Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
RIWAYA: HATIA MTUNZI: George Iron SEHEMU YA KWANZA Safari nzima hakutaka kuzungumza na mtu yeyote hivyo alikuwa amepachika ‘earphone’ masikioni mwake ili hata asiweze kusikiliza watu walikuwa...
5 Reactions
258 Replies
104K Views
Nakuamkia wewe ambaye ulishakuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye ulimpenda sana lakini kwasababu ya jeuri yake akakuacha. Ukiwa na maumivu makali ukaingia kwenye mahusiano mapya yaliyokutibu...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu habarini za usiku, hakuna usingizi nimekaa kitandani namuwaza huyu kiumbe ambaye kwakweli moyo wake nikama mnyama pori, ndiyoo nastahili kumuita hivyo. Nimchepuko wangu niliye kutana nae...
28 Reactions
184 Replies
11K Views
For me I dedicate this song to whom who will comment my song ,
9 Reactions
66 Replies
3K Views
Hii picha ilipigwa Februari 11, 1990. Siku 3 kabla ya VALENTINE'S DAY. Siku ya wapendanao Kushoto, huyo ni hayati Nelson Mandela. Baba wa taifa la Afrika Kusini. Hii ndio siku aliyoachiwa kutoka...
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Kuna wale mliojiingiza kwenye mahusiano na wasanii msitalajie kufika mbali na mkifika mbali talajieni vibweka vya baba ubaya. Maisha ya wasanii ni kama bado wajatulia kwenye mahusiano. Tatizo...
1 Reactions
4 Replies
622 Views
Based on true events. Ni jamaa ambaye tulikutana katika harakati za maisha ni mtu ambaye tumesaidiana katika nyakati ngumu ni kama brother from another mother.. anaitwa Juma sio jina lake halisi...
4 Reactions
5 Replies
639 Views
Kuna muda mtu ni jasiri,Lakini Kuna muda ukiaangalia mazingira ujasiri unakata halafu woga unayavaa maisha ya mtu tena. Kuna nyakati kuziendea, kuzikabili na kuishi nazo ni ngumu. Mungu...
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Deni langu la benki (salary loan) linaisha mwaka 2027! Likiisha naweza kukopa 60m. Sasa shida ni kwamba as of now naweza kutopup nikapata 17m. Hii hela inaninyima usingizi. Na nikitoup my life is...
8 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari wana Jf Kwenye haya maisha watu wengi wanateseka sana kwa sababu kuna vitu vitatu ambavo hawavijui trust me hii hakuna mtu atakaye kuambia siri ambayo matajiri wengi ndo wanayoitumia...
2 Reactions
10 Replies
813 Views
Kivyovyote vile kwenye kila jambo ambalo unalifanya kumbuka huwezi kuwa bora zaidi ya wengine, ila unaweza kuwa na nidhamu zaidi ya wengine wote kwenye kila jambo fulani unalolifanya. Kila kitu...
2 Reactions
4 Replies
714 Views
Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume. Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni wengi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Salamu Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98 Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha...
23 Reactions
135 Replies
6K Views
Mara ya kwanza Nilipokiona kitabu hiki na kusoma Tittle yake, nilianza kutegeneza mawazo yangu kichwani na ku JUDGE A BOOK BY ITS COVER. Jamaa mmoja alituma PDF ya kitabu hiki kwenye group la...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Unaweza mtu ukawa unaishi maisha ya kidhalili kabisa yasiyo na mbele wala nyuma hali ya kuwa ndugu yako ana mafanikio ya kimaisha. Inauma sana kuona mtu unaishi maisha ya dhiki hali ya kuwa kuna...
25 Reactions
118 Replies
14K Views
Ukiona mtu anapinga mahusiano, jiulize mara mbili mbili ana tatizo gani? Kwa sababu haya mambo yanaongozwa na hisia; hata wewe unapopata hisia na mtu fulani lazima umfungukie, huo ndio uhalisia...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Imetokea nigeria mwanaume mmoja aliamua kupima watoto wake wawili DNA. Majibu yakatoka watoto wote si wake. Mkewe akafa ghafla baada ya kupata majibu. Ungekuwa weae ungechukua uamuzi gani kwa...
2 Reactions
54 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya familia zina migogoro mikubwa,ndugu hawapatani hawapendani wana chuki wivu na kijicho kati yao.Wengine wanafanyiana mambo ya ajabu hata kufikia hatua ya kuendeana kwa waganga,chuki...
20 Reactions
84 Replies
9K Views
To be honest, mimi kumuhudumia mwanamke ambaye ni mwenza tu siwezi kabisa. Eti mwanamke ananiambia usisubiri nikuombe uwe unajiongeza, nikamuuliza hivi mimi kukuhudumia ni wajibu, akasema wajibu...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom