Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Siku hizi naona kama ndoa zimekuwa na changamoto nyinngi.siyo ndoa changa wala kongwe.siyo za matajiri wala masikini.kiwango cha ndoa zenye matatizo zimezidi kuongezeka kila kukicha. Mbaya kuliko...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Unafikiri ipi ni maana sahihi? Msanii wa kiafrika anayechipukia kwa kasi, African Melki amehojiwa na moja ya kituo cha runinga cha mtandaoni (Online media) na kutoa maana ambayo aliifikiria huenda...
2 Reactions
0 Replies
554 Views
Niliandika maandishi haya nikiwa kwenye dimbwi kubwa la majonzi na huzuni, mboni zangu zikiwa zimelegea tepe kwa vundo kubwa la machozi yaliyokuwa yakitiririka muda mrefu shavuni mwangu. Akili...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili...
34 Reactions
479 Replies
15K Views
Yale maingiliano ya dunia ya kiroho na dunia isiyoonekana huthibitishwa na matokeo yake na si mchakato unaoonekana Kwa wale ndugu zangu wanaotaka ithibati za kisayansi naomba watulie wasome...
24 Reactions
401 Replies
133K Views
Hello ndugu zanguni Jamani nyie upande wa pili Kaka zetu inakuwaje kuwaje unamuuliza mwanamke ambae sio mtu mpenzio kila siku iwe asubuhi, mchana au jioni (usiku)mtu anakuuliza umekula nini As if...
8 Reactions
70 Replies
3K Views
Hivi vitu huwezi fundishwa darasani. •Ukiona amepunguza Kulalamika sana kaa Ukijuwa kuna wahuni wanamsikiliza. •Ukiona amekutumia meseji ya “Nimekumiss” baada ya muda mrefu kaa ukijua...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
Inashangaza sana wakuu. Nitawapa mfano: Mke wangu anafanya kazi somewhere, hata mshahara anaoulamba ni mnono, lakini nabaki kujiuliza pesa zake huwa anapeleka wapi? Sina shida nazo, ila natamani...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Wanaume walio single wengi wanaishi wenyewe au wamepanga mtaani ndio wanaongoza kuwarubuni vijana au watoto kuwaingilia kinyume na maumbile. Wanawadanganya kwa pesa au simu. Wanawaonesha video za...
2 Reactions
9 Replies
468 Views
Naitwa Edward toka Mwanza. Nimeishi na mke wangu tuliyependana kwa dhati kwa mda wa miaka 4. Tukabahatika kupata mtoto mmoja, kadri ya siku zilivosonga mimi nikienda kazini nae anatoka hatimae...
0 Reactions
103 Replies
15K Views
Kuna wasichana wananuka, mmoja aliniambia eti kwa kizungu inakuwa au inaitwa Musk, tuelimisheni please!
1 Reactions
0 Replies
475 Views
Habari wana Jamii forum. Ngoja leo nilete hii kesi niliyoishuudia kwa macho yangu. Kulikuwa na Baba mmoja na familia yake wa watoto 4, wapili ni wakiume ambae alimzaa nje na wengine 3 Wandoa...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Samaleko, Nyie wasichana wa mjin hivi ni nani aliwadanganya kila anaeomba namba anataka kukutongaza? Nawasikitikia sana mnapishana na fursa live.
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Nilikuwa na aangalia taarifa ya habari sasa kuna mwanamama akasema akipata pesa atawasomeshea watoto wake. Sasa hapo nikawaza kama watoto wana baba yao na ni kichwa cha familia, kwanini mama...
3 Reactions
11 Replies
756 Views
Hivi kwa mwanamke ni umri gani sahihi kuitwa mzee.? Maana humu kila mtu utasikia lishangazi sasa mtu ana 32 au 34 unamwita mtu lishangazi . Na wewe una 45 to 60 nani nilimmjomba?? Semeni tu ukweli
8 Reactions
49 Replies
1K Views
Aisee jamani inafikia hatua mwanadamu anauzwa kama kama nguo kwenye Gulio? Kuna msemo mmoja sisi wazaramo tunausema cheza ka ncheza yaani sio poa mwenye power ndio atavuna mpaka nimekata tamaa...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Hakika kichwa kinajieleza Moja kwa Moja niende kwenye Mada husika Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka kati ya 27--30. Sijaoa lakini nipo katika mahusiano mazuri na Binti Moja wa kikinga mwenye...
13 Reactions
106 Replies
3K Views
Vijana wenzangu mambo mengine niya kipuuzi na kutafutiana lawama. Unakuta kijana mzima umeamua kuishi na mwanamke kama mkeo kwa tafsiri ni kwamba ulishaona kiuchumi una mmudu huyo mwanamke na...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Chochote kinaweza kutangulia hasa Kwa wale Watu Exceptional, wateule, wenye bahati zao. Ambao Watu hao Duniani ni wachache yaani mmoja mmoja. Watu hao ndio...
7 Reactions
9 Replies
948 Views
Nimeona niulize huku labda naweza pata msaada wa mawazo tofauti kwa watu wanaopitia hii changamoto. Nna ndugu yangu amesotea Diploma pale MUST Mbeya kwa miaka mitano badala ya mitatu na mpaka...
1 Reactions
4 Replies
716 Views
Back
Top Bottom