Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala...
Naam Bila kupoteza wakati aiseee Nimejikuta Nimetumbukia mazima Kwenye penzi la Binti mmoja Kutoka Tanga ambaye ni nurse hospital Fulani Hapa Dar.
Mtoto ni mrembo Haswa yani Hana kasoro yeyote...
Habari wana gt!
Naandika kwa masikitiko sana mume wangu nimemfumania akipiga punyeto huku akilia kwa mahaba na sabuni mkononi.
Kila anapohitaji nampa muda wowote
Leo unafanya sex na sabuni hivi...
Helo guys.
Moja kwa moja kwenye mada
Mimi Nina jirani yangu ambaye amenitunuku kushare nami baadhi ya Hali yake ya maisha
Story ni ndefu kidogo but ntajitahidi kuikatisha.
Huyu kaka anaishi na...
Kama header inavyojieleza,mimi ni kijana wa miaka 25 asili yangu ni Mnyakyusa lakini makazi yangu rasmi ni Dar.
.Elimu:Degree
.Kazi: Nimejiajiri,nina duka la simu.
Natafuta mwanamke kwa ajili ya...
MwanaFA akisimulia njia na hadithi ngumu ya maisha yake hakika Mungu wetu ni mkubwa sana. Natumia nafasi kumuombea heri na tuzo ya milele Babu yake MwanaFA ambae ni mzaa baba yake.
Tafadhari...
Baada ya kuona warembo wetu, katika huu ukanda wetu, wengi wao ni omba omba, nikaamua nivuke mabara na mabara ili niweze kupata pisi kali matata, isiyokuwa omba omba.
Kwanza nilianza kwa kutafuta...
Labda ni kweli amekuwa anakufikiria na hiyo ni nzuri - ikiwa yeye pia ni single hajaoa.
Kabla ya kumhukumu, pima sauti yake na marudio ya uchumba. Ikiwa atasema tu pale unapokutana au kumtumia...
Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali...
Habari wna jf naomb tupitie hii nakala fupi itatusaidia mahali🙏🤝
Ni vizur mtoto kupata mda mzur wa kupata malezi mema kutoka kwa wazazi aw walezi wake kabla dunia haijamfunza kip cha kufanya...
Habari wanajamii,
Nimeona nielekee kwenye mlengo wa madaa husika, Nimejaribu kufanya uchunguzi sana kwenye baadhi ya mazungumzo ya hawa wanawake tulionao humu ndani ya hii forum na kubaini kuwa...
Ndugu wana Jf kwa heshima kubwa nawasalimu sana.
Humu ndani kuna watu wa imani tofauti tafauti na kila rika kwa nafasi zao naombeni msaidie ushauri wa haraka hapa
Katika pilika pilika za...
Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na Wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa Kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa...
Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio...
Kichwa cha habari chajitosheleza..wanawake wengi wasio na sura za kuvutia kuendelea kuwaangalia usoni huwa huko nyuma wamejaaliwa kalio balaa..ila wale wenye sura endelevu wengi wao nyuma ni flat...
Wakuu nimeandika hapa si kwa lengo la kujivunia bali nikujutia kosa nililo fanya la kumruhusu kutoa mimba zangu mbili.
Ipo hivi, mwaka 2020 niliingia kwenye mahusiano mapya na binti mmoja ambaye...
Naamini katika pita pita zako imewahi kukutokea umepata me/ke mwenye jina la kufanana na ex wako huko mwanzo..huwa unachukuliaje hilo suala?
Kuna jamaa angu mmoja amekutana amedate na ke wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.