Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nawasalimu sana wana jamvi. Natumai mko vizuri na mungu ana bless sana. Hivi najiuliza. Je kuna ishara yoyote amabyo mwanaume anaweza kupata ikiwa mimba ni ya kwake kwa mwanamke yoyote . Awe...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Mambooz. Kwenye mapenzi kuna mambo mengi ebu niambie kipi kilisababisha ukawa fundi wa mitindo.
1 Reactions
1 Replies
688 Views
Habari za Jumapili wana Jamvi, Bila kupoteza muda, ngoja nielekee kwenye mada husika: Katika pita pita zangu mjini Morogoro nikakutana na binti wa Kikaguru kutoka huko pande za Gairo.Ni mwenye...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Hapa namaanisha wabena, wahehe na wakinga. Hawa watu ni wazuri kuolewa, Ni waifu matirio kweli kweli ingawa Wana mapungufu yao japo ni machache. Kwanza ni wavumilivu, ila ukiwachukiza sana...
10 Reactions
49 Replies
19K Views
skia tu kwa mwenzio kuwa na mshkaji mropokaji inaboa asee yani bora awe wa kike sababu kwanza Automatically kuna baadhi ya mambo hawezi kuyajua sababu ww n wa kiume yeye wa kike Daah nna huyu...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Mwaka huu ndiyo nimefahamu athari za ugaidi baada ya wadada weusi 3 kuhamia kwenye apartment jirani na kwangu. Mmoja ni mwendo wa vimini tu ana vimacho fulani hivi, mwingine ana subwoofer kubwaa...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Furahia MUDA ulioanao na yule unayempenda. Kila mtu tuliyenaye kwenye maisha yetu hatadumu milele. Wengine tutakuwa nao kwa muda mrefu sana na wengine tutakuwa nao kwa muda mfupi. Mungu hutupa...
3 Reactions
12 Replies
546 Views
Hawa viumbe wenye kale kauweusi ka Chocolate bila kusahau visura fulani hivi vya huruma sio huruma, furaha sio furaha, mawazo sio mawazo! Wanawake wa namna hii ni watamu, watamu tena na tena...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya kumuona akiwa mpweke nikaamua kumpandia juu. Kama kawaida yangu ya ucheshi wa hapa na pale bila kusahau utani mwingi. Kanijibu "Mimi sio mwanamke wa hivyo, katika maisha yangu sipendi...
5 Reactions
56 Replies
6K Views
Ni binti mgeni tu aliamia kitaa chetu, sasa wakati anakuja hakuna aliyekuwa anajua kwamba ni dada poa yaani anauza, Sasa bwana Zero iq nikajitosaga kumfukuzia ili nimsajiri kwenye daftari la mtaa...
6 Reactions
54 Replies
4K Views
A. Kutokusamehe B. Kuwa na Matarajio yasiyo halisi C. Kutokuchukuliana madhahifu D. Kutokujua wajibu wako katika mahusiano E. Kipato Jambo la kwanza Kutokusamehe Kwakweli kuna kitu ambacho...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wachungaji / ma ustadh / waganga feki - wanawake wengi sana wanasukumwa na Imani na ndio maana idadi yao ni kubwa kanisani, kwa waganga na wanaoenda kwa maustadh kwa tiba, matatizo Yao huwa kwenye...
12 Reactions
143 Replies
31K Views
Eti kuna uzee, nani alisema utafika hatua ya kuzeeka, kula Nyama ingali meno ipo, Hapa ndio naamka nawaza je nitatoboa kweli kwenda sokoni kuchukua masaga ya pale kiwandani kwangu maana, Usiku...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari, Kuna rafiki yangu mmoja nilizoeana nae mda kidogo na tunafamianane kutoka na biashara zetu yeye anaumri wa 43 now. Ila kwa sasa anahali mbaya ya kiafya anaumwa magojwa yasiotibika haya...
11 Reactions
176 Replies
10K Views
Ali Kiba amejipanga vilivyo kupambana na akina dada wajasiliamali wa mapenzi. Wanaopenda kuchuma vya ubwete kupitia mapenzi uchwara.
15 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamii hii inapatikana huko Amazon Marekani ambapo wanaume 7 tu wamegeuzwa tegemezi la wanawake zaidi ya 3000. Hii ni kutokana na uchache wa wanaume uliopo. Kutokana na shughuli pevu na nzito...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Wadau Naomba maelekezo, ivi Kwa mwanaume timamu anaweza akaowa mwanamke wa kimtandao?? Kuna mshikaji wangu ameyakanyaga kaowa Dada wa Facebook ahsee [emoji23][emoji23][emoji23], ila washamba bado...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Hope mko poa Aisee mpaka najishanga now days siku za karibuni mara nyingi nakuwa moodless yaani nakuwa na kisirani haswa, sijisikii kuongea na mtu mpaka job na watu wa karibu yangu wanaanza...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Nimekuja kutoa mrejesho wa thread yangu iliyopita. Unaweza soma apa Kwanza nitoe shukrani kwa kutiwa moyo kwani kipindi nilichopitia kilikuwa kigumu sana kwangu, pia nakiri hapa...
25 Reactions
64 Replies
6K Views
Back
Top Bottom