Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimeamua bora tu nirudi island japo home nilikanyaga juzi tu lakini bora tu niwe kule. Kama jina langu lilivyo ndo uhalisia wa job yangu. Nimetimba home nakuta kashanuna eti sijatimiza ahadi ya...
12 Reactions
32 Replies
2K Views
Aiseee hatari na nusu, kama juzi hapa niliandika thread kuwa mwanamke wangu anaolewa kumbe nimeepushwa na Mambo ya hatari ambayo nimeyafahamu baada ya mfanyakazi mmoja wa kazini kwa binti kutoa...
11 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu.. Mimi ni kijana wa miaka 30+ hapo awali nilikua na mahusiano na binti nilie mpenda na nilitarajia kuja kumuoa ila alikuja kuniacha katika harakati za utafutaji...
14 Reactions
170 Replies
15K Views
Kipindi cha nyuma kidogo, nilizani mtandao huu ni maalumu kwa ajili ya watu wakubwa tu na wenye nyazifa zao duniani Pindi nilipounda akaunti na kuingia humu nilikutana na watu wazito wazito kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Iko wapi na wapi yani? Au we msomaji moyo uko upande gani?
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Kikawaida mwanaume anaweza akamuona mwanamke kwa mara ya kwanza na hapohapo akamtamani, mimi huwa inanitokea sana hiyo, unakutana na msichana either mzuri au aliyeumbwa vizuri na ukamtamani hadi...
13 Reactions
331 Replies
32K Views
Kama unataka hela yako ipotee basi mkopeshe mdada,hawa watu huwa hawalipi madeni kabisa hasahasa ikitokea mdeni wake ni mwanaume hata wakidaiana wao kwa wao huwa hawalipani,hivi ni kwanini?
7 Reactions
137 Replies
14K Views
Habari wakuu, Mapenzi ni moja ya nguzo muhimu sana ya maisha yetu ya kila siku, na haijalishi ni aina gani ya mapenzi mtu aliyonayo as long as mapenzi basi ni strong emotion inayoweza kumuongoza...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Nina tatizo sugu ila nahisi sio peke yangu, nilisikiliza comedy moja ya black america yule aliepigwa kofi na Wily Smith, alisema usisikie sijui unaweza kunyuri mara mbili au tatu, alidai hayo ni...
12 Reactions
127 Replies
6K Views
Nimepita kwenye uzi wa mhanga mmoja aliyechekesha wanajukwaa na kukutana na maoni ya baadhi ya watu eti "Wahi haraka ukamuone daktari". Huu ni upotoshaji Cha kushangaza, wanawake wote ambao...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamii forum. Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Kuna hyu binti nmekuwa naye na mahusiano ni mwaka sasa na miezi kadhaa. Mwanzo katika mahusiano yetu tulikuwa tunawasiliana...
85 Reactions
273 Replies
18K Views
Nilirudi nchini baada ya kuwa nje ya nchi karibia miaka 10. Kabla sijaondoka nchini nilikuwa nimepanga sehemu moja hivi hapa Dar es salaam. Miongoni mwa watoto wa mwenye nyumba kulikuwa na mtoto...
15 Reactions
158 Replies
20K Views
Aisee nisiposema nitakuwa mbinafsi .. Mazingira niliyonayo sijui ni wangapi wanaweza toboa hii life style Kwanza Mama mwenye nyumba wangu anamiliki Bar na hana mume, sasa bitch zinazopishana hapa...
9 Reactions
84 Replies
6K Views
twendeni moja kwa moja katika jambo ,Kuna rafiki yangu alikua akiuguliwa na mke wake nae hakua na pesa ilimbidi amwone mshkaji amkope pesa akalipie matibabu , mke akapona na akaruhusiwa kutoka...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Urafiki na mwanamke unayemtaka kimapenzi sio mzuri. Aitha utaishia kuchunwa au kuumizwa. Huwa inauma pale unamfikiria mwanamke kimapenzi lakini anaishia kukufikiria kama rafiki au ndugu. Japo...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana. Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana. Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi...
17 Reactions
174 Replies
8K Views
Habari wa JF. Hiki kisa ni cha kweli kilitokea huko Ulaya au USA nafikili. Walikuwa mke na mume na mtoto wao wa kiume. Siku moja walitoa kwenda shopping yeye na mkewe. Walipofika wakakutana na...
2 Reactions
5 Replies
892 Views
Wakuu sijui ni upendo ama nini maana wazazi wananigeukia balaa. Mfano ; Mwanangu akikosea nikimuadhibu mzazi wangu anakua mkali mno ananishambulia mpaka naona aibu, Nifanyaje maana watoto...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
(1 ).Low Arch Feet Personality Traits Hii ni kwa watu ambao nyayo zao Hazina uvungu. Hizo hapo chini ndio Hali zao za maisha. low arch feet personality If you have low-arched feet with little...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumai mko poa wana jamvi, Sasa Niende moja kwa moja kwa Mada tajwa hapo juu. Watu wa aina hii ni lazima uwaepuke katika kuingia nao kwenye mahusiano au kufanya nao urafiki wa ndani sana kiasi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom