Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani ndungu zangu wiki iliyopita ilikuwa Weekend baada ya kupiga vitu kidogo kuna demu nilikuwa namuelewa hivyo kuna hatua tayari nilikuwa nimepiga kwake hivyo tulikua na mawasiliano na ukaribu...
12 Reactions
59 Replies
3K Views
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo. Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Wanabodi habari Iko hivi kipindi ninamuoa huyu wife nilikuwa na date na mtoto mmoja wa kihaya mashaallah. Sasa alipata ujauzito nilipofunga ndoa na wife alianza kunisumbua sana na mimba ilikuwa...
8 Reactions
384 Replies
27K Views
Kuna mwanamke ni mke wa mtu, anadai Ali squit mara moja tu katika maisha yake, kila nikikitananaye lazima godoro lijae maji kama ndoo yalita 10. Cha ajab kila tukimaliza lazima aombe msamaha...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Salaam wapendwa wa JF Nina shangazi yangu ambaye ana umri wa miaka 47, yeye ni wa mwisho kuzaliwa katika familia ya baba yetu. Jambo moja la kunishangaza ni kuwa hajawahi kuwa na mwanaume yoyote...
5 Reactions
120 Replies
12K Views
Husika na kichwa cha habari .. Ninavyoandika hapa kuna mwanamke anapitia changamoto baada ya mumewe kusimamishwa kazi... Anadai mumewe amekuwa mkali sana yaani kidogo tu anakasirika... Amekuwa...
10 Reactions
112 Replies
5K Views
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina Kilo 97 naishi ndani ya Dar, ni mkaka mweusi, mfupi kiasi. wengi wanahisi mimi ni MUHA kutoka Kigoma kulingana na weusi wangu na unene ila kiukweli mimi ni mdigo...
9 Reactions
87 Replies
5K Views
Mmoja wa wachimbaji wadogo wadogo akiwa kanaswa na Camera yetu kwenye mgodi wake.
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf natumaini mpo salama salimini, kwa wale wenye changamoto za hapa na pale Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi sasa sawa na imani zao kwa namna yao. Amina Yapata miezi kadha wa kadha sasa...
9 Reactions
116 Replies
5K Views
Ndugu zangu nimejiridhisha hakuna mwanamke anayevaa kipini puani akawa fala. Halafu wengi wao wana miili fulani hivi kama Zuchu, kwenye kuzagamuana sasa 🙌🙌
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Juzi kati nlikua baa moja ndogo kwenda kupata msosi wa jioni for 1 week mfululizo, sasa mm nikiwa kwenye kumbi za "starehe" hua napenda kuangalia inter gender interaction between male and...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama mada inavyojieleza. Baada ya miaka mingi ya mvurugano na kutokua na amani ndani ya ndoa tena ndoa ya bluetooth tumeamua tutengane kila mtu aendelee na 50 zake. Mke aliona bora anisaliti...
60 Reactions
259 Replies
12K Views
Kwema wakuu Leo nilikua na miadi na pisi ikaniambia nimtumie nauli aje daah.. nikatuma tokea saa 3 asubuhi mpaka mda huu hapa pisi haijatokea na simu hapokei. Ngoja nifanye mambo mengine tuu...
11 Reactions
67 Replies
6K Views
Nini kinasababisha vijana kuoa mashangazi? Tuongee kidogo...
12 Reactions
252 Replies
17K Views
Kwa pande zote mbili Kuna muda unamuona mwanamke (Kwa sisi wanaume) ama mwanaume (Kwa wanawake) anakuwa kwenye muonekano fulani ambao binafsi unaona noma kumtokea / kumsaundisha (Kwa ME), ama...
6 Reactions
145 Replies
7K Views
Siku kadhaa nyuma nlileta uzi hapa kuelezea kuhusu mke wangu niliefunga nae ndoa ya bomani na kuzaa nae watoto watatu anavyotaka tuachane kisa tu namzinguaga mara moja moja Huyu mwanamke...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata...
41 Reactions
195 Replies
11K Views
Kuna utafiti mdg usio rasmi nmeufanya, Asilimia kubwa ya Watu wanene sana (VIBONGE) Wana roho nzuri sana (Hawana roho mbaya,kijicho Wala husda na Cha mtu) na wana huruma sana (hasa wanawake)...
24 Reactions
115 Replies
6K Views
Haswa za kizazi hiki. Usaliti umekuwa kitu cha kawaida, magomvi kama yote, wengi wanafeki furaha ila ndani kunafurukuta. Matukio ya kutisha, najiuliza walewale waliokuwa wanacheza romantic songs...
61 Reactions
426 Replies
14K Views
Back
Top Bottom