Mimi banaa, nmekulia kwenye huu ustaharabu wa Kila mtu na Sahani yake.
Lakini napo ilikua inanibidi kumwambia mwanandugu tuchanganye Msosi tule fasta fasta , sio kwamba lengo lilikua nikumpiga KO...
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA
Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa...
Wakuu hamjambo....
Sasa Kuna jambo limetokea nyumbani kwangu ninaishi na mwanamke ambaye sijafunga naye ndoa lakini pia yupo Mdogo wake wa kike ambaye amekuja kujiendeleza mambo ya ushonaji...
Hatimaye nimeamini wanawake hawaridhiki na ndoa zao, weekend Moja Mndewa nilikua nakatiza maeneo yangu hivi Mishale ya saa nne hivi nikiwa nimeshika chupa ya mo extra nilichanganya na K vant.
Asa...
Sitakuwa na muda wa salamu kwa majitu ambayo kutwa kucha yanapiga punyeto,shame on you!.
Hivi unawezaje kuwa na mwanamke kitandani usiku kucha unaishia kumkung'uta kabao kamoja au viwili tena...
Cheo elimu na pesa kwa wanawake hujikuta wakiuvua uanamke na kuona wajibu wao kama wanawake umefika mwisho. Japo sio wote lakini asilimia kubwa wako hivyo. Jeuri, kiburi, dharau.
Sent from my...
Tambua kuna mke na mwanamke ,makosa wafanyayo wanawake na kujikuta wameupoteza mwezi kwa ujinga wa kuhesabu nyota .
Kuwa makini ndugu yangu, maisha yasije yakakuchanganya ukachanganyikiwa na...
A real man knows what he wants in a partner, and once he has found that special someone, he commits himself and his whole life.
Your happiness becomes his happiness. He stays loyal to you because...
Vijana wengi hasa wakiume wamekuwa wakilalamika hasa suala ya kumtongoza mwanamke na siku hiyohiyo kijana anaanza kuliliwa matatizo. Mimi mwenyewe nimekuwa ni muhanga, yaani ile tu kumuambia...
Mwanaume Kama hauna kazi au shughuli yoyote ya kukuingizia kipato usijaribu kuoa kwa sababu ukifanya hivyo unakuwa unaenda kinyume na mipango ya Mungu and ur marriage will be bound to fail...
With the hype surrounding the launch of the iPhone 15, let us always remember.
Buying a new boxed phone, peeling off the seal, with all accessories intact. Then take some time touching it all...
Ni ukweli usiopingika japo wanaweza kuukataa. Mwanaume ukiwa na Mwanamke mmoja tu mpenzi au mke wako anaanza kujiuliza maswali kwanini awe na Mimi tu.
Ukiwa na sms nyingi za wanawake yeye ndyo...
Kwa mara ya kwanza unapoingia kwenye mahusiano na mtu, unakuwa hujisikii huru sana kuwa naye, lakini baada ya muda una mzoea mtu huyo na kuanza kuona kila kitu kipo sawa kwako.
Kwa mara ya kwanza...
Walau naweza kusema nimeona mengi. Nimeona daktari akiumwa saratani ya koo kwa ajili ya matumizi ya vitu anavyokataza wengine.
Kisha nikamuona wakili aliyehukumiwa kwenda jela kwa kosa la...
Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu...
Jumapili iko Pouwa bila Shaka!
Kampeni inayoendelea Kwa Vijana isemayo "linda kibunda chako" inaratibiwa Kwa kificho na Wanawake wenye vipato au wenye kazi za kuajiriwa.
Wakati nipo chuo...
Ndugu zangu..
Kwa huzuni na masikitiko makuu, ndugu yenu na rafiki yenu nakaribia kukata tamaa sasa. Nimejitahidi kutafuta mwanamke wa kuoa lakini wapi.
Kila mwanamke ninaye mpata hakidhi vigezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.