Habari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi...
Kama umebahatika kuwa na mahusiano na mwanamke ambae hajapitia misuko suko ya mahusiano utakua shuhuda.
Wanawake asilimia kubwa wana mapenzi ya kweli na mioyo safi kabisa, tofauti na wanaume...
Ni hakika ndoa ni Fursa Kubwa kwa Mwanaume na kwa Mwanamke pia.
Kwa MWANAUME..... una mwanamke mzuri kando yako, ni mke mwema kutoka kwa BWANA.
Anakutumikia kwa kila njia kwa moyo wake wote...
Aseee hii nomaa sanaaa, em tuangalie kwa ufup tuu
Mipaka inaonesha ni sehemu gani wewe uishie na ni sehem gani mtu mwingine aishie asiingie katika himaya yako
Mipaka inasaidia mtu mwingn...
Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.
Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT...
Nimekutana na mdada mmoja, tukaanzisha urafiki (sio wa kimapenzi). Ikafika mahali tukawa tunapiga stories nyingi tu. Mdada hajaolewa ila ana mchumba wake. Mimi nimeoa.
Huyo dada huwa ananipigia...
We Only Fall in Love with 3 People in Our Lifetime (Each One for a Specific Reason)
According to one theory, we only fall in love with three people in our lifetime.
We may like many people...
Salamu zenu jamani watu wa humu...habari za kazi zenu popote mlipo..mm ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti nimedumu nae ktk uhusiano kwa mwaka mmoja na Kama miezi miwili hvi,huyu...
Mimi kanuni yangu ni moja, lazima tupime, haijalishi nitatumia condom ama lah lakini lazima tupime.
Jana nimechukua mtoto mzuri innocent kabisa, sio malaya(inawezekana ni malaya underground )...
Jamani kwa anaejua dawa ya kumfanya mwanaume akae mbali na pisi yaani asipate zile feelings za kutamani madem naomba anisaidie pesa zangu zitaisha
Uzi tayari
Pole kwa kuhangaika maeneo mbalimbali kwa muda mrefu sana ukinitafuta,
kipenzi na mume wa maisha yako huyu hapa amepatikana,
ametoka kwa Mungu.
karibu sana faragha iko wazi.
uliemtarajia na...
Kwa kipindi kirefu nimekua msomaji wa mada mbalimbali zinazohusu mahusiano na ndoa mala kadha wa kadha
Nmkua nkifatilia kwa kina juu ya wale wanaokataa ndoa, kuzielewa sababu zao zinazowapelekea...
Wakuu nawasaalimu
Hili ni janga lingine la familia, kitaifa, na dunia kwa ujumla. Limekuwa likitutafuna miongo kadhaa sasa.
Unafanya uwanja wa mazoezi binti wa mtu, ukijua fika hutomuoa.
Akili...
Wanawake ni viumbe wa kustaajabisha sana.
Nakupa mifano michache kuonesha jinsi wanawake wanakuwa na double Standards kwa jambo moja lile lile dhidi waume ama wapenzi wao na ndugu zao wa kiume...
Hi ni ajabu,
Huyu bi dada sijui anawawaza nini
Anyway
Kuna mdada mmoja nipo nae kwenye mahusiano,
Japo mahusiano yetu sio yale stroong ,tunawasiliana ila sio kwa kiasi kile kuna kipindi alisema...
Habari zenu wanaJF na hongereni na majukumu ya kuendeleza taifa hili.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nimekuwa nikitatizwa na hili swali kichwani na nimejaribu kuuliza watu mbalimbali hasa...
Wajameni Dunia hii Ina mengi sana, nimekutana na mfadhaiko mkubwa sana.
Iko hivi katika pitapita zangu nimekutana na msela wangu akiwa na mademu watatu, sasa baada ya kuwajoin kuna story za...
Habari za j2 wana JF.
Naitaji kuzumza hili kidogo kwa single mothers, Unapokuwa unatafuta mume wa kuingia nae kwenye ndoa tafuta ambaye atakubaliana na hali yako kwa sababu wewe unamtoto tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.