikolojia na kihisia inaelekea kwenye midoli sijui nini cha kufanya. Ndugu , mimi ni...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari. Siku naanza balehe nadhani hiki ndo kipindi ambacho binadamu anayaona na kuyaenjoi mapenzi kuliko kipindi chochote kile duniani. Ila kwa umri tulionao hakuna binadamu aliyepita umri wa...
4 Reactions
7 Replies
809 Views
Saa tisa usiku kasoro nipo namsikiliza msanii wangu pendwa enrique yule wa hero huku nikiangalia kidonda changu cha mapenzi ambacho kinamalizia kupona ...kama unanifutuatilia utajua uzi...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Achana na jini mahaba nazungumzia pepo...jini mahaba hutulizana sehemu moja na kwa sehemu kubwa jinsia yake ni kiumeni...kamwe huwezi kukuta jini mahaba lina pepo la ngono... Jini mahaba...
18 Reactions
110 Replies
14K Views
Habari wajumbe, Nimeulizwa swali tajwa na bi dada, nimemuomba anisubirie kwanza nimalize kupalilia mihogo yangu then nitamjibu, nitamrudia!
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Sio tu wa kuwaoa, bali hata wachumba, wapenzi au part time men. Na hii ndio sababu kuu ya kwanini wanawake wamejazana makanisani 90℅ kulinganisha na wanaume Akili za mwanamke zinafikiri kwamba...
17 Reactions
40 Replies
3K Views
Na hii nayo ikatumike kama kigezo cha mke mwema mwenye faida katika familia. Usioe gogo, narudia tena, magogo yote yatumike kuchochelea shisha kwenye ma-godown Mimi ni mtumishi wa boss katika...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna huyu dada (anawatoto wawili japo mdogo), kalipiwa ada ya mafunzo ya ushonaji na mume wake, kajifunza mpaka akajua. Picha linaanza mwalimu wake akawa anamegua kama wife, kibosi. Haikuishia...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za saa watanzania wenzangu, Namshukuru Mungu Kwa kuzidi kuniongoza katika safari ya maisha ,Mimi ni kijana ninaye chukia sana kitu kinaitwa mchango wa harusi ,ni Bora niombe mchango wa...
11 Reactions
97 Replies
5K Views
Nyieee kumbe hii kitu ni kwel bwana, "Overtaking is Everywhere" [emoji17]! Tuache kusifia wapenzi/mke/ mume kwa marafiki zetu [emoji3064]. Haya mambo ya kumshirikisha rafiki yako akakuombee...
12 Reactions
89 Replies
5K Views
Ndugu zangu Wana Jf Habari zenu! Mimi ni kijana wa kiume, napitia changamoto mbalimbali za kuhusiana na mahusiano yangu ya mapenzi. Nimekuwa kwenye mahusiano kadha wa kadha, lakini yote nimekuwa...
1 Reactions
13 Replies
735 Views
Ndugu zangu kila kabila lina mazuri na mabaya yake mnaombwa ushauri na kaka yenu kaniomba mimi nikashindwa nimshaurije nimebaki kimya nikaona nilete kwenu nanyi mumshauri Huyu braza kapata demu...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa. Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom