Habari za asubuhi wapendwa,
Enzi za ukuaji wangu, tendo la ndoa lilikuwa ni nadra sana kulipata. Wala hukuhitaji kutoa pesa! Barua tu yenye maneno mazito ya mahaba, tena iliyandikwa kwenye ruled...
Ukiangalia asili inakubali mwanaume kuwa wanawake wengi kwanza kuna kuzaliana mwanaume anaweza akawapa mimba hata wanawake kumi kwa kipindi kimoja ila mwanamke hawezi kubeba mimba kumi kwa mara...
Wanajukwaa yamenikuta, nipo Wilaya moja hv, sasa wakati nafika huku nilitfikia kwa mshikaji wangu ambapo pembeni kidogo alikuwepo dada mmoja. Kwakuwa age yangu imeenda na kwakuwa najijua mwenyewe...
Aliyesema kupanga ni kuchagua hakukosea
Kwa mtu anaejielewa sio jambo la kukurupuka anapoamua kuchagua mtu awe Baba wa watoto wake au mtu awe Mama wa watoto wake , ni lazma akae chini asugue...
Jamaa alkua na ex wake wa enzi izo za sekondari anasoma, baada ya kupotezana miaka mingi, binti kamtafuta jamaa na wakaanza upya mawasiliano, mahusiano kwny simu, Kisha kupanga kukutana waonane...
Inauma saaana ndugu zangu. Licha ya kuwa pamoja naye katika masuala tofauti ya hapa na pale, nikimsapoti pale ninapoweza, akinisaidia kimawazo n.k Jana ndipo nilipatwa na ganzi ya mdomo baada ya...
Kwa dunia ya sasa kuna wanawake wa aina mbili.
1. Muaminifu ila mkorofi, Wivu na mgomvi.....
2. Msaliti ila mpole anakupa amani muda wote......
3. Ni mwaminifu ila Yupo bize na kazi zake za...
Ni muda mwingine tena.
Anaomba ushauri huyu rafiki yangu mwanzoni alinishauri sana nioe tufanane ila nikamwambia mimi sina kazi na siwezi mtunza mke, leo yamemkuta.
"Ni miaka minne sasa tangu...
Ex wangu aliniacha mimi na kukimbilia kwa jamaa fulani kisa jamaa ni mtu mwenye pesa nyingi.
Wakati mimi ndo nilimtowa kijijini na kumleta mjini ila cha ajabu mazuri yote haya walisau yeye na...
Naamua kuwafumbua macho watu wengi maana hamjui chochote, mkipata vibinti huko vijijini mnakuja kuviweka mjini viwe vifanya kazi vya ndani kumbe vimeathirika ukimwi,
Ukiwa unampelekesha kwa kazi...
Habari kwenu, nyote
Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko
Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu...
Habari za muda huu wanajumuiya ya MMU wenzangu, ni matumaini yangu kila mmoja anaendelea vyema.
Katika tafakuri ya weekend leo nimewaza jinsi ambavyo ndoa zinawasumbua vijana wengi kila mmoja na...
Binafsi tokea nianze mahusiano na mabinti wa aina Nyingi nime experience mambo mengi sana Kuna Hawa wanawake wao wanataka antention Yako hawataki Pesa Wala nini yaani inshort hawana tamaa ya Pesa...
Habari,
Mimi kidogo ni mfuatiliaji wa Facebook. Kuna kinachoendelea kwenye page ya jamaa mmoja anayejiita Dr. Harris Kapiga akitoa yake ya moyoni.
Ameweka namba na wanawake waeleze yaliyo moyoni...
Nimeishiwa nguvu, Ni mambo yanayotia stress sana.
Kinachoaminika kwa tamaduni zetu ni kwamba mtoto wa kike mchanga, kitovu chake kikidondokea kwenye uke wake basi ni kifungo cha uzazi, Yani...
Wakuu kwema?
Kuna mtoto mmoja hivi wa kishua kweli kweli alinipaga namba mwenyewe sasa baada ya ziku 3 nikaji race nikaanza kumwambia nakupenda nataka nikuoe akanitolea nje nikavunga niakendelea...
Wapendwa, nauliza tu sio kwa ubaya kwani siku hizi wanaume wote mna watoto
Yaani tangu nianze mahusiano seriously namaanisha ya Kiutu uzima natongozwa na wanaume wenye watoto
Nina ex wawili...
Habari wana JF.
Kuna Ndoa imevunjika hapa ndoa ya miaka 15.
Mke alizaa kabla ya ndoa, sasa mama huyu alimficha mtoto,
Huyu mtoto alikuwa anaishi na Baba yake.
Mume alijua kwa mawasiliano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.