Wana Jf. Nawasalim
Mambo yamebadilika mahusiano ni ghali mno , hasara kwa mwanaume na mwanaume ukiendekeza chini kibunda hutosave na wala hutopata kipande cha ardhi pakuzikiwa ukifa,
nashauri...
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!
Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.
Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita...
Ni utamduni uliozoeleka na bila shaka ni wa kimagharibi zaidi ingawa uko dunia nzima.
Swali ni je, kwanini uonyeshe kuwa umeoa au umeolewa?
Kuna mahala watu hatambulika kwa ndoa?
Kama ni...
Habari, naomba msaada wenu wadau.
Nina kijana wangu aliposa sehemu kwa kufuata taratibu zinazotumika, yaani katuma barua ya uchumba, ikapokelewa na kujadiliwa kisha ikakubaliwa na familia ya...
Habari wakuu!!
Kuna hizi Ndoto mbili za jinsia zote ni ipi kati ya:-
Ndoto ya Kila ya mwanamke ni kuolewa na mwanaume mwenye Hela
Na ndoto ya Kila mwanaume kuoa Mwanamke Bikira.
Je ni ipi Ndoto...
Spend time with your child. Talk with her about her friends, her accomplishments, and what challenges she will face.
Be involved with your child’s school. Go to school events; meet your child’s...
Namaanisha kumpiga mkeo mangumi ama kipigo kama cha mbwa mwizi ama paka shume sio poa kabisa
Huwa ninasoma mabandko mengi hapa ambapo baadhi ya wanaume hujitapa jinsi walivyowatwanga wake zao na...
Kama kawaida yangu sikurupuki bila kufanya tafiti za kutosha, kama mnavyojua mtu ukiwa mbali na mpenzi wako mliozoeana inapelekea kuachana na inaweza kukufanya uumie endapo ukimfikilia sana...
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu...
Ukitokea kumpenda mwanamke yeyote ambae unaona ni v.i.p sana unahisi ukitaka kumuoa wazazi wake au yeye mwenyewe hawezi kukukubalia kirahisi bas mzalize kwanza ili ukija kuhutaj kumchukua ile...
Relationship za siku hizi ni kama birthday party, Once the cake is eaten the party is over[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
najua mnafikiria mdogomdogo[emoji23][emoji23] alafu unasikia mtu...
Sio Kila mzazi ni Mungu wako wa Duniani wengine wanaongozwa kwa sera na itikadi za kishamba sana, kwa upande wangu na ninayoyaona naenda kupotea nyumbani kwa miaka ya kutosha na kurudi huko...
Wakati wa kuchagua mke anayefanya kazi, unapaswa kukubali kwamba hawezi kushughulika muda mwingi na maswala ya nyumbani
Ikiwa umechagua mama wa nyumbani ambaye anaweza kukutunza wewe, kuwatunza...
Salute
Psychological Manipulation, jinsi ya kumpata umpendae kwa kumteka kihisia na kiakili.
Kwanza kabisa ili uweze tengeneza computer inakubidi uelewe jinsi mifumo na vifaa vyote vilivyomo...
Wadada mnachafuliwa na wakaka kila mahali hata hamna haya.
Mkimaliza kuchafuliwa eti mnaenda kwenye pochi zenu babe chukua hii pesa nunua chochote unachokipenda hata haya hamna.
Nimechukia mpaka...
Ni miaka 12 imepita Sasa toka nimalize masomo haikuwa rahisi baada ya miaka 4 ya masomo pale Dar es salaam Kwa Neema ya Mungu tukamaliza masomo
Kwakweli haukuwa rahisi hasa kutokana na...
Imechukua muda sana kukubali kuwa sharing is giving and receiving, pia kuna kupata na kukosa na kupata tena na kukosa tena, game on.
Baada kipindi kurefu cha ujinga wa wivu kwenye mapenzi na...
Mtu yupo kwenye utumishi wa umma kwa miaka 13, wenzake walioingia kwenye utumishi pamoja naye, tayari wana maisha yao. Huyu ndugu hamna alilolifanya, yaani hamna jambo lolote la maendeleo. Sijui...
[emoji351][emoji351][emoji351][emoji351]
Matumizi ya shahawa(sperms)katika limbwata
[emoji2788]wakati wa kufanya sex andaa vitambaa viwili vya kujifutia baada ya tendo
🫵Kimoja chako na zingine...
1 Usidate na mfanyakazi mwenzako
2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri
3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela
4 Usidate na mteja wako
5 Usidate na mwanafunzi
6 Usidate na single...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.