Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanawake wangu wanadai zinawachoma. Hakuna utofauti wa malalamiko hayo iwe nimezinyoa au nimeziachia. Kila sehemu ninayoaagusa na kidevu changu basi hutoa malalamiko hayo. Naomba msaada! Sina...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana Jf. Kama tunavyo fahamu wanaume tunakuwa busy sana na maswala ya utafutaji kwaajili ya kujenga uchumi na kuwatunza tuwapendao pia ifahamike wazi tukirudi maghetoni / nyumbani unakuta...
2 Reactions
7 Replies
522 Views
Habari wakuu Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu mke wangu niliempa mtaji akafanye biashara ya duka la kuuza urembo wa kike pamoja na saloon lakini akauwa ile biashara. Yule alikua anafanya biashara...
10 Reactions
107 Replies
6K Views
Unaweza ukampenda mtu kwa dhati kipindi una vihela kidogo ila ukiishiwa kabisa ndani ya muda mfupi sana unaogopa unaweza hata kuombwa hela ya bundle ukambwela,hamu na tendo kukata,kujiona comedy...
7 Reactions
15 Replies
816 Views
Sala hii haifungamani na Imani ya upande wowote. Sala hii ni maalumu kwa wale wanaopiga Punyeto na wale walio athiriwa na kitendo kibaya cha kupiga Punyeto Ee Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema na...
15 Reactions
84 Replies
4K Views
1. Don't rape. 2. A man doesn't cook delicious food, it's gayish. 3. Two naked men are not supposed to be in the same room. 4. A bro doesn't bath with hot water, he respect his 2 eggs. 5. A...
10 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za usiku huu wakuu, Ngoja niende kwenye point yangu, tokea niazaliwe aisee sikuwahi wa kukutana na hawa wanawake wenye jinsia zetu. Aisee leo nimeiona duu kuna msichana nilikutana nae...
5 Reactions
127 Replies
47K Views
Habari JF, Sina mengi zaidi ya kumshukuru mungu na kuenjoy maisha. Nmekutana na changamoto sana ya watu wengi kuulizia kuhusu TEGO la kumtego kipenzi au mpenzi au rafiki yako katika mausiano, je...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Una binti yako unajua ulivyopambana /unavyopambana kumtengenezea maishabora ya baadaye! Halafu kanajitokeza kamjamaa kanakuja kamechomekea kujitambulisha eti kanataka kumuoa binti yako. Kwa...
41 Reactions
160 Replies
7K Views
Mambo niaje wanaume wenzangu? Kuna kautafiti ambako bado naendelea kukafanya kuhusu sifa za wanaume magentlemen. Nimekuwa nikisikia wadada wengi hasa hawa wasomi na wanaoishi mjini kuwa wao...
2 Reactions
48 Replies
21K Views
"KIUKWELI Nimejawa na hisia za kina za upendo ambazo zinaweza kunitoa machozi. Yeye ni nguzo ya nguvu katika maisha yangu, na kila wakati ninapofikiria jinsi alivyo wa pekee, ninahisi furaha na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Wana JF. Ndugu kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo . Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana ndani ya ndoa za siku hizi especially ndoa nyingi za kikristo...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Nawasalimu wote. Kama mada inavyojieleza. Mume wangu amenitaarifu anamleta rasmi mtoto wake ambae alikuwa haishi na sisi kuja kuishi na sisi. Wakati nasubiri siku ifike lazma nijiandae.i. Sina...
14 Reactions
232 Replies
14K Views
Wakuu naombeni kuuliza hivi kupiga denda a.k.a romance kuna madhara yoyote mtu unaweza kuyapata. Naombeni ushauri.
0 Reactions
24 Replies
10K Views
Wakati mwingine unakuta uhusiano baina ya wewe na mpenzi wako umeanzia mlipokutana chuoni au mlipohamishwa kikazi na kukutana kwenye mkoa mwingine,au sometimes wale wanaosoma nje ya nchi,inatokea...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Wanawake wengi wa sasa ni wapumbavu [emoji41] tunachotakiwa kufanya ni kuwachapa na kusepa tuu, maana wenyewe wanapenda sana pesa na kuishi maisha yalio nnje ya uwezo wao, kwahyo hapo lazima wauze...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Za usiku. Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu? Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id...
15 Reactions
140 Replies
6K Views
Ndugu zangu, habari yenu wakuu. Ndugu yenu mwenye life style mbaya na mwenye kujikatia tamaa baada ya kusomesha mtoto wakike kwa lengo la kumuoa na hatimaye kunipiga chini nilijikuta nikichukia...
7 Reactions
113 Replies
6K Views
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi. Hata hivyo siku hizi, ndoa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom