Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu wana jamvi hbr ya leo. Naandika kwa msisitizo kuwa jitahidi sana sana upunguze kuamini watu katika jambo lolote punguza imani ya kuamini watu ili kuepeuka kuumizwa na kupoteza pesa. Watu...
20 Reactions
82 Replies
4K Views
Waliolewa wengi Mara nyingi kunakua na magomvi yasioisha.Nimeona kwenye mtandao mwanamke anasema haolewi na bwana ambae mamamkwe yupo hair. Nini chanzo cha mabifu ya mamamkwe na Mwali?
1 Reactions
8 Replies
612 Views
Nilishawaambia sihitaji salamu, ukitaka salamu rudi huko kijijini kwenu! Waswahili na Ujinga ni kama Mapacha vile! Huwa nashangaa sana mwanaume mwenye akili timamu anapomfumania mkewe yeye...
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Embu naomba kuuliza maana sielewi. Kila nikitongoza madem wananiangalia tokea chini hadi juu alafu wananisonya; then wanaondoka. Daah, hii hali inaniskitisha sana sina raha kabisa jinsi...
7 Reactions
631 Replies
97K Views
Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda. Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
14 Reactions
63 Replies
2K Views
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima. Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi...
39 Reactions
224 Replies
13K Views
Kuna siku moja nilikuwa nasafiri kutoka mkoa A kwenda mkoa B na safari ilichukua takribani masaa 16. Kuna muda dereva wa basi alituamuru tushuke kichakani tuchimbe dawa na tutumie dakika 5, kweli...
4 Reactions
67 Replies
8K Views
I met a lady from an online chatroom and luckily she happened to live close by so we decided to meet up. well during our chats things turned a bit on the sexual side and she told me that she has a...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwako atakwambia yupo bize hana muda, ila ukweli ni kwamba yupo sehemu na mtu mwingine akipoteza muda. Wakati wewe unapambana kuboresha penzi lako, yupo mtu anarekebisha mazingira yatayomvutia...
5 Reactions
6 Replies
535 Views
Nilikutana naye kwenye usafiri wa umma mida ya night ya siku X. Baada ya kumrushia voko alielewa, basi ndo ukawa mwanzo wa mahusiano Kesho yake nilimuomba tukutane kwenye Bar X ili tupoze makoo...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
Ili mwanamke awe na mnato anatakiwa awe anawekwa sana na mume wake, akishawekwa ndo ule mnato unajileta wenyewe. Sasa kuna wanawake wengine wakavu kwasababu kile kizazi kimekauka maji, mjitahidi...
5 Reactions
13 Replies
730 Views
Unakuta kuna kupishana kidogo mke anakimbilia kukunyima haki yako ya ndoa. Sasa najiuliza Je Kutunyima 1.Tuteseke 2.Tutubu 3.Tukome Anyway ni hivi mimi nanyimwa hii siku ya 23 nahisi ntamaliza...
44 Reactions
179 Replies
10K Views
Aisee inasikitisha ile mizoga iliyozoea naipa 15000 leo hii inanipigia simu kulia njaa yaani anakwambia kabisa nitumie hata buku 3 ninunue chakula na sio mwanamke mmoja karibia wanne aisee kweli...
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako. Chumba cha pili ndo...
29 Reactions
67 Replies
4K Views
Naandika hii hoja nikitafuta majibu yakinifu na ya msingi kutoka kwa wanawake pia wanaume wenye majibu sahihi uzi wangu nimeuliza wanawake wanataka nini? Maana nimeangalia katika hili...
5 Reactions
83 Replies
9K Views
Moja ya mtihani mkubwa sana ambao wanaume tunakutana nao ni hili. Najua papuchi it has to smell like that as it is not a garden of roses, ila kama it smells very strong, or has a fishy odour hapo...
22 Reactions
444 Replies
31K Views
Kuna swali hapa nimeulizwa Money Penny, eti mwanaume wa ngapi kuzaliwa ni mzuri na utainjoi ndao ukiolewa nae? Mwanaume wa Kwanza kuzaliwa? Mwanaume wa Mwisho kuzaliwa? Mwanaume wa nne...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Jf a place were we dare to talk open. Wakuu niaje I hope mko gud kabsa. Leo ni wakumbushe wanawake ambao wakishaolewa na kuzaa wanajisahau hawajitunzi tena kama before kabla hawajaolewa...
7 Reactions
13 Replies
696 Views
Huyu jamaa yangu ni mtu wa totoz sana na gambe kimtindo. Akishakunywa tu atafanya kila namna kuhakikisha anapata demu na kwenda kulala nae Sasa katika harakati zake za kula mbususu kakutana na...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
() Nafasi wazi hapo juu inasimama badala ya salamu. Haiwezekani, haiwezekani, haiwezekani! Biologically, mwanaume mwenye hormones nyingi za kiume huwa anakuwa masculine. Masculinity inaanzia...
5 Reactions
65 Replies
3K Views
Back
Top Bottom