Those days nimeingia mjini daslamu kwa mara ya kwanza, nikakutana na manzi mmoja ambae leo ni miongoni mwa mademu fulani ambao wanaonekana kuwa maarufu hapo daslamu na ushamba wangu wa kutoka huko...
Habari za jumapili wana MMU,
Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?
Mnawatesa watoto...
Doh, najuta kutoa email yangu
Maana ndio mvua za maswali kama haya,
Money Penny, me Nina mpenzi wangu nampenda Sana, lakini ana tatizo moja Tu
Money Penny: Tatizo gani?
Kijana: anapenda Sana...
Nina muda kidogo sipo active humu, ila hii story imefanya nirudi sababu naamini JF inawafikia watu wengi.
Huyu dogo anafanya kazi ofisini kwetu, alipata scandal za kutoka kimapenzi na kijana fln...
wadau habari, naamini mko salama, nisiwachoshe sanaaaa! kama kichwa Cha habari kinavojieleza, Mimi naishi na mwanamke na nmezaa nae na tuna mpango wa kuoana hivi punde!
Sasa kumekuwa na...
Habari ndugu zangu.
Tokea ni anze kuwa na umri wa miaka 16 mpaka sasa nimefikisha miaka 30+, sijawahi kucheka wala kutabasamu kwa namna yeyote ile, japo kipindi cha nyuma nikiwa mdogo nakumbuka...
Money Penny njoo kwanza unishauri
Jamaa: Nimepata demu mkali, ana shepu kama Vera Sidika wa Kenya
Mkali sana
Mzuri sana
Hapa hapa bongo
Ila kila tukiingia kwenye tendo la ndoa naona kama...
UNAAMBIWA Lionel MESSI hajawahi kumgusa mwanamke mwingine zaidi ya mkewe Antonela Roccuzzo aliyeanza naye mahusiano tangu utotoni huko Rosario, Argentina.
Mnamo 2017, Messi na Antonella walifunga...
Siku mwanamke utakapofanya moyo wako kuwa mgumu katika kutoa tendo la ndoa. Basi ndipo Ndoa yako itakufa hapohapo.
Kiukweli michepuko au nyie mnayoita Malaya ina utofauti mkubwa sana.
Wanajali...
MWANAMKE LAZIMA ABADILI DINI NA IMANI ILI IFANANE NA YAKO NDIPO UMUOE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya ishara za awali Kwa Mwanamke anayekupenda na anayeweza kuwa Mkeo ni kukuamini, na...
Kwa wanaume ni dharau mbaya sana wapatazo kwa kubambikwa watoto ambao siyo wake. Wengi imefikia kuchukulia poa tu, kitanda akizai haramu.
Binafsi nachukilia huu ni ukatili mkubwa sana ufanywao...
SIWEZI KUKUOA KWA SABABU NIMEKUPA UJAUZITO!
Anaandika, Robert Heriel.
Jilengeshe! jibebeshe! jitegeshe! Utajua mwenyewe. Oooh! Kama ulikuwa hutaki mtoto si ungetumia Mpira, ooh! Kama hukuwa...
KUBEBA MIMBA NA KUZAA HAKUMFANYI MWANAUME AKUPENDE!
Anaandika, Robert Heriel
Nawakumbusha Dada zangu, Binti zangu. Usije ukajikoroga na kujichanganya, mimba na mtoto haibadilishi chochote katika...
BINTI YANGU; NI AKHERI UWE SINGLE MOTHER KULIKO UISHI NA MWANAUME MPUMBAVU.
Anaandika, Robert Heriel
Baba na Mume.
Kama vile Mimi Taikon, Nyota ya Tibeli nisivyoweza kuishi na Mwanamke...
Unajua kwanini HUWA SIKUBALIANI NA KUOA KABISAAA...
Sababu ni hiii 👇👇
Mwaka 2015 nilikutana na binti wa kichaga Facebook.
Tulianza urafiki na baada ya muda mrefu tukaingia uchumba.
Nilimuahidi...
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..
Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza...
Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa...
Hello.
mtu aliyekupenda sana na kukuonyesha upendo wa kimapenzi wa dhati sana unamkumbuka Katika maisha.
Leo hii huko kwa ndoa,mahusiano,uchumba,urafiki ila kila siku unamuwaza yeye na Hajaweza...
msome huyu mwamba kwa ufupi afu useme kafeli wapi?
Mpare: Money Penny bwana kuna kisa nataka nikueleze, kuna dada anaitwa Vera Sidika, nilimtongozaga mwaka 2014 nikiwa kenya
Money Penny: aisee...
Habari za jumapili wakuu, hope mko vizuri. Nipo vizuri pia ingawa nipo njia panda kwa hili jambo.
Kuna jamaa zangu wawili mapacha wanyaturu huwa wana mdogo wao wa kike, ni mrembo Pro Max. Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.